Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, aakiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Shinyanga na vitongoji vyake, katika mkutano wake wa kampeni
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Kama mwaka 1990 watanzania tulikuwa milioni 25.5, kufikia 2008 tulikuwa milioni 42.5 na inakadiriwa kufikia 2015 tutakuwa milioni 52.1 (World Bank, 2010). Sasa kama JK ameshindwa kuboresha maisha...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Malasusa: Chagueni mtu makini si chama Fidelis Butahe na Fredy Azzah MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk Alex Malasusa amewataka Watanzania kuchagua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
By DAILY NEWS Reporters, 18th October 2010 @ 12:01, Total Comments: 0, Hits: 40 ELIGIBLE voters can use their mobile phones to get information about where they are supposed to cast their votes...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dr. Jakaya mrisho kikwete kula kuku kwa mrija, ikulu unaingia tena bila tabu, achana na kelele za wafa maji.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mussa Mkama, Shinyanga MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa jana alibadili hali ya hewa mkoani Shinyanga baada ya kuutikisha mji kiasi cha kusababisha bendera za CCM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CCM NI NAMBA MOJA
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kakobe: Tusichague mtu kwa rushwa na Betty Kangonga ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PICHA: Dr. Slaa aiteka Shinyanga Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, aakiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Shinyanga na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Angalia 'data' zilizo kwenye jedwali na 'graph' kwenye 'sheet number two of the attached Excel file labelled "sources of funds" halafu tuambie ni yupi akishinda atalipeleka taifa letu kwa muda wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vyama vyote vya siasa ni vyetu na JK anapodai ni vya musimu siyo mkweli kwa sababu anamaanisha John Tendwa anavibeba wakati kamisaa huyu wa vyama vya siasa ni mteule wake. Kama Tendwa anashindwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Please open the attachment, then go to the first sheet (number of pledges) and tell us the presidential candidtes who give reasonable number of pledges!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kazi kubwa ambayo imesalia sasa ni kuhakikisha kura zinalindwa na zinahesabiwa kwa uangalifu kwani ushindi upo wazi kwa Dr slaa, naomba mawakala wazingatie yafwatayo: 1...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msiwachague wasiojali umaskini wa wananchi Na Godfrey Mushi 18th October 2010 p { margin-bottom: 0.08in; } Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Nimeiona hii katuni ya Gado inasema mengi kama ikisambazwa inaweza kusaidia kidogo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu wana JF hivi Chiligati mbona yupo kimya sana au naye anapumulia mashine? milioko jimboni kwake tafadhari tupeni taarifa. Alisikika sana wakati wa kumuweka pembeni Bashe. Nadhani yeye ndiye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waheshimiwa nina furaha kubwa moyoni baada ya kuleta hapa jamvini maelezo ya vifaa vya kusaidia katika kuwaandaa kikamilifu mawakala ili waweze kulinda kura kwa umakini. Mtakumbuka kuwa niliomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Kimetoa Ratiba za wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo kwa mwaka wa masomo 2010/2011 kuchukua Admission letter. Ratiba hiyo inaoonesha kwamba Wanafunzi hao...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimeppokea habari kutoka Shinyanga sasa hivi, Dr Slaa anahutubia mkutano mkubwa mjini Shinyanga. Dondoo ni kwamba, Watu ni wengi sana hadi spika hazitoshi kutoa sauti kuwafikia wengine walio...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Umoja wa wanafunzi wa elimu ya juu(TAHLSO) watoa masaa 48 kwa serikali kutoa tamko kuhusu wao kupiga kura katika maeneo ya vyuoni walikojiandikisha.. La sivyo watafanya maandamano ya amani na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom