Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
<p>Naomba kikwete ujibu swali linaloulizwa na mwanafunzi ktk tangazo la polisi forum, mwanafunzi anamuuliza mwalimu baada ya uhodari wa mwalimu wa kutaka kuonyesha jinsi nchi yetu Tanzania...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mgombea urais wa Chadema dr Wilbroad Slaa amepokewa na umati mkubwa sana wa wananchi wa Urambo leo hii, kampeni imekwenda vizuri sana, watu wamehamasika sana, hakuna aliyebebwa kwenye malori...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hali ya JK na CCM kisiasa kwa ujumla wake si nzuri na dalili zote zinaonyesha anguko kuu la CCM, silaha ya mwisho atakayotumia JK na CCM ni ya kuhahirisha Uchaguzi mpaka mwakani, miongoni mwa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Historia ya familia yetu: Baba na Mama > 65 Years Last Born: 30 years Dini: Mixture of Christian and Moslem Makabila: Mchanganyiko wa Makabila mawili. In fact manne kama ukienda generation...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Ivi kweli CCM/Serikali ifunge na kuukarabati uwanja kwa ajili ya Dr Slaa kuapishwa!!! Haiingii akilini.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Houston mnachekesha sana! Kisa gani cha kuanzisha tawi lenu then mliite tawi la CCM Marekani? Kuna 50 states hapa US na kila state ina sheria zake, watu wake wenye tabia tofauti na mambo yake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani hii habari sijaielewa huyu anasema kweli au just ndio fitna zenyewe? iweje donge wakatae kufanyika mikutano ya siasa hule kwao? source Michuzi ZENGWE LA KAMPENI JIMBO LA DONGE...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) in Mpanda District, Katavi Region, has suspended indefinitely five of its members from the party for allegedly campaigning for an opposition aspirant. The suspended...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani wana JF. Leo majira ya asubuhi nimeona kitu cha ajabu. CCM wamethubutu kutundika bendera za chama chao kwenye yadi ya makaburi ya wafu pale maeneo ya Buguruni. What is the meaning of this?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
UCHAGUZI WA MWAKA 2005 WACHUNGAJI WALIMWITA JK KAMA NI CHAGUO LA MUNGU MWAKA HUU INAONEKANA WACHUNGAJI WAMETOFAUTIANA KAMA VILE KURA ZA MAONI ZINAVYOTOFAUTIANA HABARI ZAIDI GONGA HAPA: HabariLeo |...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
16th October 10 Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate Elizabeth Zaya Baada ya Taasisi ya Utafiti na Demokrasia (Redet) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kampuni ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe! Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Ichi kipindi leo kuanzia 21hrs mpaka 22hrs TBC kilihudhuliwa na JAHAZI ASILIA,CHADEMA(MWAIPAJA),TLP (MLUGE) ,CUF etc Wagombea wote walijiandaa vya kutosha kwa jinsi walivyokuwa wakiongea. Kati...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chadema naomba saana sasa mkae mbale na fujo nk wanataka kusababisha machafuko ili wawe pake matope au kuharisha/kuhahirisha uchaguzi, na pia muwaulize wateja wenu wanataka kuuzwa na kuibiwa basi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ukisikia kuchanganyikiwa ndio huku,leo akiwa mlandizi jk mbele ya kipaza sauti chake kiliwekwa kibao kilichoandikwa maneno hayo:for a fair future for all,vote for ccm,akaendelea kuhutubia akisema...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
&#8216;Uchafu' wa mgombea Sumbawanga watua kwa Makamba * Apelekewa barua, picha za Mhindi akifanyiwa unyama * AFORD, asasi za kiraia zataka CCM ichukue hatua Na Waandishi Wetu, Dar na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
By The guardian reporter Two Kiswahili tabloids, Rai and Tanzania Daima, have been identified as the most notorious in negative publicity to political parties participating in the ongoing...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni jambo la kawaida kabisa hususani kwa nchi zilizoendelea kidemokrasia wakati mkiwa kwenye kampeni na ushindi mnono unanukia kuanza maandalizi ya kukamata dola na kushika hatamu za uongozi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom