Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc Naipataje mnaoijua ?
4 Reactions
20 Replies
558 Views
https://www.youtube.com/shorts/jwfDHKHatwM?feature=share
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Huu uhuni tumeanza lini ? Barua ya Katibu Kiongozi inatoka haina mhuri haina signature ? Unajua hata nzi ameamua kua mhuni tu ndio maana anasambaza kipindupindu lakiji angeamua kua na akili...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
Chama Kipya Kinakuja, Kinaitwa Umoja Party...
23 Reactions
221 Replies
23K Views
Wanaukumbi Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche. Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita...
8 Reactions
128 Replies
4K Views
Wakuu Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII. Alisaidia sana...
50 Reactions
670 Replies
82K Views
Hii Kauli ya kamanda Heche imenihuzunisha sana hasa nikikumbuka Yeriko na Ntobi walivyonunuliwa Suti na Wenje kwenye mdahalo wa Jana Kumbe ziko damu zinaililia Chadema iliyoko sokoni inauzwa...
4 Reactions
14 Replies
537 Views
Okay, Lissu ameshinda furaha ni kubwa kwa supporters wake lakini kwa wapinzani wake ni msiba mzito. Ni msiba sio kwa kuwa tu wamepoteza nguvu kwenye chama na Mbowe kashindwa, ila msiba mzito ni...
2 Reactions
13 Replies
268 Views
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital. Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua (...
72 Reactions
288 Replies
14K Views
Amani iwe nanyi wana JF, Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kijenotyipia ( ki-mtazamo wa ndani ) kimeshakufa kibudu ila kifenotyipia ( ki-mtazamo wa nje ) bado kinaishi hali hii...
14 Reactions
144 Replies
8K Views
Wadau kweli hayati baba wa taifa kaanza kupuuzwa kabisa.Haingii akilini hayati baba wa taifa kazikwa butiama kaburi lipo butiama lakini maombolezo yapo chato na maua yanawekwa kwenye kaburi la...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwa vyovyote tulitegemea mbowe awe dictator ndani ya chama mana nje ya siasa hana cha kufanya mana hata form four hakumaliza vile vile mnyika alidisco pale udbs alipokuwa anasoma bba. Watanzania...
4 Reactions
30 Replies
511 Views
Kupitia maandamano, kwamba tumejifunza hatuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kudhibiti watu 5Mil tu walioamua kutafuta haki yao. Ili kufanikisha maandamano ya watu mil 5 tu , ni lazima Chadema...
18 Reactions
41 Replies
2K Views
Askofu Mwamakula amesema RC Makonda alipopewa nafasi ya kusalimia Waumini kwenye Ibada ya Mwamposa alisema Eliya hakuwa Nabii na Biblia haimtaji popote kama Nabii Mwamakula amemtaka RC Makonda...
4 Reactions
49 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika anazungumza na Waandishi wa habari muda huu, Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam. Fuatilia live mazungumzo yake hapa...
6 Reactions
75 Replies
4K Views
Mpo salama! Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa...
10 Reactions
72 Replies
1K Views
Kamati Kuu ya CHADEMA, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 14 Desemba 2024 jijini Dar es Salaam, ilitangaza uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwa Kanda ya Kaskazini na Kati...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake. == Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya...
14 Reactions
75 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu amesema amepita kwenye ofisi kadhaa huko Newala na kukuta ofisi zimefungwa. Akitolea mfano Kijiji cha Mnyambe, Kata ya Mnyambe ambapo mpaka saa saba mchana...
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Mmoja wa waandishi wa habari leo ndugu Marwa amesema amewahi kuona maazimo ya kamati kuu ya CHADEMA kama yalivyo yakiwa mezani kwa kada wa CCM Mchungaji Msigwa ili ku preempt hotuba za viongozi wa...
3 Reactions
41 Replies
1K Views
Back
Top Bottom