Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Poll Poll
Dk Slaa: Nimeisikia sauti ya Mungu ndiyo maana ninagombea urais- SOURCE MWANANCHI Send to a friend Tuesday, 07 September 2010 17:56 0diggsdigg0diggsdigg...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kaulimbiu ya Lowassa ambaye anawania tena nafasi hiyo, ni 'tulifurahi pamoja, tukahuzunika pamoja, tutasonga mbele pamoja na tutashinda.'' Source Gazeti la Mwnanchi My Take Mheshimiwa Lowassa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
You're on the front line Everyone's watching You know it's serious We're getting closer to 31-October This isn't over vote for change The pressure's on; you feel it But you got it all; come...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Mwana CCM Mwenzangu usikipigie kura chama Chetu na JK kwa ujumla kama hutapata Majibu ya maswali yafuatayo kabla ya tarehe 30 October 2010. a) Kagoda ni nani na nani aliasisi wizi wa pesa pale...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ratiba ya kampeni ya Dr. Slaa imepangwa na tume au CHADEMA ndiyo ilipendekeza. Naona ratiba hiyo haiyapi baadhi ya maeneo umuhimu unaostahili kwani anachukua muda mfupi sana na hafiki baadhi ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
NANUKUU KWA KUSEMA Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu amesema kuwa ni wajibu wa Watanzania kuwakataa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna aina nyingi za viongozi, wapo wale ambao wao wenyewe wamejijenga (self-made) na wapo wale ambao mfumo uliopo umewajenga (epigone). JK ni matokeo ya udhaifu wa mfumo wetu wa kupata viongozi...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba niishie hapo kwa sasa....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mgombea aliyenunua Kadi za kupigia kura Uchaguzi mkuu. Siku ya Jumamosi nilisikuliza Radio Wapo FM. katika kipindi kilichorushwa saa za jioni kati ya saa 12 na saa moja, ilitolewa habari ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu, mimi ni mgeni katika forum hii lakini kuna jambo moja nimelikumbuka ambalo huu ndio wakati wake muafaka. kuna walaka wa maaskofu waliouzindua mwaka huu ambapo baadaye waislamu nao...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MGOMBEA wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Monduli kupitia tiketi ya CCM, Edward Lowassa, jana alizindua rasmi kampeni zake akiwa na kauli mbiu ya aina yake kwa wananchi wa Monduli. Kaulimbiu ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajf mimi nimesafiri kidogo niko mkoani kwa week tatu sasa, nimekuwa kifatilia HABARI ZA MAGAZETI lakini gazeti la MWANANCHI Imekuwa inanichukua siku mbili kupata hardcopy ya gazeti la jana...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanajanvi, nawasilisha Wadau inaonyesha kweli mnataka mabadiliko ya dhati. Ujumbe huu uwasaidie kufikia maamuzi ya dhati 31 Oktoba 2010. Mimi siwaambii nani mumchague lakini ninyi mnajua nani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[quote="Field Marshall ES, post: 1104301"] CCM Meeting KILOSA-MOROGORO: ! Na kutoka Michuzi blog ! Umati mkubwa uliojitokeza kumsikiliza JK leo alipokuwa akiwahutubia wana CCM wa Musoma...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau wa JF nimeikuta hii katika gazeti la mwananchi leo. Makamu mwenyekiti wa Nec, Jaji Omar Makungu alisema kauli kwamba Dk Slaa hataingia Ikulu, inaumiza lakini ni juu ya Chadema na Dk Slaa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
NI KWANINI WATANGANYIKA WENGI WANAOISHI ZANZIBAR WANAKIUNGA MKONO CHAMA CHA MAPINDUZI? Mwanzoni wa kuingia vyama vingi Tanzania, kulikuwa na upotoshaji mkubwa unaliofanywa na Vyama vingine zidi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bado nasisitiza kuwa wakazi na wenyeji wa Jiji hili wamekuwa wakituangusha au kutopenda mabadiliko pamoja na mkwara wa kujifanya wanajua siasa au wanapenda mabadiliko kwani ukitazama rekodi za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niko makuburi nasikiliza mkutano wa chadema. Muda huu mnyika anaongea. Muda mfupi kidogo alizungumza mabere marando. Alisema kuwa helkopta moja ni ya fisadi mmoja kijana wa kihindi ana miaka 36...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
• Ni ule wa serikali kuimaliza CHADEMA na Janet Josiah na Charles Ndagula, Moshi MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kunasa...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Back
Top Bottom