Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimejaribu kuangalia magari kama 100 yakipita hakuna hata moja lililoweka bendera ya ccm kipindi hiki cha uchaguzi kama ilivyokuwa kawaida kwa miaka mingine,kulikoni jamani,hata watu wa ccm...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani eeh! Kuna mwalimu fulani yuko mafunzoni katika Chuo kimoja wapo hapa nchini. Hivi majuzi alinitumia ujumbe wa simu ambao ulinifanya nijiulize mara mbili kama anastahili kufundisha mtoto...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Maji safi ya kunywa kwa kila mtu:
0 Reactions
66 Replies
12K Views
Bango moja la JK liko pale nyuma ya Ocean Road hospital au kama unaelekea NIMR au kwa Mkemia Mkuu wa serikali; lina picha ya JK na mwanamke ambaye inasemekana ni mama yake mzazi, halafu lina...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Mdahalo wa Wabunge watarajiwa vijana toka vyama vya siasa ambao CCM wameukacha, baadhi ya dondoo zilizozungumzwa ni PART 1 na PART 2 kwa hisani ya TANGIBOVU WA YOUTUBE: Kuchochea vijana kugombea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dk. Willibrod Peter Slaa 1. Anachokisimamia Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajubikaji katika uongozi wan chi na utendaji serikalini. Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Kiongozi wa dini anayetambua nafasi yake hawezi kusema au kushawishi kumchagua kiongozi fulani. Ndicho walichofanya viongozi wetu hawa wawili wa imani. Askofu Kakobe ameonyesha msimamo gani tuwe...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeweka title kali kidogo kwa sababu nataka kudraw attention ya wadau wa CHADEMA. Actually mi ni mdau wa CHADEMA na niko huku jimboni, bega kwa bega na mgombea ubunge tunapambana na mwanaccm...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
hatutaki kuona yaliyotokea kenya uchaguzi uliopita yanatokea hapa kwetu kwa kuwa na tume inayolinda maslahi ya wakubwa,wito wangu kuwa hakuna sababu za kuyatangaza kwa pupa matokeo huku mazingira...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wakuu wote wa JF naomba sana kama kuna yeyote anayejua kuhusu hii ya Muheshimiwa JK kuahidi Bajaji 400 za kubebea waja wazito kwenda kujifungua! Hii kali ya mwaka!!
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Gazeti la Mwananchi linareport hivi: MKUTANO Chadema, uliotishwa kuwateua wabunge wa viti maalumu, uliingia dosari baada ya kumalizika bila mwafaka kutokana na kuibuka makundi mawili...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi atakuwapo katika Wilaya ya Nzega hapo Kesho... Tusubiri Ahadi kwa ndugu zangu wa Mji huu hasa ukizingatia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana jioni nilipata nafasi ya pekee ya kukutana na viongozi na wakereketwa wa chama tawala na kwa mbali walionyesha kukataa tamaa. Waliniuma sikio kuhusu taarifa za siri za idara ya usalama wa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
BAADA YA CCM KUTUMIA FEDHA, MAGARI, NA RASLIMALI KIBAO ZA SERIKALI KATIKA KAMPENI ZAKE, SASA IMEANZA KUTUMIA WAFUNGWA NA KUPIGA WANYAMA PORINI KWA AJILI YA KULISHA MISAFARA YAKE YA KAMPENI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CUF wakikata mbuga. Shiriki katika kuing'oa CCM na uwemo katika historia.Linda kura yako kwa hali yeyote ile.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kuna watu wanaosoma nyakati basi huyu babu alikuwa amejaliwa kimaanayake... wakati wa kuchagua rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania alipopambanishwa kikwete,mkapa huyu babu alioengea mengi...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Wadau jamvini,ni mara ya pili sasa namuona mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete (akilindwa?) na askari kadhaa toka Jeshi la Wananchi...sijaelewa kwamba ni sababu au mahitaji yapi yanafanya hali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom