Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimepewa taarifa ya kuwa leo JK, yupo Nzega kwaajili ya Kampeni za kujinadi yeye mwenyewe, Mgombea wao wa Ubunge(Hamisi Kigwangala) pamoja na Madiwani wa CCM. Mkutano huo wa Kampeni utafanyika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Usikumbatie waovu kama Kikwete 2. Usiwe mwizi kama Lowasa 3. Usiwe mwongo kama Makamba 4. Usiwe mnafiki kama Rostam 5. Usidharau pesa kama Chenge 6. Usikose msimamo kama Mrema...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI.. Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamaa amechelewa kutua hapa kahama,ameanza kuhutbia saa kumi na mbili jioni hii na bado anaendelea hadi sasa wakati hap juzi cuf waliongeza dakika 10 tu polisi wakawatoa mbio,amekuja na msafara wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
JK alidai kuwa TAKRIMA haiwezi kwisha! Msemaji wake wa kujitolea Tendwa akaja kudai baadaye kwamba eti Rais wetu "alikuwa anatania!!" Vile vile alisema hajui kwa nini nchi yetu ni maskini! Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
It was 50 years ago today that then-Senator from Massachusetts John F. Kennedy took on then-Vice President Richard Nixon in the first-ever general election presidential debate. The debate was a...
0 Reactions
2 Replies
962 Views
Wadau km wewe ni mteja wa Voda tuma ujumbe unaosema BUY 772 kwenda 15577. utapata call back ringtone inayohimiza watu kuchagua chadema. Yaani mtu akikupigia wakati unasubiri upokelewe huo wimbo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HALMASHAURI ya wilaya ya Serengeti mkoani Mara imeingia katika kashfa nzito baada ya kujihusisha na maandalizi ya mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete. Halmashauri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku ya leo Dr. Mwakyembe anatarajia kuhutubia wanakyela katika stend uwanja wa siasa Kyela mjini. Hivyo kwa mtu aliyepo kyela na anapenda kumsikiliza basi ni muhimu kupata taarifa hii, Mkutano...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeota ndoto ccm wamekubali kuwe kunafanyika mdahalo kwa masharti yafuatayo:- 1. Wanaotakiwa kuhudhulia wawe ni wazee wa dar es salaam tu, hataruhusiwa kijana au mtu yeyote asiyeogopa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Natafuta watu ambao watakuwa na uwezo wa kutoa nakala za bure za CD - NIMESEMA ZA BURE - za kuhamasisha. Ndani yake kutakuwemo na tracks kadhaa za mahojiano yangu na wana harakati mbalimbali wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Watendaji wengi ambao kwa nyadhifa zao huteuliwa na rahisi sasa hivi ni tumbo moto wakihofia ujio wa utawala mpya wa Dr. Slaa. Utafiti wangu umebaini ya kuwa wengi wao wanayafurahia mabadiliko...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimepata taarifa kuwa Dk Slaa amezungumza na waandishi wa habari leo na kusema ana ushahidi kuwa watumishi wa Usalama wa Taifa wametawanywa mikoa mbalimbali ili kuidhibiti Chadema na kuhakikisha...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Mimi sina vita yeyote na upinzani hasa CHADEMA, lakini CHADEMA kumuingiza Marando na kumpa jukwaa kuongea na wananchi siliafiki. Mimi nimekuwa nikuwafuatilia sana wanasiasa wakiwepo wa upinzani...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Majaribio ya Ajabu! Shule za kata ni mfano halisi wa kuharibu mfumo wa elimu nchini Tanzania kwa makusudi. Kwa kawaida, hata majaribio ya matabibu wa madawa au upasuaji huanza na wanyama; vitu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yafuatayo ni machache kati ya mengi ambayo CCM na serikali yake iliahidi 2005 kwa wananchi na imetimiza. AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Dk. Willibrod Peter Slaa 1. Anachokisimamia Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajubikaji katikaü uongozi wan chi na utendaji serikalini. Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzaniaü...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tumekua tukiambiwa na kutadhaarishwa kila siku juu ya kuchanganya dini na siasa. Lakini mwaka huu 2010 ambao ni mwaka wa uchaguzi kwa nchi yetu inaonekana wazi maswala ya dini kutawala uchaguzi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sasa naona ameamua kununua air time chanel ten ili kujitangaza kitaifa kama bado yupo,ni aibu kwa kituo cha habari kirudia habari moja kwa siku mbili mfululizo,na kikubwa ya tukio linalofanana,na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wana JF Nimesikia kuna habari kwamba JK katika moja ya mikutano yake ya kampeni amesema wanoishi na VVU eti ni "Kiherehere chao" ndiyo kimewaponza? Nasikia kulikuwa na video za mkutano huo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom