Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwanza kabisa Ukweli ni kwamba kura inapigwa kwa siri. Watanzania wengi sasa wanajua upi Ukweli na upi uongo Yaliotendwa na CCM yanajulikana (in black&white), hata hayakuhitaji Spika au Mabango...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
In about 2 days Kinana anazungumza kwamba kama Chadema itatekeleza suala la elimu bure basi hiyo itakuwa sawa na 70% ya bajeti ya serikali as of now. Wakuu are we that poor? Au takwimu hizi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi mikutano ya CCM bila kuwa mwanachama au T-shirt, kofia au khanga ya kijani na njano hurusiwi kuhudhuria mikutano yao?? Nimefuatilia picha kibao humu ndani lakini tofauti na CHADEMA mikutano...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
source - Habari Leo Kikwete aahidi kutokomeza malaria kwa kuua mbu kila nyumba Imeandikwa na Mgaya Kingoba, Musoma; Tarehe: 26th September 2010 MKOA wa Mara utaanza kampeni ya kunyunyizia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni jambo la wazi kuwa Kikwete anajaribu sana kuweka familia yake katika utawala wa nchi hii. Hili linaonekana wazi kwa jinzi Salma Kikwete amavyojitokeza kwa nguvu siku hizi kuongelea maswala ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ridhiwani Kikwete akiwa na mwalimu aliyemsomesha darasa la kwanza 1987 katika Shule yaMsingi Matangini Mwl. Sophia Makong'o, alipomtembelea nyumbani kwake mjini Nachingwea. Kulia ni mtoto wa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Yapo maneno mengi saana yanatamkwa na waomba na wanaowaombea Kura. Mfano; 1. JK wakati yupo Iringa baadhi ya vyombo vya habari vilimkariri akisema; Chagua CHAMA na si mgombea. Wakati huu alikuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapiga debe na hoja zisizojaa mkononi Godfrey Dilunga Septemba 22, 2010 (Raia Mwema) WILLIAM Penn Adair, maarufu kama Will Rogers, mwigizaji na mtunzi wa filamu wa Marekani wakati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu, jana ilikuwa siku yangu ya nne nikiwangalia JK katika mikutano yake ya hadhara "ya kampeni" lakini ukimsikiliza haongei kama mgombea bali Rais. Kwa mfano jana katika ITV alisema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
JAKAYA MRISHO KIKWETE 1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi. 2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu) 3.Mtu pekee...
0 Reactions
67 Replies
6K Views
Kwa wale ambao hii picha haionekani vizuri, someni post ya Wozoza kaiweka vizuri hapo chini:
0 Reactions
84 Replies
34K Views
ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.....
0 Reactions
4 Replies
2K Views
From my blog: I think it is very naive to believe that political parties anywhere think of elections in democratic terms. Yes, they may wax lyrical about the principles of openness and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nadiriki kusema kuwa hatima ya taifa letu kukombolewa dhidi ya utawala wa ki-imla wa ccm ipo mikononi mwa makubaliano kati ya vyama viwili nguli na pinzani wa dhati kwa ccm. Nimechunguza kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Voice of America (Idhaa ya Kiswahili) inaripoti kuwa vyama vya upinzani 14 katika jimbo la Iringa mjini vimeungana kukabiliana na Gwiji Chadema na Mafisadi CCM. Kwa mujibu wa habari hiyo, Chadema...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
WA TZ WENZANGU KWANZA NAWASALIMU NYOTE HABARINI NA NATUMAI HAMJAMBO POPOTE MULIPO KWANI HII NI MARA YANGU YA KWANZA KUJIUNGA NA MTANDAO HUU AMBAO NADHANI NI MTANDAO ULIO HURU NA UNAOKARIBISHA...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Ni dhahiri sasa kwamba serikali ya awamu ya nne inatumia nguvu mno kutaka kutuaminisha imedeliver au kwa lugha nyingine imeleta mafanikio. Cha ajabu ni kwamba what is on the ground is completely...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Utawala mpya wa Dr. Slaa kufuta sheria ya mafao ya uzeeni ya viongozi CCM walikuwa mahodari wa kuboresha masilahi ya viongozi wa ngazi za juu huku wale wa chini wakiambulia danganya toto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Utumishi wa umma umepoteza maadili, ari ya kufanya kazi na tija IMEJIKITA kaburini. Dr. Slaa atarekebisha upuuzi huu ulioshamiri chini ya utani utani wa JK kwa kufanya utumishi wa umma kuwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ALIYEAHIDI STARS KWENDA GHANA kweli KUFUTA JEMBEMKONO? Kulingana na gazeti la majira la leo Kikwete ameahidi atafuta KILIMO CHA JEMBE LA MIKONO KATIKA MIAKA MITANO IJAYO KAZI ILIYOMSHINDA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom