Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mpango wa kuchangia ni mzuri. Naomba Chadema iwe wazi kujulisha wapenzi wake kuwa imepata michango kiasi gani mpaka sasa na michango hiyo imesaidiaje kwenye kampeni zinazoendelea. Hilo linaweza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Joseph Lyimo, Simanjiro MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa kuwa gumzo kwa wakazi wa Mkoa wa Manyara imezidi kuwapa maumivu makali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi imeondoa taarifa kuhusu namna ya kupiga kura na kuhesabu kura kwenye mtandao wao www.nec.go.tz . Hii ni makusudi kuwanyima wanachi taarifa hizo kwani taarifa nyingine zipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Bukoba mjini jana amewaijia juu wale wanaolalamikia kupanda kwa bei za vitu na kupanda kwa gharama za maisha katika miaka mitano. Akihutubia katika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
alishawahi kutoa kauli kwamba watoto wa shule za kata wanapata mimba tokana na kiherehere chao,waungwana tukajua mtu mzima alipitiwa na kuchukulia kama bahati mbaya,jana tena kwenye kampeni zake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SERIKALI YA UMOJA ZANZIBAR KUDHOOFISHA UWAJIBIKAJI Hivi CUF na CCM watakapokaa mezani na kuongoza serikali ya Zanzibar ni nani atakagua utendaji serikalini kama kweli unamhudumia raia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukifuatilia kwa undani kampeni za wagombea wa udiwani, ubunge na urais kupitia chama cha ma.....CCM utagundua yafuatayo: 1. Wanazungumzia barabara, umeme, kilimo, ajira, maji na amani na utulivu...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Pakua ujionee na kisha nakuomba mpelekee na mwenzio kwa njia ya barua pepe. Na ukiweza print A4 ubandike ukutani dukani, mtaani na popote waliko WADANGANYIKA. Salaamu zangu kwenu............
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jana 29/09/2010 James Mbatia, mgombea ubunge jimbo la Kawe kwa tiketi ya NCCR – Mageuzi alikuwa akifanya Mkutano wa kampeni Tegeta zaidi ya saa 12.00 jioni (12.31). Hivi James atawafaa kweli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Makachero watumwa kumdhibiti Dk. Slaa Mwandishi Wetu Septemba 29, 2010 MGOMBEA Urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa ametangaza kuwapo kwa mkakati mahususi wa kulazimisha ushindi kwa mgombea wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimechoshwa na ubabaishaji wa wabunge waliopita na aliyepo wa CCM, Shekifu kawa mbunge kwa vipindi viwili lushoto lakini bado huduma kwa jamii kama maji, shule, zahanati na barabara sio nzuri na...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nyerere anakumbukwa kwa mengi katika historia ya Tanzania, lakini kubwa linalomtofautisha na maraisi wenzie ni kuwa aliondoka madarakani wakati angeliweza kuendelea, ukimwacha Abdul Wakil wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi kwa nchi maskini kama yetu tunapata wapi ujasiri wa kutuma fedha nyingi kiasi hiki kwa ajili ya matangazo makubwa (na mengi), bendera na tshirt nyingi kiasi hiki??inatia huzuni sana ukienda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tuesday, 28 September 2010 04:36 Na Tumaini Makene MGOMBEA ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bi. Halima Mdee amesema zama za wananchi kufanya...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
"Kwa mtu muadirifu kabisaaaa Ikuru ni mzigo" Nyerere. Kama JK ni mudirifu haoni imefika wakati sasa wa kuutua huo mzigo waupokee wenzake ambao wao wamekuwa wakilalamika majukwaani kwamba huo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KESI YA MUNGAI YASOGEZWA MBELE Kesi inamkabili , waziri wa zamani wa jk, J MUNGAI, imehairishwa hadi oct 15, Aliyekuwa waziri wa serikali zote nne za jamhuri ya muungano wa Tanzania na...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
KATIKA Ulimwengu wao, magwiji wa hisabati, falsafa, historia na wanaharakati wa haki za binadamu hawathubutu kupuuza rekodi ya mwenzao, Bertrand Russell. Russel alipata kutangazwa kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Marando azilipua helikopta za Kikwete • Awataja waliozitoa, asema ni mafisadi wakubwa na Edward Kinabo MWANASIASA nguli na muasisi wa mageuzi nchini, Mabere Marando, amezigeukia...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Chadema ni tumaini jipya, na Rais 2010-2015, ni Dr SLAA CCM ni adui wa Demokrasia na haki, na sitakubali kuichagua wa kuongozwa nayo Nitaipigia kampeni Chadema kadri ya uwezo wangu na kuwachagua...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Slaa aichongea CCM kwa viongozi wa dini Exuper Kachenje MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa jana alikutana na viongozi wa dini na kuwaeleza maoni ya chama chake...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom