Mpango wa kuchangia ni mzuri. Naomba Chadema iwe wazi kujulisha wapenzi wake kuwa imepata michango kiasi gani mpaka sasa na michango hiyo imesaidiaje kwenye kampeni zinazoendelea. Hilo linaweza...
Joseph Lyimo, Simanjiro
MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa kuwa gumzo kwa wakazi wa Mkoa wa Manyara imezidi kuwapa maumivu makali...
Tume ya uchaguzi imeondoa taarifa kuhusu namna ya kupiga kura na kuhesabu kura kwenye mtandao wao www.nec.go.tz .
Hii ni makusudi kuwanyima wanachi taarifa hizo kwani taarifa nyingine zipo...
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Bukoba mjini jana amewaijia juu wale wanaolalamikia kupanda kwa bei za vitu na kupanda kwa gharama za maisha katika miaka mitano.
Akihutubia katika...
alishawahi kutoa kauli kwamba watoto wa shule za kata wanapata mimba tokana na kiherehere chao,waungwana tukajua mtu mzima alipitiwa na kuchukulia kama bahati mbaya,jana tena kwenye kampeni zake...
SERIKALI YA UMOJA ZANZIBAR KUDHOOFISHA UWAJIBIKAJI
Hivi CUF na CCM watakapokaa mezani na kuongoza serikali ya Zanzibar ni nani atakagua utendaji serikalini kama kweli unamhudumia raia...
Ukifuatilia kwa undani kampeni za wagombea wa udiwani, ubunge na urais kupitia chama cha ma.....CCM utagundua yafuatayo:
1. Wanazungumzia barabara, umeme, kilimo, ajira, maji na amani na utulivu...
Pakua ujionee na kisha nakuomba mpelekee na mwenzio kwa njia ya barua pepe. Na ukiweza print A4 ubandike ukutani dukani, mtaani na popote waliko WADANGANYIKA.
Salaamu zangu kwenu............
Jana 29/09/2010 James Mbatia, mgombea ubunge jimbo la Kawe kwa tiketi ya NCCR Mageuzi alikuwa akifanya Mkutano wa kampeni Tegeta zaidi ya saa 12.00 jioni (12.31). Hivi James atawafaa kweli...
Nimechoshwa na ubabaishaji wa wabunge waliopita na aliyepo wa CCM, Shekifu kawa mbunge kwa vipindi viwili lushoto lakini bado huduma kwa jamii kama maji, shule, zahanati na barabara sio nzuri na...
Nyerere anakumbukwa kwa mengi katika historia ya Tanzania, lakini kubwa linalomtofautisha na maraisi wenzie ni kuwa aliondoka madarakani wakati angeliweza kuendelea, ukimwacha Abdul Wakil wa...
Hivi kwa nchi maskini kama yetu tunapata wapi ujasiri wa kutuma fedha nyingi kiasi hiki kwa ajili ya matangazo makubwa (na mengi), bendera na tshirt nyingi kiasi hiki??inatia huzuni sana ukienda...
Tuesday, 28 September 2010 04:36
Na Tumaini Makene
MGOMBEA ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bi. Halima Mdee amesema zama za wananchi kufanya...
"Kwa mtu muadirifu kabisaaaa Ikuru ni mzigo" Nyerere.
Kama JK ni mudirifu haoni imefika wakati sasa wa kuutua huo mzigo waupokee wenzake ambao wao wamekuwa wakilalamika majukwaani kwamba huo...
KESI YA MUNGAI YASOGEZWA MBELE
Kesi inamkabili , waziri wa zamani wa jk, J MUNGAI, imehairishwa hadi oct 15,
Aliyekuwa waziri wa serikali zote nne za jamhuri ya muungano wa Tanzania na...
KATIKA Ulimwengu wao, magwiji wa hisabati, falsafa, historia na wanaharakati wa haki za binadamu hawathubutu kupuuza rekodi ya mwenzao, Bertrand Russell.
Russel alipata kutangazwa kuwa ni...
Marando azilipua helikopta za Kikwete
• Awataja waliozitoa, asema ni mafisadi wakubwa
na Edward Kinabo
MWANASIASA nguli na muasisi wa mageuzi nchini, Mabere Marando, amezigeukia...
Chadema ni tumaini jipya, na Rais 2010-2015, ni Dr SLAA
CCM ni adui wa Demokrasia na haki, na sitakubali kuichagua wa kuongozwa nayo
Nitaipigia kampeni Chadema kadri ya uwezo wangu na kuwachagua...
Slaa aichongea CCM kwa viongozi wa dini
Exuper Kachenje
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa jana alikutana na viongozi wa dini na kuwaeleza maoni ya chama chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.