Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nakumbuka wiki 3 zilizopita nilianika hapa jamvini jinsi nilivyopata taarifa kutoka kwa kigogo mmoja wa CCM kuwa CCM itatumia mbinu za mugabe kutafuta ushindi wa nguvu. Mbinu hizo ni Kutumia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo wagombea ubunge Arusha mjini walishiriki kuadhimisha siku ya wazee duniani kwa kushiriki maandamo yaliyoanzia ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha.Wagombea ubunge wa vyama vya Demokrasia makini,CUF...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shosti kaja na mapya,hebu msikie:
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sasa hivi mdahalo wa wagombea ubunge vijana unaendela "live" hapo EATV na Januari Makamba yumo kinyume cha maagizo ya baba yake Bosi wa CCM kuwa CCM haitahudhuria midahalo hiyo! Hili sakata...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Naomba niwajuze yale yanayoendelea na kuwasibu wenzetu wanaoitakia mema nchi yetu. Habari hii nimeisoma kwenye mtungo wa Francis Godwin September 30, 2010 SITAZIBWA MDOMO...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na FRANCIS GODWIN (MZEE WA MATUKIO) Msafara wa mtoto wa Rais Jakaya Kikwete Bw Ridhiwan Kikwete ukiondoka katika shule ya msingi Ipogolo baada ya kikao chao cha...
0 Reactions
76 Replies
14K Views
watu wamepatwa na mshituko kuona mnadhimu mkuu wa jeshi akitoa kauli za utata,hakuna jipya ni mwendelezo wa kutoa vitisho kwa wananchi ili kuhalalisha ushindi kwa ccm,upinzani kuweni macho na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fredy Azzah AFYA ya mgombea urais wa Muungano kwa tiketi ya UPDP, Fahmi Dovutwa bado tete na yuko kitandani kwa siku tisa sasa kutokana na tumbo lake kujaa gesi, na hivyo kupata maumivu makali ya...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Kura za maoni zilimsaidia Obama kuingia White House. Mimi nina amini na kuheshimu kura za maoni...Wewe Je? Karibu Jamvini 1. Tanzania Opinion Poll Service: Tanzania General Election 2010 2...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jk amekuwa akitoa kaulia za utata kwenye kampeni zake, nilichokuja kugundua watanzania wanapaswa kuzichukulia kama utani na wanapaswa kuozoea utani wa jk na kufanya maamuzi sahihi octoba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jana jioni niliangalia taarifa ya habari ya TBC1 nakuona jinsi hii TV ya uma ilivyo chafu! Walitoa habari ya ukosefu wa maji katika mjini wa Karatu. Ni aibu sana TV ya uma inayoongozwa na mtu...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
The similarities in the East African electionsThursday, 30th September, 2010E-mail article Print articleBy Jerry Okungu MY interest in Tanzania’s impending elections is obvious. I am a Kenyan...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
  • Closed
Uvamizi unaonekana kuendelea katika JF baada ya kura kuongezeka kutoka 1,556 hapo jana saa 11 jioni (1700) hadi kufikia 1,777 leo saa nane dakika 32 (14:32 hrs). This is a tremendous efforts has...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Wanaoleta uchochezi kwenye uchaguzi mkuu wa kila mwaka kuanzia 1995 wengine walikwisha kufa na wengine bado wapo kwa kuweka kifungu na wengine kushindwa kukibadilisha katika katiba ya jamhuri ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwanzoni sikuweza kumuelewa Dr.Slaa kuhusu maagizo mbalimbali anayompa kikwete kutekeleza, na sasa nimemwelewa hasa baada ya juzi Kikwete kuahidi kujenga Reli itakayopitisha treni iendayo kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wale wanataka kujua Zitto yuko wapi na anafanya nini tembelea hii link Zitto na Demokrasia Ndio Mtajua jinsi gani Chadema wamejipanga vizuri. Silaa hawezi kufika kila kijiji lakini wagombea ubunge...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
NEC: Chadema acheni kauli za uchochezi Na Ramadhan Semtawa TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imeionya Chadema kuacha kauli zake za kwamba, kuna njama za kuandaa karatasi za...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
nimekuwa nikisikia ahadi nyingi sana zinazoendelea kutolewa na wagombea urais wa vyama mbalimbali vilivyosimamisha wagombea, hali hii inanifanya nijiulize hawa wagombea wamekuwa wakiishi nchi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tafakuri Jadidi Nakala chapishi Mtumie mwenzio Jiandikishe utaarifiwe Tumeiona nchi ya ahadi kwa mbali, tusonge mbele! Johnson Mbwambo Septemba 29, 2010 MIMI ni mtu mwenye mhemuko, na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kigwangala akataliwa mbele ya JK Nzega MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora, Dk Khamis Kigwangala, amejikuta katika wakati mgumu baada ya wakazi wa jimbo hilo kudai kuwa hawatampa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom