Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna habari Zimenifikia hivi punde kutoka urambo tabora kuwa jeshi la wanyama pori Urambo, Tabora limechoma nyumba za kijiji kimoja na kuua watu 25 kwa kuwasingizia kua ni Majambazi. Watu hao...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Lazima kitumike kidogo kupata kikubwa si kikubwa kupata kidogo. Maana hata kazi mbaya(ndogo) huzaa kazi nzuri (kubwa). Hatuwezi kuanza juu kushuka bali chini kukwea huku tukitumia kanuni ya hapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndg wan JF, Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bnafsi nilikua najua Dr. Slaa Atatembelea Iringa Tar 3 mwezi wa Kumi. Nashangazwa katika mitandao fulani kuwa Dr. atakua Iringa leo. yaani tar 2 October. Pita pita zangu mitaani wengi wanajua Dr...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii,nilikua natafakari sana urais kwa ndugu zetu wa Zanzibar,nimeona kua ni Vizuri wakampa Kura Maalim Seif wa CUF.Ukiangalia Dr Shain alipokua makamu wa Rais,amefanya kitu gani cha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Daniel Mjema,Moshi MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (CCM) amemtetea mgombea Urais wa CCM, Jakaya Kikwete kuwa ni kinara wa vita ya ufisadi. Alisema rais Kikwete ni kinara wa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau, nimeipata stori hii katika Tanzania Daima ya leo uk. wa 3: Ujanja wa CCM wagundulika N Mwandishi wetu, Dodoma MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
JK: Bila safari za nje tungekufa njaa Na Joseph Mwendapole * Asema hawezi kubakia Ikulu akimtazama Salma * Anataka akumbukwe kwa kujenga barabara, maji Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
1. CCM hadi hivi sasa imefanya juhudi kubwa za kuifanya CHADEMA ionekane kama chama chenye fujo na kinaharibu "utulivu na amani" wa Watanzania! CHADEMA bila kujua hila za CCM kimeingia mkenge...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Najua kua humu ndani kuna wanasheria waliobobea.Hivi CCM inapoamua kumpiga mtu au kundi la watu picha na kuamua kuweka publically kwenye mabango yao na bila ridhaa ya watu husika kwa manufaa ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna Askofu mmoja huko Moshi alisema kuwa uchaguzi mkuu mwaka huu utashangaza na kama haitakuwa hivyo basi yuko tayari kupigwa mawe. Nakubaliana naye na hapa kuna mengi ya kuangalia. Ndio mwaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dr. Slaa leo ameanza kuwakawaka channel ten Katika taarifa ya habari ya channel ten ya jioni ya leo, Dr. Slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia mkutano wake wa kampeni huko Ifakara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
...Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la D'Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amesema kwamba madai kwamba mgombea fulani ni chaguo la Mungu huo si usemi wa Kanisa Katoliki wala si msimamo wa Kanisa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kuelekea uchaguzi mkuu,ubaguzi wa rangi,udini na ukabila vipigwe vita Na JUMA KIDOGO Kwanza kabla ya yote nitakuwa mchache wa fadhila kama sinta mshukuru Mungu ambaye ameniwezesha leo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii,hebu tukumbushane,hivi Mgaya alisema wafanya kazi kura wampe Dr Slaa au nani? Wafanyakazi wa serikali,kampuni binafsi,wa majumbani,wa mashambani,waliojiajiri wenyewe n.k.Alisema...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
1. RAISI Kikwete HAWEZI KUONGEA ZAIDI YA DAKIKA. 10 kwa kipindi hiki. Akichaguliwa ni nani ajuaye kuwa itafikia mahali ziwe dk. 5 tu. 2. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni kupuuza watanzania kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kadri siku zinavyoisha kuelekea uchaguzi CCM imeishiwa hoja inaona Dr Slaa anapaa Mkakati ifuatayo inatumika 1. KUTUMIA JWTZ KUTISHA WATU hapa wakubwa wanalindana mwenzao wanaona anakaribia kufa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom