Kuna habari Zimenifikia hivi punde kutoka urambo tabora kuwa jeshi la wanyama pori
Urambo, Tabora limechoma nyumba za kijiji kimoja na kuua watu 25 kwa kuwasingizia
kua ni Majambazi.
Watu hao...
Lazima kitumike kidogo kupata kikubwa si kikubwa kupata kidogo. Maana hata kazi mbaya(ndogo) huzaa kazi nzuri (kubwa). Hatuwezi kuanza juu kushuka bali chini kukwea huku tukitumia kanuni ya hapo...
Ndg wan JF,
Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia...
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za...
Bnafsi nilikua najua Dr. Slaa Atatembelea Iringa Tar 3 mwezi wa Kumi.
Nashangazwa katika mitandao fulani kuwa Dr. atakua Iringa leo. yaani tar 2 October.
Pita pita zangu mitaani wengi wanajua Dr...
Ndugu wanajamii,nilikua natafakari sana urais kwa ndugu zetu wa Zanzibar,nimeona kua ni Vizuri wakampa Kura Maalim Seif wa CUF.Ukiangalia Dr Shain alipokua makamu wa Rais,amefanya kitu gani cha...
Daniel Mjema,Moshi
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (CCM) amemtetea mgombea Urais wa CCM, Jakaya Kikwete kuwa ni kinara wa vita ya ufisadi.
Alisema rais Kikwete ni kinara wa...
Wadau, nimeipata stori hii katika Tanzania Daima ya leo uk. wa 3:
Ujanja wa CCM wagundulika
N Mwandishi wetu, Dodoma
MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM)...
JK: Bila safari za nje tungekufa njaa
Na Joseph Mwendapole
* Asema hawezi kubakia Ikulu akimtazama Salma
* Anataka akumbukwe kwa kujenga barabara, maji
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi...
1. CCM hadi hivi sasa imefanya juhudi kubwa za kuifanya CHADEMA ionekane kama chama chenye fujo na kinaharibu "utulivu na amani" wa Watanzania!
CHADEMA bila kujua hila za CCM kimeingia mkenge...
Najua kua humu ndani kuna wanasheria waliobobea.Hivi CCM inapoamua kumpiga mtu au kundi la watu picha na kuamua kuweka publically kwenye mabango yao na bila ridhaa ya watu husika kwa manufaa ya...
Kuna Askofu mmoja huko Moshi alisema kuwa uchaguzi mkuu mwaka huu utashangaza na kama haitakuwa hivyo basi yuko tayari kupigwa mawe.
Nakubaliana naye na hapa kuna mengi ya kuangalia.
Ndio mwaka...
Dr. Slaa leo ameanza kuwakawaka channel ten
Katika taarifa ya habari ya channel ten ya jioni ya leo, Dr. Slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia mkutano wake wa kampeni huko Ifakara...
...Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la D'Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amesema kwamba madai kwamba mgombea fulani ni chaguo la Mungu huo si usemi wa Kanisa Katoliki wala si msimamo wa Kanisa...
kuelekea uchaguzi mkuu,ubaguzi wa rangi,udini na ukabila vipigwe vita
Na JUMA KIDOGO
Kwanza kabla ya yote nitakuwa mchache wa fadhila kama sinta mshukuru Mungu ambaye ameniwezesha leo...
Ndugu wanajamii,hebu tukumbushane,hivi Mgaya alisema wafanya kazi kura wampe Dr Slaa au nani? Wafanyakazi wa serikali,kampuni binafsi,wa majumbani,wa mashambani,waliojiajiri wenyewe n.k.Alisema...
1. RAISI Kikwete HAWEZI KUONGEA ZAIDI YA DAKIKA. 10 kwa kipindi hiki. Akichaguliwa ni nani ajuaye kuwa itafikia mahali ziwe dk. 5 tu.
2. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni kupuuza watanzania kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.