Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

KABLA HATA UCHAGUZI KUFANYIKA CHADEMA WAMESHAANZA KUGOMBANIA MADARAKA!!! HAYA NDIYO KAMA YALE YALIYOWAKUTA NCCR-MAGEUZI!!! HABARI ZAIDI SOMA HAPA: CHADEMA Mkoa wa Mwanza kwafukuta
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ole wao walambao makalio ya mafisadi na ilaaniwe siku waliyozaliwa Kama unajijua unafanya hivyo jirekebishe ipende nchi yako.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sasa hivi nimepita mlalakua iliyokaribu na Mlimani city.Amejieleza vizuri sana.Pia wananchi wamepewa fursa ya kuuliza maswali.Ni mkali,Kawe wasimpoteze.dada huyu,yuko makini sana.Nilikua napita tu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwalimu Nyerere alipata kusimulia kisa cha mbwa wa Manzese. Nilikuwa bado kijana mdogo sana niliposikia kisa kile. Ilikuwa mwanzoni mwa miaka ya 80. Ni kwenye kilele cha Sherehe za Wafanyakazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
....Angesimama na Kikwete kumfanyia kampeni yeye na CCM? Kwanini angemfanyia au kwanini asingemfanyia? Tukumbuke kwamba Mwalimu hakuwa mnafiki au kujikombakomba kwa watu/mtu. Tujadili
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Viongozi wa dini wamtetea Dk Slaa. Thursday, 30 September 2010 04:10 *Askofu Ruzoka ashauri zijadiliwe hoja si maisha binafsi *Askofu Laizer: Tukitazama maisha binafsi hakuna atakayepona ?Na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama umesoma Mwananchi Jumapili ya leo ukurasa wa 4 JK anaonekana akisalimiana na watoto wadogo chini ya miaka kumi hivi kwenye kampeni zake. Watoto hao wadogo hawajafikisha umri wa kupiga kura...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
JK Why you lie citizens..? Obama hakuitaja wala kuisemea TZ kwenye mkutano wa UN, nashangaa JK anadanganya, we as TZs tunashangaa kwa kusema uongo, mbona una kosa hoja? ahadi zimekwisha..? Jk...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tendwa awaonya Kakobe, Sheikh Yahya • Ajiandaa kutunga sheria kali dhidi ya wanajimu na Danson Kaijage, Dodoma MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa, amevunja ukimya na kuwajia juu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
kwa mara ya pili katika muda wa wiki moja mgombea moja wa Uraisi ametumia jina la Raisi wa merekani ili kuvutia wapiga kura, mwanzo ni pale alitumia hotuba ya obam kwenye millinium goal challenge...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimesoma kwenye gazeti la Mwananchi kuwa JK alipokuwa kwenye ziara yake huko Ludewa, kabla ya kupanda kwenye jukwaa alipokea simu kutoka kwa balozi wa marekani nchini Bw. Alfonso E. Lenhardt. JK...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Lula da Silva, Rais wa Brazil aliyesoma hadi darasa la 4 tu. Luiz Inácio Lula da Silva was born 6 October 1945. Known popularly as Lula he is the thirty-fifth and current President of...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimepata sms kutoka kwa rafiki yangu aliye Mafinga kuulizia yuko wapi Dr Slaa? Kwa maana Wanamafinga wanamngoja na kuongeza kusema ana kura nyingi sana pale. Sikuweza kujibu yuko wapi na ratiba...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
HUWEZI KUAMINI HABARI ZILIZOKO HAPA CHINI "KAMA ZILIVYO" NIMEZINAKILI KWENYE TOVUTI YA GAZETI LA MTANZANIA. NI VIZURI WASHINDANI WA CCM WAKAFUATILIA HILO LA MASHINE ZA KUCHAPISHA VITAMBULISHO VYA...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
nipo hapa uwanja wa jumbe manyoni watu wanamsubiria jk anayetarajia kuhutubia hapa muda si mrefu,watu ni wachache sana hawazidi mia moja,labda tusubilie watakavyobebwa na malori kuja kwenye huu...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Kila siku huangalia channel ten lakini sioni habari za Dr. Slaa Hivi kuna nini channel ten mbona habari za kampeni za Dr. Slaa ni “blackout”? Au siyo “Newsworthy”?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
CCM Irudishe Hela Iliyokusanya kutoka kwa Wanafunzi kwa Kutumia TCU Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu jinsi TCU ilivyokusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wanafunzi na madai kuwa fedha hizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii Kampuni ya uchimbaji madini ya African Barrick Gold kiukweli inaiujumu uchumi wa Tanzania Haiwezekani watu wafanye kazi Tanzania halafu mishahara yao ilipwe kutoka Afrika kusini,wakati huo huo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hatimaye imethibitika kuwa tafiti zilizofanyika ni za kweli kuwa Dr.W.P.SLAA anatarajia kuibuka mshindi kwa zaidi ya 60% na ndiyo maana leo tena tumesikia chombo cha juu kabisa katika ulinzi wa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nimesikitika na ninaendelea kusikitika sana hasa ninapowaona watanzania wenzangu wakitaka kuiangamiza nchi yao wenyewe, kwa sababu tu ya ubinafsi,uchoyo na urafi. Haiingii akilini mwangu kuona...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom