Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Napenda kutoa uchambuzi wangu kwa watanzania nikiwasihi kutomchagua Jakaya Kikwete na kutoichagua CCM.Kuna sababu 16 zinazohalalisha watanzania kutomchagua Kikwete na CCM,nazo ni; 1.Embu kumbuka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF hamdhani ni uzalendo uliotukuka kama watanzania hawamchagua tena KIKWETE kwa kua kazi ile ni mzigo unaohitaji mtu ambaye ana afya imara? Hii itamsaidia kupumzika vema ikizingatiwa kua...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
CLICK Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania - 2010 -2015 SERA ZA SLAA ZAZIDI KUWASHIKA MABADILIKO LAZIMA ASIYEPENDA ELIMU YA BURE ATAKUWA NA MTINDIO WA UBONGO
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WanaJF mwenye taarifa za maendeleo ya kampeni kwa bwana shibuda huko Maswa Magharibi atugani tafadhali!hatujasikia muda umepita.tafadhali mwenye nazo
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Je, ni sahihi kwa vifaa vya kupigia kura kusambazwa na JWTZ? Kama Lt. Gen. Shimbo ndio anatishia namna hii, hivyo vifaa vitakapofika kwenye vituo vya kupigia kura tutakuwa na imani navyo kweli?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Lindi mjini,kwa tiketi ya CCM, Bw, Mohamedi Abdullaziz amewakatisha tamaa wakazi wake, baada ya kuwaeleza bila ya aibu kuwa Serikali haina mpango wa kuboresha bandari...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nakuja tena kwenye jamvi kama ifuatavyo. Kuna haja ya kujadili sote uwezekano wa kuwatumia wanazuoni ambao haki yao ya kuchagua imechakachuliwa na wachakachuaji. Lakini vijana hawa wanaweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dr. Slaa ametuelimisha vya kutosha umuhimu wa kufanya mabadiliko ya uongozi wanchi ili kulikomboa kiuchumi, kijamii na kiuongozi taifa la Tanzania. Mimi binafsi nimemuelewa sana na tayari...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa Mvutano mkubwa uliibuka jana kati ya mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Pamoja na sababu kem kem ambazo ccm wametupa za kukinyima kura .Hii ni nyingine Conservative Party - UK Parliamentary General Election Total Expenditure £17,852,240.75 Number of constituencies...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
SAKATA la Jossephini na Dk. Slaa, leo jioni limemfanya Makamu Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Benno Malisa kuzomewa hapa Geita wakati akimnadi ubunge wa CCM jimbo la Geita Donard Max...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari zilizoandikwa na Frederick Katulanda wa Gazeti la mwananchi zinasema. ZOMEA zomea kwenye mikutano ya kampeni ya CCM jana ilimgeukia mpigadebe aliyejaribu kuingiza masuala ya maisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WanaJF: Tumeingia ngwe ya pili ya kampeni na sasa tunaona jinsi shujaa wetu, mkombozi wetu, Dr W. Slaa alivyoanza kutumia ile mitutu mingine katika mashambulizi yake kwa kikundi cha kifisadi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani nasikia leo Dr. Slaa alikuwa Kyela, sasa wadau wa Kyela hebu tujulisheni kilichojiri japo kwa ufupi KAMPENI KWA SIMU ZA MIKONONI NI ZAIDI YA KAMPENI ZA SHUKA KWA SHUKA ZA SALMA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Dr. Willibrod Slaa amesema umasikini wa watanzania hauwezi kuondolewa kwakuwanunulia Bajaji (Pikipiki ya matairi matatu) iliyotolewa naJakaya Kikwete kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Endapo hakutakuwa na mgombea wa Urais ambaye amepata kura zaidi ya asilimia hamsini basi wagombea wawili waliopata kura nyingi zaidi wataenda kwenye mzunguko wa pili ndani ya siku arobaini baada...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu wanajf Mambo mengine yanayoyasikika na kushuhudiwa kwa macho kuhusu uchaguzi mkuu wa 2010, yanastahili kupewa jina moja tu VITUKO VYA UCHAGUZI kwani naamini kuwa huwa ni nadra sana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom