Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hadi sasa wana jf jk hajafika pemba alikotakiwa kuhutubia na hapa watu wameanza kutawanyika,je ataweza kulinda muda uliowekwa na tume wa mwisho wa kampeni yaani 12 jioni?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kama ilivyo kawaida ya porojo za ccm kuwa wanamuenzi baba wa taifa huku wakiwa wachafu kimaadili kupindukia,ikiwa sasa kwenye kampeni zake hasa kwenye majimbo yenye wagombea wenye maadili shakani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu mtandaoni nimebahatika kukutana na tovuti ya CCM, duh jamaaa hawapo up-to date kabisaaaa yaani hadi leo kawawa yumo kama mjumbe wa CC. kwa hali hii tutafika kweli? 1. Jakaya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa kwanza nawasalimu kwa jina la bwana wetu kristu alie hai..pili polen sana na shuguli za kila siku hasa wakati huu ukifikiria jinsi ya kwenda kugongana bams na watu huku wengine wakitoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ameuza timu toka kipenga cha kwanza kilipopulizwa. Ameruhusu magori kuingia hata pale alipotakiwa kudaka. (i) Ameruhusu David Balali kukimbia nchi, (ii) ameruhusu Andrew Chenge kuendelea kupeta...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenyekiti UWT: CCM majungu yatatumaliza Monday, 04 October 2010 18:45 Mwandishi Wetu, Bukoba MWENYEKITI wa Umoja wa wananwake (UWT) Bukoba Mjini ...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
anayegombea ubunge jimbo la manyoni magharibi kwa tiketi ya ccm bwana lwanja ambaye alizomewa wakati wa ujio wa jk,yupo kwenye wakati mgumu baada ya kuamua kuliweka rehani gari yake na nyumba yake...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
na Mwandishi wetu MGOMBEA wa ubunge wa jimbo la ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Hawa Ng'humbi amewaomba wakazi wa jimbo hilo, kuwapa ridhaa ya kuongoza kwa kipindi cha miaka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani sijui nakosea am a la yaani kuna huyu ant jaman nimekuwa nikisikiliza mikutanio yake yaani sijui nasema na ashukuru amepita kwenye chama cha ccm else uchaguzi ungekuwa mgumu maisha upande...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hali inayoonesha wagombea wa CCM kuishiwa sera na kuendekeza dhana ya kuwaona Watanzania ni mazuzu, mgombea wa Ubunge jimbo la Segerea Bw. Dr. Makaongolo Makanga ametoa ahadi kichekesho kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
04 October 2010 Mussa Juma, Arusha WAGOMBEA wote wa viti vya ubunge na udiwani kupitia tiketi ya Chadema katika Jimbo la Arusha, jana waliandamana kwenda ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Sorry mods, naona wengi wanaziulizia picha hizi lakini nimeona niwaletee kipekee bila kuingiza kwenye ile ya nyanda za juu kusini, mnaweza kufanya hivyo baadae baada ya wadau kuziona na kutoa...
0 Reactions
81 Replies
15K Views
Taarifa zilizonifikia hivi punde za uhakika ni kuwa Dr. Slaa na timu yake mpya inayosubiri kukamata dola tayari wameanza mjadala mzito wa kuibomoa na kuisukuka upya Takukuru. Ili kuwathibitishia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna tetesi zinasema kuwa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) kinaandaa sherehe za siku ya walimu duniani ambayo itafanyika mkoani Ruvuma na mgeni rasmi atakuwa J.M. Kikwete. Hii inaweza kubadilisha...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani tujaribu kuwaelezea vizuri marafiki, ndugu na jamaa wa karibu kuhusu ukombozi kupitia Dr. Slaa. Juzi nilikuwa shamba nikaongea na mlinzi wangu mpaka akakubali kumchagua Dr. Slaa na maongezi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nadiriki kuita ni utafiti kwa kuwa majibu yake yanaanza kuonyesha viashiria vya ukweli. Bwana tendwa alisema mapema kabla ya kambeni kuanza kuwa " Upinzani unatarajia kuzoa viti vya ubunge wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BAADA ya kulia na propaganda chafu za Chadema, mgombea ubunge katika Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya TLP, Augustino Mrema, amesema anapanga kujibu mapigo kwa kuhamishia nguvu zake katika majimbo...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
JF na wote, Nimekuwa tafuatilia kwa makini sana mambo yanayojitokeza ktk JF. Ukweli kabisa ni mambo ambayo Watanzania wote, bila kujali chama, dini, kabila au rangi, waweze kufahamu. Tatizo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mpaka sasa hivi kilaza wetu tendwa amelala vijana wake wanavinja sheria za uchaguzi, huyu tendwa atakuja kuleta vurugu katika uchaguzi unaoendelea. Leo nimeangalia ITV nikamuana Godbless lema...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, mi nilikua nawaza sana kuhusu wagombea ubunge kupita bila kupingwa. Sasa je wakienda bungeni wanawawakilisha CCM au wananchI wote wa majibo husika. Kwa nini tume ya uchaguzi isifikirie nje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom