Katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku wa leo (TBC) Shehe Mkuu Simba amewajia juu viongozi wa dini wanaohamasisha wafuasi wao kupigia watu fulani. Nina wasiwasi hii itaongeza tension maana...
Wanajamvi usiku huu nilikuwa napitia gazeti la CCM na nimeshengazwa na kukutana na kichwa cha habari kwamba tovuti yao imechakachuliwa na wahuni na waliofanikiwa kuendesha KURA YA MAONI ya URAIS...
Nimetumia baruameme yenye picha hizi zinaonyesha tofauti kati ya uongozi-utumishi na uongozi-matanuzi. Natumai nanyi mwaweza kuzisambaza kuonyesha jinsi kiongozi muasisi wa nchi yetu alivyoongoza...
In some of the sections of Dar es Salaam city, particularly those bordering the bush, fuel wood is depended upon as a source of energy in cooking. Above, these women were caught carrying wood...
Changia CHADEMA kwa kutuma neno "CHADEMA" kwenda 15710 (Zain na Voda tu)
Hili si jipya jamani ila nimeona tukumbushane kidogo kuwa nguvu zetu zinahitajika hata kama ni kidogo kidogo kuweza...
Baada ya serikali ya CCM kufikiri kutowarudisha vyuoni wanafunzi wa vyuo vikuu inawakomoa wogombea wa vyama vya upinzani, imejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutawanya wapiga debe wa mageuzi...
Na Maggid Mjengwa,
Iringa ni ngome ya CCM. Jana jioni Dr Slaa alitua Iringa na kuvuta umati mkubwa wa watu. Nilikuwapo pale Viwanja vya Mwembetogwa. Nini aliongea na kina nini ndani yake...
NAIBU katibu mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) Nicolaus Mgaya jana alikuwa kivutio kikubwa mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati aliposhangiliwa kwa muda wa zaidi ya dakika kumi...
Katika hali ya kushangaza gazeti la uhuru wamekanusha kuendesha maoni yaliyokuwa yanahoji utendaji wa serikali. Kwa sasa imeondolewa. Na wanasema hawaendeshi maoni ya aina hiyo.
Cha ajabu ni...
Kero ya Fixed Charge kwenye ankara za Tanesco ni miongoni mwa kero nyingi ambazo zimekuwepo muda mrefu lakini hakuna hata kiongozi mmoja anayeelekea kuitatua.
Ukitaka kuweka umeme kwenye jengo...
Jamani Jk jana alikutana uso kwa uso na raisi wa vyama vya wafanyakazi mbwana Mgaya.kitika muda wa kutambulishwa wageni walitambulishwa wengi lakini hakuna aliyopigiwa makofi au kushangiliwa...
leo nimefanikiwa kusikiliza kipindi cha PATA PATA katika radio ya WAPO FM 98.0. Kulikuwa na wasikilizaji wanatuma ujumbe wa maandishi kuhusu taarifa zilizokuwa zinatolewa. katika kipindi...
Ktk kipindi cha Jahazi cha Radio Clouds jioni hii, kuna hili limeripotiwa na producer Semalenga wakati wa kampeni za CCM, kuwa JK amesema vitu viwili vifuatavyo akiwa anamnadi mgombe wa jimbo hilo...
Dk Slaa amtaka Jk ataje waliopewa Sh1.7 trilioni Monday, 04 October 2010 07:34 digg
Beatus Kagashe, Iringa MGOMBEA wa urais wa Muungano kwa tiketi ya Chadema , Dk...
Wana JF;
Kwa wale walio makini katika kusoma "Body Language": Je ni ujumbe gani tunaupata kutoka kwa Walinzi hawa wa amani waliokuwepo katika Mkutano wa Kampeni za Urais wa Dr. W.P. Slaa...
Siku 28 kabla ya Watanzania kupiga kura ya kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani, madhehebu kadhaa ya Kikristo nchini yameungana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary...
Siku ile ailita wafanyakazi Mbayuwayu na kusema " Mimi ndio mwajiri wenu.Atakayegoma nitamfukuza kazi" Nasi Oct 31 twendeni TUKAMFUKUZE KAZI
Alisahau kuwa sisi ndio waajiri wake.
Kwa muda mrefu kumwkuwa na thread kuwa wengi wa wanaokuja katika kampeni za CCM na JK mbali na kushangaa kuwa mgombea mmoja anaweza kusafiri kwa herikopta 3 lakini kuna tetesi kuwa huwa wanasombwa...
Wana JF, ukimwangalia sana JK utagundua kuwa kachoka bin taabani! Analazimisha tabasamu! Anaongea kama vile anaongea na waandishi wa habari, haongei kama anahutubia. Atamaliza kweli kampeni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.