Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mtazamo wangu: kizaza cha CCM cha kuanzia miaka ya 1960 ni kiovu na hakina uadilifu wa kuongoza. Hawa wanachochewa na baadhi ya vizee ambavyo vishakuwa vishenzi ktk nji hii kama Shimbo na Kingunge.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimehakikishiwa kuwa bendera za CCM sasa ni dili kwani baadhi ya madereva wa Daladala Arusha wanakunja shilingi elfu 10 kwa kukubali kupeperusha bendera za CCM kwenye Magari yao! Mgombea wa CCM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkapa, Malecela, Sumaye wamkimbia Kikwete Na Saed Kubenea - Imechapwa 29 September 2010 VIGOGO waastafu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali, wamekacha kampeni za mgombea urais...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wadau mnaotambua kwa undani katiba ya nchi na pia mnaoifahamu demokrasia ya vyama vingi naomba mnipe elimu kidogo.................nimefatilia kampeni za uchaguzi kwa makini sana haswa vyama vya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na mwandishi Absalom Kibanda wa Tanzania Daima 6/10/2010 Wadau nawaletea kipande cha habari ndefu ya mwandishi huyu ila mimi nimependa tujadili hiki kipande karibuni; "Ili kufanikisha hilo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Na Ruhazi Ruhazi SIJALI bado umbali gani katika safari yetu, lakini nimepata matumani, nimefarijika na kufurahi baada ya kuona kundi kubwa la watu walipo kwenye safari yetu sasa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Leo saa 1 hadi saa 3 usiku vijana wanasiasa watakuwa ndani ya nyumba movenpick hotel kwa mdahalo na Jeneral Ulimwengu, so watakuwa live itv. My concern ni vijana wawili machachari John Mnyika na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau leo Wagombea Ubunge vijana wataumana katika mdahalo unaorushwa moja kwa moja na ITV kuanzia saa moja kamili mpaka saa tatu. Superman upo ha ha ha Washiriki ambao wako hewani ni ZITTO...
0 Reactions
146 Replies
12K Views
Jeshi la Polisi la Polisi Mkoani Mwanza limekamata gari moja la wizi kutoka nchini Kenya likiwa na mabango ya picha za mgombea ubunge jimbo la Nyamagana jijini Mwanza, ambaye pia ni waziri wa...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
BADO MAMBO YA KUSHANGAZA YANAENDELA KUTOKEA KATIKA NCHI YETU YA TANZANIA. SLAA AMESEMA KUMBE MNADHIMU MKUU NDIYE ALIYEPEWA TENDA ZA KUAGIZA TREKTA ZA KILIMO KWANZA ZA POWER TILLER. KAMA NI HIVYO...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
na Ali Lityawi, Kahama Source: Tanzania Daima MGOMBEA udiwani wa Kata ya Igunda, Wilaya ya Kahama kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Charles Malecha Kasonha (43), amefariki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mambo ya siasa zetu na utapeli wa kuaminiwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Sijamsikia Yule mzee wa walaka wa wakatoliki Kingunge ngombale Mwiru. Baada ya kuwepo kwenye kampeni za kule kusini sijamsikia tena kulikoni? au maji ya shingo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mamia ya waalimu waliohudhuria maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani wakiingia kwa maandamano katika uwanja wa michezo wa Majimaji mjini Songea ambapo Rais Dr.Jakaya Mrisho kikwete alikuwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wanajamii nisaidieni hili. Hivi huyu mzee wetu lyatonga ni kwanini anang'ang'ania sana madaraka? Wakati wa mfumo wa vyama vingi alitoka CCM na kujiunga na NCCR, Akaharibu akaanzisha NCCR MAGEUZI...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi majuzi nilitembelewa na mama yangu kutoka kijijini kwetu. nilitaka kujua hali ya kisiasa huko wilayani kwetu maana ni sehemu ya ngome ya Mzee Mapesa. aliniambia kuwa mchuano ni mkali mpaka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimefurahishwa na uchambuzi ulioandikwa kwenye gazeti la KULIKONI hivi karibuni. Nitanukuu sehemu tu ya uchambuzi huu ili tuweze kuujadili. "Tabaka la mibaka-uchumi (mafisadi) limeteka nyara...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi Chadema hawakusimamisha mgombea pale TBR Mjini? hawa jamaa naona wasanii tu wote hamna mwenye point hata mmoja, kwa mtaji huu CCM wameshalikwaa jimbo hilo!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Me sikutaka kuamini kua nilisikia vizuriniliposikia BBC leo asubuhi kua eti Tanzania ni nchi kinara kwa utawala bora Afrika ya mashariki. Ikabidi nitege sikio vizuri, lakini ndipo iliposisitizwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom