Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
By The guardian reporter 7th October 2010 The European Union (EU) has launched an Election Observation Mission (EOM) for the October 31 General Elections. A press statement released by the EU...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Source Mzalendo.net Mwanzoni wa kuingia vyama vingi Tanzania, kulikuwa na upotoshaji mkubwa unaliofanywa na Vyama vingine zidi ya CUF, ikiwemo kuambiwa kuwa: 1.CUF Wakipata madaraka watarudisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kulingana na sheria za uchaguzi aliyefungwa kwa zaidi ya mwaka mmoja hana sifa za kuwa mgombea. Bw. Aden rage ambaye hivi sasa anagombea jimbo la Tabora Mjini na ambaye hivi karibuni amekuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
:A S 465:Wadau naomba anayejua anipe majibu kabla ya siku ya kupiga kura. Nimejiandikisha kupiga kura Dar es Salaam lakini sasa nipo mkoa mwingine, je naweza kumpigia president kura?:A S 465:
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF, Katika pita pita yangu huko uswahilini mitaaa ya Mtakuja , Uhuru na baaadae kuelekea maeneo ya home Capri-Point. Nikiwa njiani baada ya kupita uwanja wa nyamgana kama naenda kamanga...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nahitaji namba za simu za Slaa, Mbowe na Zito....! ninalo la kuwaambia.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jakaya Mrisho Kikwete. HAKUNA ubishi kwamba matarajio ya Watanzania wengi katika uchaguzi mkuu ujao ni kuona mabadiliko makubwa yakitokea katika nafasi mbalimbali za uongozi wa nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama CCM wameweza kukodi mabasi na maroli ya kubeba watu kwenda kwenye kampeni, kununua T-shirt na kofia kwa kila mtu mwenye muda wa kwenda kwenye kampeni zao nchi nzima kwa pesa za Umma...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
naona ndugu zetu sasa wameanza kuzidiwa na mashambulizi ya hoja na kuja kivingine
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Ndg zangu mie bado ninatafakari habari za wa 16. Wazo langu ni kwamba huko. Tuliko tuhakikishe basi tunafanya kazi ya kufa na kupona kwa kukuwa mabalozi wazuri kwenye zoezi la kusimamia uhesabuji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya Serikali kutangaza nafasi ya kazi ya CEO mpya wa Tanroads, Ephraem Mrema wa Tanroads amewaambia watendaji wake kwamba tangazo la kazi la CEO mpya ni danganya toto maana ameshaonana na JK...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mpiga debe ambaye pia ni mke wa rais wa Tanzania ameingia katika simanzi ya aina yake pale idadi ya watu waliohudhuria kampeni alizokuwa akiziendesha katika ukumbi wa kibo kuzidiwa na wale...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mchakato wa kampeni za uchaguzi wa mwaka huu unaonyesha ccm na hasa kikwete imepata upinzani mkubwa sana ambao hawajawahi kuu-experience na wala hawakuutegemea, imekuwa 'surprise' nakuleta ' a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kulikuwa na tetesi kuwa Karatasi za kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu zinachapwa Uk, zina serial numbers kwa ajili ya control na haziwezi kuchezewa (kuchakachuliwa) lakini punde nimepata...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kama tukiendelea kutawaliwa (sio kuongozwa) na CCM, tunaelekea kuzimu kwani tukijashtuka hatuna madini tena (yote yamechukuliwa na "wawekezaji"), hatuna gesi tena, tumeua mbuga za wanyama (maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi ndivyo tulivyomchoka jk
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom