Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

ni mzuri sana wa kuomba misaada! au unasemaje waungwana?
0 Reactions
0 Replies
941 Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imepania kuweka rekodi baada ya kueleza kuwa itatangaza matokeo yote ya uchaguzi mkuu siku moja baada ya kupiga kura, uamuzi ambao unaweza kupunguza mianya ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Kumekuwa na tuhuma za mara kwa mara kwamba kwamba JF is of special interests, sometimes for some people, institutions, political parties etc. Watu kama Mengi, Zitto na hata JK wamewahi kutajwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Usiku wa kuamkia leo katika mtaa wa makao mapya mjini Arusha, bendera na vipeperushi vyote vya Chadema vilivyokuwa vikipepea vimeibwa na watu wasiojulikana...!!! Nimepita eneo hilo leo asubuhi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imezibadilisha karatasi za kupigia kura. Karatasi hizo sasa zitakuwa na nembo ya chama cha siasa cha mgombea. NEC imeagiza kuwa, mchakato mzima wa uchaguzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba wadau kama imeshawahi kutokea katiak nchi ye yote katika dunia nusu ya population imejiandikisha kupiga kura kama Tanzania,
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Kama Mtanzania mwenye akili timamu, ninayetaka mabadiliko, mwenye utashi na hamu ya kuchagua viongozi kwa kufuata sera (badala ya ukada na ushabiki wa kijinga), ninapenda kulipongeza gazeti la...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ijumaa Oktoba 08, 2010 Habari za Kitaifa Slaa atikisa Sumbawanga Imeandikwa na Peti Siyame, Sumbawanga; Tarehe: 8th October 2010 @...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jihabarishe bofya hapa http://www.facebook.com/kikwetebilal#!/kikwetebilal
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cheeecheeee cheee ...........unapata dezo dezoooo.....mali zao sitaki kuuacha....sera zao hazilipiii....we CCM weee umeumbukaaa....... Jana nimekuta store moja imesheheni mzigo huuu huku Arusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
gazeti la mwanahalisi la jana liliandika kuwa miraji kikwete amefungua ofisi ya CCM isiyo rasmi mtaa wa undali upanga no.175 ambako kuna wataalam wa IT aliyosoma nao Bangalore India walioandaliwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dk. Slaa alipaswa kumpa pongezi Lt. Jen. Shimbo Lula wa Ndali-Mwananzela Oktoba 6, 2010 BAADA ya Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo kutaka vyama vya siasa viwe tayari kukubali matokeo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau huyu mtaalam wa kughani wa ccm yuko wapi? Tulimsikia sana chaguzi zilizopita. Mwenye habari zake mtumwagie
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wednesday, 19 May 2010 SERIKALI imetoa waraka unaovielekeza vyuo vikuu vyote nchini, kuchelewa kuanza muhula wa masomo kwa mwezi mmoja, ili kupisha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa...
0 Reactions
220 Replies
18K Views
Jamani jana lipumba alikuwa katika kampeni mjini Bukoba, na alihutubia mkutano katika uwanja wa mashujaa (maarufu kama uwanja wa mayunga au uhuru platform). Kwa kuwa sikuwepo sijapata vizuri nini...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Mwalimu Nyerere aliongelea uozo katika CCM. Kwa mfano, wakati alipokuwa anajiandaa kung'atuka uenyekiti wa CCM, alizunguka nchi nzima akikagua uhai wa CCM. Wakati wa ziara hiyo, inaonekana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wahenga wa Kizungu wana msemo wao; eti " A blck cat may be a bad luck ONLY if you are mouse!" Chambilecho waungwana, kama wewe si panya, ya nini kumwogopa paka mweusi?! Nataka kuzungumzia...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
Kama kuna mbunge kijana au mwanaharakati wa ukweli huwezi acha kumtaja john john mnyika, haya yamedhihirika kwenye mikutano yake ya kampeni kutokana na sera yake ya (AMUA) jinsi anavyo ishusha...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Chadema yawasilisha malalamiko Mashirika ya kimataifa pia yaelezwa Kauli iliyotolewa na vyombo vya usalama Ijumaa iliyopita na kusomwa hadharani na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana JF Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom