Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mafundisho haya yanatoka kwenye kitabu kitakatifu Bible The Lord saw that the wickedness of man was great in the earth, and that every imagination of the thoughts of his heart was only evil...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mambo yameiva.....
0 Reactions
1 Replies
957 Views
THE MILITARY SHOULD PREPARE TO SALUTE A NEW COMMANDER IN CHIEF By. M. M. Mwanakijiji All the armed forces of Tanzania should ready themselves psychologically and instrumentally to...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Wadau katika pitapita zangu ktk mtandao wa tume ya uchaguzi, nimkutana na kitu hiki hapa chini: - http://www.nec.go.tz/?modules=registration⊂ MTAZAMO WANGU 1: Kwa nini hadi sasa siku 27...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana nilipata "network". Nikazungumza na baba yangu mzazi anayeishi kata ambako msafara wa kikwete uliwahi kupigwa mawe. Nikamuambia mwaka huu tunataka mabadiliko. Aachane na mambo yake ya zamani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UKITAKA KUJUA KUWA CCM NA SERIKALI YAKE NI WAZEE WA ANASA NENDA KWENYE MIKUTANO YAO YA KAMPENI NA UTAKUTANA NA YAFUATAYO: MSAFARA WA GARI ZA KIFAHARI,VX,V8 WASANII WA KUKODIWA ILI WAVUTE WATU...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi ndivyo mambo yanavyozidi kunoga. Angalizo ni katika kupiga na kulinda kura tu! Slaa ampiku JK Kyela • Waahidi kumpa urais yeye, ubunge Mwakyembe na Janet Josiah...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwenu wana JF! Poleni kwa majukumu mazito ya kuelimisha na kuchangia hoja mbali mbali zenye lengo moja tu la kuelekea kwenye ukombozi wa kweli wa taifa letu baada ya uchaguzi mkuu ujao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imetoa utaratibu wa kutangaza hali ya hatari (state of emergency) kama kuna vita au vurugu ndani ya nchi katika ibara ya 32 (1), (2) na (3). Ni Rais peke...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I like this picture.....from facebook
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bofya hapa http://www.youtube.com/watch?v=_66YHACENA4
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UJASIRI WA KIDEMOKRASIA TARIME 02
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimewawekea link hapa chini. Huo umati haujahongwa wala kuzombwa na malori kuja hapo. Nimependa alivyomchambua Mnadhimu wa jeshi bwana Shimbo http://www.youtube.com/watch?v=LMNhQKmwWy4
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Heshima Mbele wakuu. Natafakari hili, JK alisaini sheria ya rushwa ya uchaguzi hadharani na kwa mbwembwe sana akitangazia ulimwengu kuwa ana dhamira ya dhati ya kupambana na rushwa katika taifa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mi naamini mlio na mapenzi ya dhati na CCM, lazima mnamapepo. Tena mnaongozwa na mchungaji Rwakatale, kama mnabisha njooni glory city kwa baba Gody mfalme hapa Bugando Mwanza awaombee muone kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati zimebaki takribani siku 26 hivi, NEC itoe majina ya watu wanao tarajia kupiga kura ili kila mtu siku ya kupiga kura ajipange kwenye eneo sahihi ili kuokoa kupoteza muda. Hakuna haja ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvi, hivi ni kwanini Marais wastaafu Mzee Mkapa na Mzee Mwinyi hawashiriki katika kumpigia kampeni Kikwete???!!!!!, kama sikosei tangu kampeni zimeanza sijawahi kuwasikia katika kushiriki...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wandugu, niwieni radhi jamani, me naomba kujua hili suala, hivi kilichokua behind kifo cha mkemia mkuu ni nini? Poleni kwa kutokwa na mchapakaz wetu.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Hapa ni Mwembetogwa Iringa ambapo wazee wa hapa kwa kumbukumbu zao toka kuanza kwa mageuzi haijawahi kukusanyika umati mkubwa namna hii kwenye kampeni. Pamoja na CCM kuzomba watu kwa malori...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom