Hii habari imeniacha Hoi bin Taabani, huyu jamaa analalama, alipewa muda bungeni hakuweza kuutumia , saa hizi asiwape watanzania hasira bure;
Tulifurahi pamoja, tukadhalilishwa, tukaonewa pamoja...
Following untimely statement by JWTZ that left most of the electorate wondering what are JKs true intents in case his administration is dumped by voters come October 31st, that tempest has left...
Jamani mimi nina wazo.
Mimi ni mmoja kati ya mamilioni ya Watanzania wanaotaka mabadiliko.
Sikilizeni. Siku zimebaki 27 tu. Hatujachelewa.
Ninaomba tuitumie stendi ya Ubungo na stesheni za...
Tudodose sera za vyama,
Watu wengi wamekuwa wakizungumzia Chadema kama chama kinachojali elimu na afya tu maana hayo ndiyo chama cha sisi m wameshikia bango.
Nimegundua kuwa Chadema imewaangalia...
Watanzania wengi wanaishi chini ya kipato cha dola moja.
Sababu ya kutokushtuka juu ya wizi wa mabilioni ni kwa kuwa unaposema Bilioni EPA 133 au Richmond 155 au Rada kuongezwa Bil 40 hawaelewi...
Sasa naweza kutamka kwa uhakika kuwa Musoma Mjini itakwenda kwa Nyerere wa CHADEMA. Kila nilikopita kati ya watu 10 ni 2 au 3 ndo CCM, waliobaki wote CHADEMA.
Luke 16: 3-4
"The manager said to himself, 'What shall I do now? My master is taking away my job. I'm not strong enough to dig, and I'm ashamed to beg I know what I'll do so that, when I lose my...
Wote tumesikia au kusoma kuhusu tamko la Jeshi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 31 October, 2010.
JWTZ kutoa angalizo hili ni kujidhalilisha ingawa ninaamini kabisa kuwa amri hii imetoka kwa KIKWETE...
Hiki ni kituko jamani,chama cha mapinduzi(ccm) wametoa mpya kwa wananchi baada ya kupita na gari lao la watangazo wakiwatangazia wananchi ya kwamba wajitokeze katika eneo la shule ya msingi...
Mawaziri wakiuka sheria ya maadili ya uchaguzi Saturday, 02 October 2010 07:34
Salim Said
MAWAZIRI na watendaji wakuu wa serikali wanaongoza kwa kukiuka Sheria ya Gharama za Uchaguzi na...
Wakuu mie ni mdau wa nchi yangu na ni mpenzi sana wa bongo
For the last 4 weeks nimekua naangalia sana habari za mikutano ya kampeni na nimepata wazo mbadala kidogo kuhusu impact ya mikutano ya...
Agenda Participation 2000 ni shirika lisilo la Kiserikali ambalo linajihusisha na masuala ya uchaguzi na elimu kwa umma juu ya uchaguzi na uraia. Juzi (Ijumaa) jeshi lilijiingiza katika siasa...
People who keep on doing things the same way, they will always get the same results they have always Got.
Kama tunaridhika na hali iliyoko, basi ukweli hatuhitaji mabadiliko mengine mazuri...
Harakati za kujipatia ushindi wa kishindo zimeendelea leo baada ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kumnadi mgombea ubunge huko igunga kwa tiketi ya ccm mh. Rostam Aziz, asema ni...
Hope hawatatuwekea tena zile picha za vita ya rwanda kwenye public tv stations kama kipindi kile ilikututishia kuwa tusipo wachagua yatatokea kwetu... WATANZANIA 2010 HATUDANGANYIKI!
gharama ya kuikomboa nchi ni kubwa na inahitaji watu wenye mioyo migumu watakaojitoa kwa hali na mali
tumekuwa tukilalamika kuwa kwenye baadhi ya majimbo kuna wagombea ni mafisadi PAPA na...
FACTBOX-Key political risks to watch in Tanzania
Thu Sep 30, 2010 3:24pm GMT
By Fumbuka Ng'wanakilala
DAR ES SALAAM, Sept 30 (Reuters) - Tanzania, east Africa's second largest economy...
Kuna mchangiaji katoa haya maoni kwa kweli nimeyapenda
anasema:-Kwa kweli nimeyakubali yale maandiko yanayosema YAACHENI MAGUGU NA NGANO VIOTE PAMAJA . Na itakapo fika wakati wa kuvuna sisi...
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu amesema kuwa endapo atachaguliwa tena ataanzisha mpango maalum wa kuwakopesha zana wavuvi katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.