Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimesikitiswa sana na matamshi aliyoyatoa JK pale bukombe kuhusiana na vyama vingi nchini Tanzania. Ninavyfahamu mimi Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi vya siasa uliorejeshwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya Lukas Siame (Mbozi- Magharibi), Emanuel Vuhahula wa Bukombe na sasa James Lembeli wa Kahama (Kutaja ambao taarifa zao zimeripotiwa - labda wapo wengi) na Aeshi Ally wa Sumbawanga mjini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo nimemwona usiku huu Tambwe Hizza katika taarifa ya habari Channel 10 akikanusha statement ya Dr Slaa kwamba kuna njama zinazosukwa na taasisi za dola kukihujumu Chadema katika uchaguzi ili...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nawauliza Watanzania je mtakichagua chama chenye kauli mbiu ya 1-Wizi Zaidi 2-Rushwa Zaidi 3-Ufisadi Zaidi 4-Umasikini Zaidi
0 Reactions
2 Replies
898 Views
Na Mgaya Kingoba, Ngorongoro Mgombea urais wa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameonesha mfano katika kuhimiza ufugaji wa kisasa na usio wa kuhamahama kufuata malisho, akimiliki...
0 Reactions
34 Replies
8K Views
Asubuhi ya saa 12.30, STAR TV, kila siku walikuwa wanarusha hewani kipindi cha “someni magazeti” lakini katika kipindi hiki cha uchaguzi wameingia mitini na sasa hivi ni vigumu kukukubali hoja za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa (katikati) akisalimiana na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum wakati mgombea huyo alipokutana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
viongozi wa dini zetu wameanza ziara za kutembelea vyama vya siasa wakiwa na ujumbe wa amani na wakubaliane na kuvitaka vyama vikubaliane na matokeo ya uchaguzi,rai yangu ni hao viongozi wetu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
viti maalum Chadema vyazidi kupasua kichwa Send to a friend Saturday, 25 September 2010 22:38 0diggsdigg Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema,Dk Wilbrod...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
“Mimi ni mshabiki zaidi wa Tanzania kuliko wa ccm. Kama kungekuwa na chama kingine kizuri nisingehangaika na ccm. Ningeacha chama hicho kishike madaraka“ Maneno hayo yalitamkwa na Baba wa Taifa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu, Ndio kwanza narejea kutoka mkoani Kagera. Nimefika majimbo ya Nkenge, Bukoba Mjini, Bukoba Vijijini na Muleba Kaskazini. Watu nilioongea nao, wengi takribani 60% wameonyesha na kutamka wazi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CCM imekodi HELIKOPTA TATU kutoka Nairobi, Kenya, ambazo zinatumika kwenye kampeni ya kutafuta Urais ya JK. Gharama za kukodisha helikopta hizo ni Dola za Kimarekani 5,000 kwa kila saa moja...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
nilitegemea JK kampeni zake za kipindi hiki kuwa za utulivu zaidi ya zile za 2005 kwa sababu tayari ameshakuwa madarakani na ametekeleza yale aliyoahidi. kwamba hana sababu ya kuwa na hofu kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu naona chadema na NCCR wanachuana kweli they are both very intelligent, disciplined and well articulated to the province problems Nimeipenda sana na naamini kwamba hili jimbo zuri...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
*Slaa asema wanazo nyaraka za utafiti wao. *Adai kuna mbinu za 'kuchakachua' matokeo. Na Tumaini Makene CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeivaa kampuni utafiti ya Synovate...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari nilizozipata kutoka wilaya ya BUKOMBE, Shinyanga zinasema kuwa mkutano wa JK wa kampeni, uliofanyika leo hapo Bukombe umevyunjika baada ya wananchi kuanza kumzomea JK na mgombea ubunge...
0 Reactions
70 Replies
9K Views
Itakapofika October 31 mimi na familia yangu na jamaa zangu wa karibu hatutakua mmoja wa; wale watakaopigia kura wala kuunga mkono chama kilekile kinachokumbatia ufisadi. wale watakounga mkono...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikundi cha kigaidi cha Mafia kina njia moja ya kunyamazisha upinzani wowote ule uwe wa ndani au wa nje kwa kutoa kinachojulikana kama an offer one cannot refuse ! Kwa tafsiri nyepesi ni kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu Dr Kawambwa anaPhD ni msomi mzuri kabisa, anaweza kuishi bila kunyenyekea na kujidhalilisha kiasi hiki! Amepigia magoti picha duu kazi hizi sintoweza zifanya! Huyu dada naye nashindwa...
0 Reactions
93 Replies
13K Views
Back
Top Bottom