Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na Peter Mwenda ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amewataka wakristo kufuata dhamira ya Mungu ya kuchagua viongozi ambao hawawarubuni kwa...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Nimeamua kusema haya ili kuwatanabaisha wale wanaodai kwamba sisi tutachagua sisiem kwa sababu tumezaliwa katk sisiem. Hii ni kushindwa kutafakari na wakati mwingine ni mwendelezo wa propaganda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ze original Comedy wakiburudisha uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga leo. Du watanzania jamani hivyo wanawezaje kucheka na kutabasamu wakati wana njaa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika tukio jingine, jana magari ya msafara wa Rais Kikwete yalizuiwa kupita katika hifadhi ya Serengeti kwa madai kuwa hayana kibali kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii. Magari manane...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Saturday, 25 September 2010 MWANDISHI mwingine wa magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), amepata misukosuko kwenye kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CCM, CHADEMA wakatana mapanga • Mmoja anyofolewa sikio, ashonwa nyuzi nane na Mwandishi wetu KAMPENI za uchaguzi mkuu wa urais, ubunge na udiwani, zimeanza kuingia dosari baada ya vijana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wafungwa Waandaa Mkutano wa CCM HALMASHAURI ya wilaya ya Serengeti mkoani Mara imeingia katika kashfa nzito baada ya kujihusisha na maandalizi ya mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamaa zangu wa CCM hapa Arusha wamesema watendaji serikalini haswa serikali za mitaa ndiyo tegemeo lao la kuokoa JK kupoteza pango hapo Ikulu. Tetesi hizi zinazidi kubainisha ya kuwa watendaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Millennium Development Goals (MDGs)/ Malengo ya Millenia yaliwekwa mwaka 2000 kwamba kufikia 2015 matatizo kama umaskini yawe nusu yake. Lakini kufikia 2010 hata nusu ya lengo halijafikiwa, je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KATIKA HALI INAYOONYESHA WAGOMBEA WAKUU CCM KUCHANGANYIKIWA, SASA SIJUI HATA KAMA WANAFUATA RATIBA. DR BILAL AMERUDI TENA IRINGA, ALIKUWA HUKO HATA MWEZI HAUJAISHA, JK ALIKUWA HUKO KAMA SIKU KUMI...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi wa shinyanga waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Kambarage mkoani humo...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Lack of House vetting process to determine mobility of members of the Bench has provided the executive with a blank cheque to stoke judicial cronyism and mediocrity. The rules and regulations of...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Ndugu zangu, Great thinkers, Juma lililopita nimekuwa nafuatilia kwa karibu taarifa za habari. Kwa miaka sasa huwa naangalia ITV kwa sababu wamekuwa wanabalance habari zao bila kupendelea chama...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
By Ani Jozen 25th September 2010 Hearing leading opposition candidate for the presidency, Dr Wilibrod Slaa outline his programme of government, one would be forgiven to imagine that cost cutting...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
:A S-danger:BAADHI YA NJIA ZITAKAZO TUMIKA KUVURUGA UCHAGUZI NA CCM. 1.KUWAKAMATA VIJANA KWA KOSA LA UZULULAJI(HASA KTK MAENEO AMBAYO WAPINZANI WAPO) ILI KUPUNGUZA IDADI YA KURA ZA WAPINZANI...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
guys can someone help me out as to WHY in our elections we dont give results right at the polling station???????? if at all MAWAKALA na wasimamizi wapo why not after voting they dont count right...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Where do we position our contestant among these group; 1. Few who make things happen 2. Many who watch them happen 3.millions who have no idea of what is happening
0 Reactions
1 Replies
700 Views
MKAKATI WA KUILINDA KURA YAKO ISICHAKACHULIWE HUU HAPA Hivi kuna faida gani kuacha shughuli zako na kwenda kupiga kura na siku inayofuata unasimuliwa ya kuwa mambo yamekwenda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom