Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Majimbo mengi yana wabunge ambao wapo kwa miaka mingi na wengine hata 10. Lakini hakuna alama yeyote ya kazi zao zaidi ya zile zilizofanywa na serikali pamoja na kuwa na nafasi kubwa ya kufanya...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Chadema Mkoa wa Mbeya imeanzisha program maalum kwa ajili ya kuwasaili Watia nia wote kwenye Udiwani ili kufahamu uwezo , dhamira na uaminifu wao kwa chama na wananchi kwa lengo la kuwapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TAMBUA MIPANGO KABAMBE KATIKA KUELEKEA UCHAGUZI WA OCTOBER 2020 GACHUMA APANGA SAFU YA VIONGOZI MARA Ndugu wana ccm wenzangu naomba kuleta kwenu taarifa ya masikitiko iliyotufikia kutoka Mkoa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hiki kitendo cha Mh Tundu Lissu kuja na kampaini ya kuchangisha pesa za kumuwezesha katika mchakato wa kugombea Urais ninakiona kama ni kitendo cha aibu na cha kihuni kabisa. Haiwezekani kutia...
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali...
33 Reactions
231 Replies
18K Views
Habari zenu wakuu poleni na miangaiko ya huku na kule kutafuta chochote. Niende moja kwa moja kwenye Hoja. Kama ilivyokawaida na kanuni na taratibu bila kusahau katiba yetu inavyosema, baada ya...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Salam wakuu, Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambapo kutakuwa na Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na kila Chama kinatazamiwa kusimamisha mgombea/wagombea katika nafasi hizo za uongozi...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Napita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CHADEMA. Nini shida?. Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida? Ni...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
TAKUKURU wilayani Nzega wamezuia zoezi la ugawaji wa pikipiki na baiskeli lililokuwa likiendelea kwenye chuo cha Uuguzi, Kitongo Nzega. Kwenye zoezi hilo, Katibu wa Mbunge wa Nzega vijijini...
6 Reactions
78 Replies
11K Views
Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu, kwa jinsi hali ilivyo ukiachilia maneno ya wanaccm ,vyama vya upinzani vina nafasi kubwa ya kupata ushindi kwenye majimbo mengi Nimejaribu kufanya observation...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Afisa habari wa Chadema mh Makene amesema zoezi la kutia nia kugombea urais wa JMT kupitia chama hicho limefungwa rasmi. Tarehe ya mwisho ilikuwa ni 15 June, 2020 saa 10:00 jioni. Orodha ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni 1. Lissu 2. Msigwa 3. Nyalandu. Inavyoonekana ni kale ka kamati...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa. Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha...
5 Reactions
63 Replies
7K Views
Siasa ni sayansi. Ni dhahiri mgombea wa Chadema atakuwa Lazaro Nyalandu na mchungaji Msigwa yeye ni msindikizaji tu. Ikumbukwe Mh Mbowe na Nyalandu walisafiri hadi Ubelgiji aliko Lisu na kufanya...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020 HATUA YA KWANZA -Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe) -Kujaza Fomu -Kurudisha fomu -Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Zoezi la uhakiki wa taarifa za mpiga wapiga kura wapya linafanyika sehemu mbalimbali Tanzania. Zoezi hili kinakwenda taratibu kana kwamba hatuna mifumo inayoweza kurahisha kazi na badala yake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kuweka wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kwa siku 4 kuanzia Juni 17 mpaka Juni 20 katika vituo vilivyotumika wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela. Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama. Huku...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu wa mikoa ya Tanzania Bara huteuliwa na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye kwa sasa ni jemedari shupavu Dr. John Pombe Joseph Magufuli na kwa upande wa Zanzibar Rais...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
VIDEO Courtesy: CHADEMA Lazaro Nyalandu 2020 Mabibi na Mabwana, Ndugu Wanahabari, Leo natangaza rasmi azma yangu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha...
4 Reactions
53 Replies
7K Views
Back
Top Bottom