Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwangu mimi nadhani mngeanza ku-address hilo. Kutia nia bila kulisemea hilo, kwangu mimi ni kupoteza muda. Kwa utawala huu watafanya kama walivyofanya Serikali za Mitaa au hata zaidi ya hapo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
NIMEMSIKILIZA SANA MSIGWA NA HOJA ZAKE ZA KUTAPATAPA ALIPOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI AKITANGAZA NIA YAKE YA KUGOMBEA URAIS 2020. Nashukuru kuwa ameanza kwa kutambua jitihada za serikali ya CCM...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Napendekeza CHADEMA wafanye debate ya wazi kwa Urais. Napenda vilevile nione wana Ilboru wenzangu Lissu na Nyalandu ambao ndiyo watafaa kwa mawazo yangu. Kwa wasiojua Lissu aliacha record zake za...
12 Reactions
86 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi, Mimi binafsi imenishangaza na kunishtua kuona kwamba mpaka sasa hakuna yoyote aliejaribu hata kujitokeza tu kuchkua fomu. Kuna maswali mengi sana fikirishi katika hili. Je ni...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamani Tujipange kwa Kumpigia kura Rais wetu JOHN MAGUFULI, tusikubali kupoteza Kura zetu huyu ni Rais Mchapa kazi na Mtetezi wa Wanyonge atarudi tena kwa kishindo kikubwa Oktoba, 2020...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif amesema urais wa Zanzibar hauuuzwi bali upo kwa ajili ya wananchi wa Unguja na Pemba. Balozi Idd ametoa onyo kwa wote waliojipanga kutumia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Bahati nzuri au mbaya flyovers, ujenzi wa barabara pana, ndege, na meli havijafika huku kwetu Nanjilinji hivyo sio rahisi watu kupiga kura kwa kushawishiwa na vitu Kama hivyo. Wao bado wanasubiri...
2 Reactions
0 Replies
808 Views
Upinzani hususani, CUF na CDM wapo hatarini kupoteza viti vingi vya ubunge, udiwani kutokana na sababu moja kubwa. Wapiga kura wamekuwa wakiwapa kura zao, wao hawajiandai kulinda kura zetu Wala...
0 Reactions
6 Replies
889 Views
Wote mnakaribishwa Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi...
7 Reactions
58 Replies
5K Views
Habari wadau, Kwa jinsi Mambo yanavyo endelea Tanzania. Ni wazi watu wengi na Taasisi nyingi zilikua zinasubiri nan waanzishe mada ili wao wasapoti. Baada ya Wabunge wa TANZANIA kuweka wazi...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Wasalaam, Katika kumbukumbu zangu nimekutana na gazeti la Mawio liliochapishwa Alhamisi,Januari 1-2015 Ukurasa wa tano nimekutana na habari iliyonifanya niipitie tena kuisoma baada yakusoma...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyalandu atajwa kumvaa Lissu urais CHADEMA Joto la kuwania kupeperusha bendera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye uchaguzi mkuu kwa nafasi ya Urais, limezidi kupanda baada ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Eti makamanda mfano wewe ndio MBOWE au Zitto au viongozi wengine wote wa upinzani kwenye kampeni mtawaambia Nini wananchi ili wawachague Tena? Maana sera zote muhimu Rais Magufuli amesha zifanyia...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Miezi michache mwaka huu Nchi yetu inaingia Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. Sioni mgombea wa kufua Dafu kwenye kinyang'anyiro cha Rais zaidi ya mgombea kutoka Chama Tawala Dr...
-1 Reactions
16 Replies
3K Views
Awali ya yote, mtakaokwazika mtanisamehe tu. Kwa sababu kichwa kikuu cha mada hii imebebwa na maneno magumu na makali kidogo. Imebidi iwe hivi kwa sababu nimetafuta maneno mbadala ili ujumbe ama...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
1. Tundu Lissu umetangaza nia ya kugombea Urais lakini hukuweka wazi nia yako ya kuutaka Urais, badala yake umeanza na kampeni ya kusema mengi unayodhani Rais Magufuli amekosea. 2. Hujaweka wazi...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais 2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT. 3: Kuchezea uchaguzi na kushinda...
16 Reactions
89 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu. Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
Nimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani. Wandamba kweli makauzu pamoja...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Naomba nionyeshe mapendekezo yangu juu ya Spika ajae katika Bunge letu laJamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nadhani mwanadada Tulia Ackson anafaa kuwa Spika wa Bunge letu la JMT mwaka 2021. Ila...
1 Reactions
5 Replies
845 Views
Back
Top Bottom