Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Niseme tu kuwa sijatumwa na mtu yeyote kuleta uzi huu hapa Jamii forum ila ni utashi wangu binafsi kwa namna vile namfahamuatajwa happy just. Kibondo Kama Jimbo muhimu la uchaguzi katika mkoa wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lissu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe. Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lissu mahakamani ndipo wajitoe...
8 Reactions
67 Replies
6K Views
Haya uchaguzi ndiyo huo CCM wameshapata mrithi wa John Komba, CHADEMA nyie mnampango gani au mnasubiri kampeni zianze ndiyo muanze kupaparika? Mkikuta wasanii wote wapo booked ndiyo muanze...
7 Reactions
42 Replies
5K Views
Miaka ya 80 kulikuwa na huu wimbo maarufu Sana " ndugu yangu usisahau unapokweendaa VILEVILE UKUMBUKE ULIPOTOKA*" Sijui muimbaji alimaanisha Nini lakini naomba nitumie maneno ya wimbo huo kuwaasa...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Mi naona hvyo na usiniulize kwa nini!
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Niliwahi kuandika kuhusu nia ya Lissu kuutaka Urais wa Tanzania 2020. Huenda chama chake kikampitisha 2020 badala ya Msigwa. Huyu ni msomi mzuri, ni mwanaharakati na ni mpinzani haswa haswa. Kwa...
9 Reactions
110 Replies
10K Views
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania...
16 Reactions
172 Replies
15K Views
Kamata Kamata ya rushwa ndani ya CCM ni mtego kwa wapinzani ili muda wa kampeni utakapofika waanze kuwakamata wapinzani kwa nadai hayohayo ya rushwa. Hii ya sasa inayofanyika ni ku justify...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Mzee Sumaye aliwajengea chadema ofisi nzuri tu ya chama sasa hivi iko giza wameshindwa kununua umeme wa luku uchaguzi itakuwaje ?
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na...
14 Reactions
55 Replies
4K Views
Ni kawaida mtu anayeomba kuwa Mwakilishi wa watu hutumia lugha ya ushawishi kwa lengo la kutafuta imani toka kwa watu anaotaka kuwaongoza. Huu ndio uhalisia kwa mujibu wa sheria na taratibu zetu...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Wana CCM wengi sana wanatamani kwa mtizamo wao ghushi na uliojaa ugoto katika kufikiri, kuwa John Magufuli asipingwe na mgombea toka CHADEMA. Wao wanadai kwa aliyoyafanya Magufuli kama Rais wa...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Taarifa hii imetolewa leo na Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho upande wa Zanzibar Mh. Salum Mwalimu Mjini Zanzibar alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari. ===== TAMKO LA KUTANGAZA NIA KUWANIA...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Yes Serikali ya CCM imeshindwa kushawishi umma uwe upande wao zaidi wamefanya ukosoaji kama ni matusi. Rejea Spika Ndugai alipotoa maoni wakati mbunge Lema akichangia kwenye mswada wa kumiliki...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Natamani Sana kukuona bungeni 2020-2025 Fatma Karume a.k.a shangazi hoja zako zenye mashiko mitandaoni ndio zimenifanya nitamani kukuona pale mjengoni ukichangia hoja kwa serikali yetu...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Habarini wadau... Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020...
5 Reactions
52 Replies
4K Views
Binafsi naamini wapinzani, wakiwemo CHADEMA, wanaelewa vizuri sana kuwa kwa wao kutangazwa washindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu haitokuwa jambo jepesi na litakuwa ni jambo gumu kuliko...
13 Reactions
25 Replies
2K Views
Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa...
5 Reactions
106 Replies
8K Views
Habari za wakati huu, Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao katika kipindi hiki cha COVID wamejikuta katika wakati mgumu kwa sababu moja ama nyingine katika biashara zao na maisha kwa ujumla...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema chama chake kimefungua mlango wa ushirikiano kwa chama kikuu cha upinzani na vyama vingine vyote vyenye mapenzi mema na mama Tanzania. Mbatia...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom