Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM amewataka wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wajipime kwanza kama wana ubavu badala ya kukurupuka.
Amewataka wagombea kujipima uwezo wao na...
USA ubaguzi wa rangi na matendo ya kinyanyasaji yalizidi sana. Mpaka leo bado kuna Miji inatangaza maandamano. Nimeona waandamanaji wanaokuwa tayari kugongwa hata na magari ili wafe kwa ajili ya...
October 2020 kuna uchaguzi mkuuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.
2015-2020 baada ya uchaguzi kuisha baadaye tulishuhudia wabunge na madiwani wakihama vyama vyao na bahati mbaya sana wamelitia taifa...
Ukiniuliza swali hili; Je, ungependa Tundu A. M. Lissu awe mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA katika uchaguzi mkuu wa 2020?
Hakika jibu langu haraka haraka na pasipo kupepesa macho huku...
Ni dhahiri CCM hawajalala wanachapa kazi, hii inathibitishwa na maslahi ya wananchi kuzingatiwa na kufatiliwa kuanzia mkuu wa nchi, PM, RC, DC, DED mchaka mchaka, huku wakiwalaumu, kuwabana...
Katika uchunguzi huu inaonyesha wagombea wa CCM watatumia milungula, rushwa, ubabe na ulaghai ili wapate nafasi katika kugombea nafasi ndani ya CCM.
Viashiria vya rushwa katika chama hiki...
Siasa sio uadui na siasa ni suala muhimu kwenye ustawi wa jamii.Lakini pale mwanasiasa au Chama cha siasa kinapoitumia vibaya siasa huwa na matokeo mabaya sana.
Sisi bahati nzuri Chama tawala...
Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua...
Je,waunga juhudi mkono mwezi huu wa 10 watapita bila kupingwa?
Miaka 3 au miaka 2 iliyopita waunga mkono juhudi kwa namna moja au nyingine walipitishwa na chama cha mapindinduzi katika nafasi...
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale...
Habarini wanajamvi. Baada ya salamu nije kwenye mada.
Wote tunajua kuwa tunaenda kwenye uchaguzi mkuu. Msimu huu rushwa hutembea kifua mbele kana kwamba rushwa ni halali 🤔
Mkoani Njombe jimbo la...
Nimekuwa nikifuatiliia watia nia wengi walioanza kujitokeza na kufanya tathmini kidogo nimegundua wengi hawana mipango madhubuti ya kuwakomboa wananchi katika changamoto nyingi wanazokumbana nazo...
Tanzania inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 mwezi October.
Chama tawala CCM chini ya Rais Magufuli inamaliza muda wake wa miaka mitano.Serekali ya awamu ya tano imefanya mambo mengi...
Wakuu,
Inaonekana kuna mvutano mkubwa wa kisiasa katika Jimbo la Iramba Magharibi baina ya Profesa Kitila Mkumbo na Dk. Mwigulu Nchemba.
Kitila bado hajatangaza hadharani endapo kweli anataka...
Jimbo la MWIBARA ni moja ya majimbo matatu yanayo unda wilaya ya Bunda. Jimbo hili linaundwa na kata 12 ambazo ni BUTIMBA, Kasuguti, Nyamihoro, Neruma, Kibara, Chitengule, Nansimo, Kisorya ...
Tukijilinganisha sisi na wakenya ktk maeneo mengi tunakuta wakenya wametutangulia kwa kuonyesha dhamira njema katika kila jambo.
Mathalan tukilinganisha katiba ya Kenya na ya Tanzania utagundua...
Kuna taarifa kwamba Arusha imejengwa kwa kasi kubwa ikiwemo miundo mbinu ya barabara za Lami ,Shule na Zahanati ikiwa ni mkakati wa maksudi wa kumng'oa Mbunge wa Upinzani Godbless Lema.
Wataalamu...
CHAGUZI HIZI ZIMETOA PICHA. WAPAMBE WA PROF KITILA MKUMBO MSIENDELEE KUMDANGANYA
___________________
[emoji3504] UCHAGUZI WA KATIBU KATA, Kata ya Mtoa alikozaliwa Prof Kitila Mkumbo, Mgombea...
Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.