Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nawaambia haya, kwa uzoefu wangu ndani ya Serikali, CCM na kwenye Idara Nyeti za nchi hii. Nisikilizeni na muelewe: 1. Uchaguzi mkuu wa Tanzania ni zaidi ya uchaguzi kati ya CCM na vyama vya...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
Kidumu Chama cha Mapinduzi Napenda kutumia fursa hii kuwasihi na kuwahimiza vijana wa Chama Cha Mapinduzi tujitokeze kwa wingi katika kuchukua fomu za kuwania nafasi za kuteuliwa na chama chetu...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Iringa siyo mkoa wa mchezo mchezo. Najua kwamba Balozi Augustine Mahiga (RIP) ndio angechukua ubunge wa hapa lakini Mungu amempenda zaidi. Sasa kuna azunguka zunguka kudai kimetumwa na mwenezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MAGUFULI AMEHARIBU, ATAFUNDISHWA NA LISSU UCHAGUZI wa Oktoba mwaka huu 2020 ni kati ya Ubaya na Wema. Kifupi, ni kati ya Faraja yetu na Masimango ya wenye Madaraka. Siku ya Uchaguzi ukiiweka...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwanamuziki Rajab Abdul, maarufu Harmonize ameweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika Jimbo la Tandahimba mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli kupendekeza...
8 Reactions
208 Replies
19K Views
Ninapata taabu kidogo kuelewa falsafa ya CHADEMA katika hili. Miaka yote ya nyuma hadi uchaguzi mkuu wa chama cha CHADEMA uliofanyika mwaka Jana, ulionyesha kwamba, kiongozi mmoja anayeaminika na...
1 Reactions
0 Replies
679 Views
Ilani ya uchaguzi itakayochochea ukuaji wa uchumi kwa wote na kuongezea serikali kodi ndio inafaa. Vyama vya Siasa inatakiwa vije na Ilani na Mipango ambayo inampa Mtanzania Uhuru wa kuchagua ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni. Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo. Sijui...
3 Reactions
169 Replies
22K Views
Umuofia kwenu, Huu ni mwezi wa kuchukua fomu, mtu yeyote kupitia chama anachokiamini anaweza kuchukua fomu ya kugombea urais, tofauti ni pale CCM walioamua kukinzana na katiba yao kuamua...
0 Reactions
5 Replies
851 Views
Hatujapata serikali inayotaka maendeleo bali tumetaka serikali kwa kutatua kero ndogondogo. Elimu ya Cheti tu bado haijasaidia kutatua changamoto zetu. Utawala usioendana na sauti za wananchi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tunayo mambo mengi tu ya Muungano lakini suala la Uraisi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar siyo mojawapo. Hivi sasa Chama cha Mapinduzi kiko busy kutafuta Mgombea Uraisi wa Zanzibar, katika...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu salamu za heri kwenu. Ninaomba kujua Form za maombi ya kuomba ridhaa kugombea ubunge ndani ya CCM zinatoka lini. Ubunge wa kawaida na wa viti maalumu. Asanteni.
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Mheshimiwa Bilal. Popote ulipo, bado wapo Watanzania tunaokukumbuka kwa utumishi wako makini wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Elimu yako haina Chembe ya shaka, wewe ni mtaalamu wa Physics ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
wana JF Haya sasa mshapewa chenu, sasa tunataka kuona mahubiri yenu mliyokuwa mnatuhutubia kuhusu ajira , kilimo kwanza, viwanda. tayari mtaji wa kuwa na viherani saba kuwa kiwanda mnazo hela...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamvi, Leo nimeona ni vyema na haki tukawajadili wagombea nafasi ya Rais wa JMT kutokea chama cha CDM. Nadhani nianze na Mheshimiwa Lissu si kwa bahati mbaya la hasha, nimeanza...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa tunaye mfahamu kijana huyu tuna kila sababu ya kujivunia tunda hili adhimu lililozaliwa na kukulia katika bonde oevu, Bonde la Kilombero, Mkoani Morogoro. Victor Makinda ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kibano ambacho vyama vya Upinzani Tanzania vinapitia tangu Rais Magufuli aingie Madarakani 2015 ni sawa na kibano cha Polisi wa Marekani kwa George Floyd (RIP). Tunaingia Uchaguzi Mkuu wa 2020...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ingependeza zaidi ingekuwa mwaka wa uchaguzi inapita kura ya maoni kwa wananchi ili kutoa mawazo na mapendekezo ya ama kufanyike au kutofanyika uchaguzi. Zoezi la uchaguzi linaendana na gharama...
1 Reactions
9 Replies
986 Views
Mosi kuna kila dalili ya dhuruma kubwa na kutothaminiwa kwa maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi wa october 2020. Inaaminika kwamba 75% ya returning officers wa tume ni makada wa CCM, wakurugenzi...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom