Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimefanya utafiti wangu binafsi ndani jimbo la Tarime Vijijini, jimbo hili linaenda kurudi Chadema chini ya kamanda John Heche, kama haitawezekana basi watamtanganza mbunge wa ccm kibabe, hali...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni kweli hatuna Tume Huru na bila shaka ni kweli kuna hujuma zinapangwa (naona hata Lema kagusia hili la hujuma kupitia Twitter) ila pamoja na yote haya, plan waliyonayo na wasioweka wazi ni...
1 Reactions
3 Replies
945 Views
WANACHAMA 2,565 WAJITOKEZA KUMDHAMINI DKT. MAGUFULI RUANGWA Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia wakati mwanachama wa CCM, Jacob Masumbuko alipotia saini fomu ya kumdhamini, Rais Dkt. John...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi. Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani...
5 Reactions
55 Replies
5K Views
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA? Kiukweli wapinzani...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Bora abaki yule yule mwana Hip hop kuliko huyu CCM wamtakaye. 1. CCM itaamua nini kifanyike Mbeya Mjini bila msemaji wao kwani tayari atakuwa spika na yupo chini ya nyayo za mkuu solotep mdomoni...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Leo DR Tulia ambaye Ni naibu Spika alikula Chakula Cha mchana kwa mamaNtilie Jijini Mb eya. Kabla ya kuhitimisha vikao vya bunge alisema atagombea mwaka huu sisi HATUJUI ni Jimbo gani lakini...
9 Reactions
69 Replies
7K Views
Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha...
2 Reactions
4 Replies
632 Views
Siasa haina rafiki wa kudumu,Ila ina maslahi ya kudumu. Ni mkakati wa Ccm kumrudisha Dk. Kebwe jimbo LA Serengeti. Morogoro ilikuwa mbali kujijenga kwa wanachama,pia ile sera ya chama ya mtu...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Kila chama kina malengo yake kwenye uchaguzi huu. 1. ACT Wazalendo Lengo lao kubwa ni kugawana majimbo na CCM Zanzibar. Hili asilimia za kufanikiwa ni asilimia 60% PLUS. Siasa za Zanzibar...
1 Reactions
0 Replies
716 Views
"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Disclaimer; Mtoa ushauri huu ni mwana CCM anayeamini katika demokrasia. Anaamini CCM imara itatokana na uwepo wa upinzani bora kwa kuwa CCM itapata kioo cha kujitazama, na kufa kwa upinzani...
4 Reactions
64 Replies
4K Views
Watu wanaombea Dkt na Waziri wa Sheria na Katiba Lameck Madelu Mwigulu Nchemba akatwe na Halmashauri Kuu ili asigombee Ubunge ili apate nafasi ya kujijenga akisubiri mpaka 2025 aje kugombea Urais...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Licha ya Mrisho Gambo kuenguliwa nafasi ya Ukuu wa Mkoa wa Arusha,jambo hilo limeonyesha kutomtikisa hata kidogo kwani kwa sasa ndio kwanza ameendelea kujidhatiti kwa kuendesha vikao vya kujijenga...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Hiyo ndio kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda akiwataka waendesha boda boda wajitokeze kuchukua fomu kugombea nafasi mbali mbali katika uchaguzi mkuu kupitia CCM. Anasema...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Upepo unaonesha kwamba chadema wanaweza wasipate hata mbunge lakini watakacho kipanda kwa watanzania kitakuwa kikubwa sana . Mtu anaekuweka moyoni ni wa maana sana kuliko mnafiki anaekuchekea...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Jimbo la Iramba limekuwa na vita vikali kati ya Mwigulu Nchemba (Mbunge wa sasa aliyewahi kuwa Waziri pia) na Katibu Mkuu wa sasa Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo. Wasomi hawa wamekuwa na...
2 Reactions
72 Replies
10K Views
Kwa sababu ya Corona ndege za kutoka ulaya kuja Tanzania hazipo na hazijulikani lini zitaanza Kwenye mchakato wa uteuzi wa mgombea uraisi chadema na vyama vingine vya upinzani ni vizuri vikateua...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Ninavyomjua Dkt. JPM ni mtu mwenye huruma na pia hupenda kupendwa na kusifiwa. Magufuli hapendi atokeze mtu hata mmoja ambaye huonesha kutopendezwa naye. Ndiyo maana ukimwomba msamaha...
10 Reactions
58 Replies
6K Views
Back
Top Bottom