Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kila dalili ndani ya Chadema zinajionyesha, brother Lissu wenye Chadema yao hawakutaki ugombee urais kupitia chama hicho. Wangekutaka wangekupa hata signal ya kuwa wako nyuma yako katika...
33 Reactions
129 Replies
10K Views
CCM Jimbo la Mbeya wameanza kushikana uchawi mapema, wakituhumiana kusalitiana. Jimbo la Mbeya linasiasa zake za tofauti, Dkt. Tulia hata kama atashinda kwa kutumia Dola, naamini ataongoza Jimbo...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Wamchague gwiji atakayenogesha ushindani na CCM. Mgombea mwenza awe Fatma Karume Waziri Mkuu - Zitto Kabwe Waziri wa Sheria na Katiba - Tundu Lissu Waziri wa Maliasili -- Mch Msigwa Waziri wa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua...
14 Reactions
68 Replies
8K Views
Huu ndio ushauri wangu kwa CHADEMA na ACT-Wazalendo ambao wako katika mazungumzo na vyama vingine kwa lengo la kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Ninahaki combination ya Lissu...
11 Reactions
63 Replies
7K Views
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
22 Reactions
197 Replies
19K Views
1.HARMONIZE Rajab Abdul ‘Harmonize' - Tandahimba Mkoani Mtwara kwa Tiketi ya CCM 2.SHILOLE Zuwena Mohammed 'Shilole' - Igunga Kwa Tiketi Ya CCM 3.STEVE NYERERE Steven Mengele ‘Steve Nyerere -...
6 Reactions
81 Replies
11K Views
Wakati ikijulikana wazi mwezi wa nne viwanda vya sukari vitasimamisha uzalishaji kulitokea uhaba mkubwa wa sukari ambao ulisababisha bei kupanda pamoja na juhudi za serikali ikiwa ni pamoja na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninapenda tumia muda huu kukushukuru Mzee wangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya watu watanzania kwa safari ndefu ya miaka mitano kutuongoza wa Tanzania hasa ktk kipindi kigumu chakubadilisha fikra...
15 Reactions
42 Replies
3K Views
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa...
7 Reactions
175 Replies
15K Views
Heshima kwenu Ndugu wanajamvi, Dalili zote zinaonyesha uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na madiwani utafanyika October 2020. Ni wazi yapo mambo mawili ambayo hayajakaa sawa. Mosi ni Tume huru ya...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa kifupi kabisa ni kwamba tunakwenda kwenye Uchaguzi ambao mshindi tayari anajulikana. Ninasema haya kwasababu zifuatazo. 1. Kukubalika kwa Rais Magufuli kwa watanzania walio wengi (hili liko...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa, Abdallah Bulembo, amesema taratibu haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli. “Kwa mujibu wa sheria kama wewe ni mwana...
9 Reactions
96 Replies
8K Views
Zaidi ya Mara moja Rais Maghufuli amesikika akilalamikia ugumu wa kazi ya Urais. Kinachoshangaza sasa, kitisho cha Membe kutia nia ya hiyo nafasi kumesababisha yafuatayo: 1. Membe kufukuzwa/...
12 Reactions
35 Replies
3K Views
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson amesema tarehe 24 Julai atatangaza jimbo atakalogombea Ubunge kwani kwa sasa kipyenga ndani ya chama bado hakijapulizwa. Dkt. Tulia Ackson amekuwa akihusishwa na...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge. 1. F. Mbowe...
7 Reactions
66 Replies
5K Views
NYALANDU: Chadema tukiingia Ikulu tutaanzisha benki ya vijana Mtia nia wa kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lazaro Nyalandu...
10 Reactions
39 Replies
3K Views
Katika kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tanzania tunapoelekea Uchaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu...
4 Reactions
71 Replies
5K Views
Nakushauri kagombee Rungwe, mziki wa Mbeya mjini ni mnene kwako. Wamama wenzio wa Mbeya mioyo yao iko Chadema, video hii iwe kama alert kwako.
6 Reactions
43 Replies
5K Views
Habar Wana CCM, Kama mnavyojua Chadema na ACT walikua waneshupalia watu wafungiwe ndan wakati wa Corona so hii ni fimbo nzuri kwao ya kuwapiga kwenye kampeni. Mnatakiwa mfanye hivi CCM Sambazen...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom