Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Leo tarehe 19/06/2020, nikiwa imara kimwili, kiakili na kifikra nilipata wasaa maalumu wa kumdhamini mwombaji wa nafasi ya URAIS kupitia chama chetu #CCM Mh Dkt John Pombe Joseph Magufuli...
1 Reactions
7 Replies
774 Views
Mi naona kwa harakati hizi zinazoendelea za mh rais za kuzindua miradi mbali mbali kuna kampeni zinaendelea^kufanywa hapo hapo. Upinzani mmeshashikwa pabaya mmeachwa sana shtukeni hamna lenu...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai. Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Naomba kujua gharama za fomu kwa wale wote wanaotaman kugombea kupitia CCM wanatakiwa kulipia kiasi gani Cha fomu. Yaani ngazi ya Udiwani na Ubunge (Urais najua ni 1 Million) Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Mwandishi John Marwa akamatwa na kunyimwa dhamana ya polisi kwa kumchafua naibu waziri Mwita Waitara - Ni katika malumbano ya kisiasa katika kundi la whatsapp la jambo Tarime - *Mpelelezi wake...
17 Reactions
107 Replies
14K Views
Siasa ni sayansi na mipango. Nawapa tu angalizo ndugu zangu wa Chadema kwamba wawe na hii kumbukumbu kwamba Dkt. Magufuli amedhaminiwa na watu zaidi ya milioni moja ili agombee urais. Panapo...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Naomba nilizungumze hili kwa moyo wa dhati kabisa na kwa mapenzi makubwa kabisa ya chama changu. Bado tunaamini kwamba chama chetu hakijapata mbadala wake na bado hakuna dalili hizo kwa maneno ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wapendwa wangu wa JF nawasalimu nyote. Kuanzia makada wenzangu wa CCM na watadi wetu wa jadi CHADEMA na wapinzani wote kwa ujumla, nawapa taarifa. Mimi Mzee Tupatupa wa Lumumba, kwa gharama...
10 Reactions
13 Replies
2K Views
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020. Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza...
24 Reactions
139 Replies
12K Views
Nitoe tu angalizo kama ambavyo maalim Seif wa ACT Wazalendo ameona ni heri akainyemelea tena nafasi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar. CHADEMA pambaneni muitetee nafasi mliyonayo Bungeni ya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakati joto la Uchaguzi likizidi kupamba moto hapa nchini nafasi ya ubunge jimbo la Arusha mjini ndani ya CCM imegeuka kaa la moto baada ya vigogo kadhaa kupigana vikumbo. Baadhi ya vigogo hao ni...
1 Reactions
44 Replies
7K Views
Mkurugenzi wa TBC Dkt. Ryoba amesema shirika lake litaonesha mikutano ya vyama vyote vya siasa wakati wa kampeni. Dr Ryoba amewataka viongozi wa kisiasa kutumia lugha za staha na kuzingatia...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Nikiwa katika mitaa Fulani karibu na ofisi ya chama Fulani cha Upinzani(jina kapuni) kulizuka mabishano makubwa yaliyoambatana na swali " Je, upizani utafurukuta uchaguzi huu kama ilivyokuwa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
habari ndugu zangu wana JamiiForums. Nionavyo Mimi Maalim Seif ajaribu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu hizi 1: Amegombea Zanzibar kwa takribani miongo mitatu bila mafanikio...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wananchi wa Monduli wanamuomba Waziri Mkuu Mstaafu agombee Ubunge ili arudie uwakilishi wake Wana Monduli inaonekana bila Lowassa hawawezi kusonga mbele Mzee atakubali? Tusubiri atasemaje
4 Reactions
60 Replies
6K Views
Jeshi la Polisi nchini linatekeleza majukumu yake kwa "double standards" Lile linaloonekana haramu, likitendwa na CCM linaonekana halali kwao na likitendwa na vyama vya upinzani linaonekana...
10 Reactions
55 Replies
4K Views
Nikitazama mbele kuna mambo yatamshangaza Magu ktk uchaguzi huu kama ifuatavyo; 1. Tofauti na ilivyokuwa 2015 miamba miwili yaani Kikwete na Lowassa walikipasua chama na kuwa mapande mawili...
13 Reactions
56 Replies
6K Views
Imeshaamuliwa maDED wataendelea kusimamia uchaguzi na hakuna Tume Huru - the rules are set - je kwa nini upinzani umekubali kucheza mchezo huu? How genuinely are they seeking Change? Au kuna back...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Nimemsikia kwa masikio yangu mimi mwenyewe Ndugu Kasimu Majaliwa akimnadi Dr Magufuli kabla ya kupokea simu yake, ambapo ili achaguliwe Mh Magufuli " amewahonga " wananchi wa Lwangwa ujenzi wa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom