Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wale wapenzi wa CCM inasikitisha sana kwa kushindwa kuona mama zako, kaka zako, watoto na vijana wenye nguvu wanakufa kila siku kutokana na uongozi usiokuwa na ufanisi na ufisadi. Inauma sana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF nimeikuta hii kali ya Idd Azzan-mgombea ubunge wa Kinondoni-CCM katika Majira ya leo 24/09/10 "Jamani hivi watu wanadhani bungeni ni kama darasani ambapo kila mtu anaongea anavyotaka, kule...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada hapa, hivi vyama vyetu vya siasa vinatumia vigezo gani kuteua wabunge wa viti maalum? Mfano wale wa CUF na Chadema 2005 - 2010 walichaguliwa vipi, vigezo vilikuwa ni nini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbona huyu mgombea mweza simusikii??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF sasa sio siri tena, mgombea wa CCM jimbo la Arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu Arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jk kwa kweli ni mtu wa watu cheki hapo anakaa kwenye vumbi kuongea kwa unyenyekevu na mlemavu ni viongozi wachache sana wenye moyo wa kibinadamu kiasi hiki..
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Zitto akisakata rumba katika kampeni huko Kigoma hivi karibuni......
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Wakuu, Nikiwa kama mdau, nimesikitishwa sana na jinsi serikali yetu na hasa wizara ya afya ilivyoshindwa na inavyoendelea kushindwa kupambana mbu ambao uthibiti wao si mgumu hivyo. Tanzania kama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
…..Kwa upande mwingine, Kinana amedai kuwa Chadema ni chama chenye Katiba inayolinda siasa za kimwinyi na kibebari, na si siasa za kijamaa kama ambavyo DK. Slaa amekuwa akiitumia kutoa ahadi...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Fidelis butahe, Iringa ALIYEKUWA mshindi katika kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fredrick Mwakalebela jana alikuwa kivutio na kufunika mkutano wa kampeni wa mgombea urais kwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Anahojiwa Baba yake. Anaishi kwenye nyumba ya tope licha ya mwanawe kuwa bunge for 25 years, Anaepnda sana kujisomea. Anaongea kiswahili cha shida but ina mashaka na slaa kugombea hasa kutukanana
0 Reactions
54 Replies
6K Views
There has been marginal progress on governance in Africa since the 2005 baseline study. This increase is 2%, from 51% (2005) to 53% (2009). Multiparty system flourishes, but with poor...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania wameshakubali kufanya mabadiliko makubwa. Rais Jakaya Kikwete ajiandae kuaga Ikulu, astaafu baada ya mika mitano ambayo haikuleta matumaini yaliyotarajiwa. Serikali isitumie mabavu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
katika gazeti la MwanaHALISI Uk. 2 imeonesha kuwa malipo yanayodaiwa kufanywa na CCM kwa serikali kutokana na kukodi ndege ya serikali kufanya kampeni yana warakini. ... kwenye hati ya madai ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF tumesikia habari mbalimbali ambazo zilionesha njama za kifisadi za CCM dhidi ya mali za umma au/na dhidi ya vyama vya upinzani, mfano wa Salma na Ridhiwani-matumizi mabaya ya fedha ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi nawashangaa wale wote wanaoziponda kura nyingi anazopata Dr Slaa katika kura za maoni kupitia mitandao – mfano Daily News, Mwanahalisi na hata humu JF. Jibu ni rahisi – shule. Wanaompa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dk Slaa, Prof Lipumba mambo bado moto WAGOMBEA urais kwa tiketi ya vyama vya Chadema na CUF jana waliendelea na kampeni zao wakitumia mbinu tofauti za kujenga hoja, huku Willibrod Slaa akimtaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zanguni kuna mgombea ubunge kupitia ccm,siku nilipomuona nilistuka km vile nimemuona rostam aziz yule fisadi namba1 na ambaye ameiweka nchi mfukoni.........nataka kujua kwa wale wenye data...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
As far as I have known Jakaya Mrisho Kikwete, HE is very much in LOVE with the PRESIDENCY. His ambitions was to become the president of the united republic of Tanzania which he acquired in 2005...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Habari za kuaminika zinasema kuwa leo ule mdahalo ulioandaliwa Zanzibar, wahudhuri hawakufika isipokuwa Maalimi Seif Sharrif pekee yake. Maalim Seif akihojiwa na waandishi wa habari aliieleza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom