Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu. Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono...
10 Reactions
132 Replies
9K Views
Kama wewe ni Mpenzi wa kufuatilia Vipindi vya Bunge basi Malizia Hamu yako kwa kusikiliza Bunge Hili la Sasa. Nasema hivi kutokana na Ukweli kwamba sioni dalili njema kwa Wapinzani kupita katika...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Sisi wapiga kura wako tumechoshwa na kuwa na Mbunge bubu bungeni. Tulikuchagua ukawasilishe mahitaji yetu bungeni na siyo kwenda kugonga meza. Mpwapwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu na shida...
14 Reactions
109 Replies
10K Views
Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 . John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando...
6 Reactions
45 Replies
5K Views
TAHADHARI!! KORONA IKO MTAANI SASA PAMBANA JUU CHINI USIISHI KIMAZOEA. Kwenye mada Kwanza kabisa jimbo la Moshi Vijijini halijawahi kuwa miliki ya chama chochote cha siasa yaani hakuna chama...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Diwani wa ccm Martin Munisi kutoka Kata ya Machame Wilayani Hai ,Mkoa wa Kilimanjaro amejipanga kukimbilia Mahakamani kufungua shauri Mahakama Kuu kanda ya Kilimanjaro kutaka ahirisho la uchaguzi...
4 Reactions
72 Replies
10K Views
Kwa mtu mwenye kufikiri kwa kina na kujiuliza mara kadhaa kabla ya kufanya uamuzi,ni wazi angeitumia kauli ile ya watu kufananisha na ng'ombe wasio na mkia kama hatari au ishara ya hatari kukubali...
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Katika hali ya kushangaza Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma Mfanyabiashara wa Jijini Mwanza ameonekana Bunda Mjini akigawa pesa hadharani. Huku akiwa na mabaunsa, wapambe na wanakwaya...
3 Reactions
71 Replies
9K Views
Habarini za asubuhi wanajamvi? Kama ambavyo vyama vya upinzani viliungana 2015 na kutengeneza neno UKAWA na hatimaye kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015 basi kwenye...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
CHADEMA baada ya kuona Sera zote muhim walizo kua wakizitoa kwa wanach Apo awali zote zimesha fanyiwa kazi na CCM wameona ni Bora kubadili Aina ya siasa zao kutoka siasa za majukwaan mpaka maigizo...
7 Reactions
17 Replies
3K Views
Sisi ni Taifa moja lenye umoja mshikamano, lenye lugha moja upendo na amani, lenye kuamini usawa na demokrasia, Tuzingatie umoja wetu mwaka huu wa uchaguzi, Isije kuwa mpinzani akishidwa basi si...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni. sababu za utafiti.... Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Hello JF, Kwanza ni-declare interest: Mimi ni muumini wa kile kinachowezekana hata kama hakifurahishi kuliko kile kinachofurahisha lakini hakiwezekani. Kutokana na muundo wa tume huru...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
TLP KUUNGANA NA CCM Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga...
5 Reactions
62 Replies
7K Views
Ndugu zangu poleni na matatizo ya hapa na pale ya kimaisha hasa hili gonjwa la Corona. Mwenyezi Mungu ajalie lipite na lisilete madhara katika nchi yetu nzuri Tanzania. Wakuu Sana Kama tujuavyo...
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Salam sana wapenzi wana jamvi. mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM...
30 Reactions
157 Replies
13K Views
Wabunge hawa nahisi kunajambo linaenderea ndani yachadema 1.Thelasini 2.Com 3.Kubenea 4.Joseph haule 5.Sugu 6.Silinde 7.Kiwanga 8.jLJualikari Mwenye kufikiri atakuwa na majibu . (Yajayo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Huyu jamaa katika kundi lake la WhatsApp linaloshughulika na Maendeleo ya Jimboni kwake Iramba ameandika hivi: "Hi ni nia tu, Campaign Bado. Mimi Eng. Jumbe Katala bado nafasi yangu ya...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Tanzania ni nchi yetu sote kwa umoja wetu sisi kama watanzania, nchi hii itajengwa na kuendelezwa na watanzania wote bila kujali tofauti zetu. Linapokuja suala la kuijenga nchi, tofauti zetu za...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Shehe wa mkoa wa Dsm, Alhad Salum amesema amani yetu ni tunu ya Taifa hivyo ni jambo jema kabisa kama itapatikana Tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu ie 2020. Sheikh Salum...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom