Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mada hapo juu yahusika. Nashangaa kuna ukimya sana ilihali uchaguzi upo palepale mwezi October. Dr. Shein anamaliza muda wake, sioni wala sisikii cherekochereko za kumtafuta mrithiwe. Ndiyo maana...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari wakuu! Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara. Hulka na silka za Watanzania...
6 Reactions
68 Replies
5K Views
RAIS TUMTAKAYE 2020 Na, Robert Heriel Mwaka huu Mungu akipenda utakuwa mwaka wa uchaguzi kama ilivyosheria kwa nchi yetu. Huu ni mwaka muhimu sana kwa kila mmoja wetu. Ni Mwaka muhimu kwa...
10 Reactions
23 Replies
2K Views
Pilikapilika za uchaguzi mkuu wa Zanzibar zinaonekana kupamba moto. Rais wa sasa wa visiwa hivyo Dr. Ali Mohammed Shein anamaliza muda wake baada ya kuongoza vipindi viwili kwa mujibu wa katiba ya...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya corona
7 Reactions
79 Replies
6K Views
Niliandika makala hii 2017 mnasemaje kuelekea uchaguzi 2020 POLENI SANA VIJANA, MNAKUWA MAJESHI YA MINYUKANO YA KISIASA MWISHO INAKUWA AIBU KWENU. Poleni sana vijana wa ACT - WAZALENDO...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
HABARI Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano Kwa Umma CUF Eng. Mohamed Ngulangwa ametangaza nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Mkuranga.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi Suphian Juma natangaza NIA ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi kupitia Chama cha ACT wazalendo. Singida Magharibi nitawatanguliza ninyi na Taifa langu mbele daima. Ewe...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Friends of Bernard Membe at the University of Dar-Es-Salaam still believe they have got their man who is heading nowhere but to the state house in replacement of JK comes 2015. This can only...
43 Reactions
773 Replies
77K Views
Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda...
8 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa yoyote mwenye kufuatilia mienendo ya kisiasa na kiserikali atakubaliana na mimi kwamba Magufuli siyo mpenzi kihivyo wa demokrasia. Hili siyo tusi wala lawama, ni mtazamo wangu kuhusu mtazamo...
9 Reactions
52 Replies
5K Views
*MWIGULU UMEJIMALIZA MWENYEWE , USITAFUTE MCHAWI GIZANI* Nimefuatilia sana mijadala hapa jukwaani kuhusu Mwigulu Nchemba kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Mwigulu akitamba kwa kujiita Mamba . Kwa...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Asalam,, Corona itapita . na uchaguzi utafanyika Inshaalah. iwe mwaka huu ama mwaka wowote ule, Allah akinilinda na kunipa uhai huu ndo utakua mustakabali ya kura yangu. SITOMPA KURA YANGU...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Nawaza tu! 1. Kama hali ya Corona ikiendelea hivi with social distancing, kutakua na shamra shamra za kampeini nchi nzima? 2. Hali ikiendelea hivi wanachi watajitokeza kupiga kura? 3. Gonjwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
TAARIFA KWA WANACHAMA NA WAPENZI WA ACT WAZALENDO. Kama inavyofahamika, 2020 ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wabunge na Madiwani. Kwa upande wa Zanzibar...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida , tangu mwaka 1928 TLS ilipoanzishwa, by the ikiitwa Tanganyika na mpaka leo inaitwa Tanganyika Law Society[huwezi kuita Tanzania law society kwakuwa kuna Zanzibar Law...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
*MWIGULU UMEJIMALIZA MWENYEWE , USITAFUTE MCHAWI GIZANI* Nimefuatilia sana mijadala hapa jukwaani kuhusu Mwigulu Nchemba kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Mwigulu akitamba kwa kujiita Mamba . Kwa...
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Chama cha Nccr Mageuzi ndio chama kilichoasisi vuguvugu la Mageuzi nchini Tanzania na ndio chama pekee kisichopoteaga kwa kila kizazi, yaani walioshuhudia nguvu yake 1995 na wanaoshuhudia mwaka...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Ukilinganisha na uchaguzi wa kwanza nchi yetu ikiwa inafuata mfumo wa vyama vingi mwaka 1995 chama cha upinzani kikubwa wakati huo kilileta upinzani na hata CCM iliogopa maana Nccr mageuzi ilikuwa...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Sugu ana street creds lakini huwa kuna muda vijana inabidi walipe kodi za nyumba,wanunue vocha, wakina mama wawe na vikundi vyenye hela na mitaji,watoto waende shule nk nk hapo ndipo anapokuja...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom