Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hayawihayawi! Kesho tarehe 21 itafanyika Operation kubwa kwa mgonjwa ambaye hapa ni CHADEMA. Madaktari wasiopungua 1200 wataendesha zoezi hilo. Kiukweli mgonjwa yupo taabani. Upasuaji huu ni...
2 Reactions
0 Replies
146 Views
Kwa wanaofuatilia Uchaguzi huu watakubaliana na mimi kwamba ukimsikiliza Mbowe unaona picha ya Mwanasiasa imara na Kiongozi na ukimsikiliza Lissu unaona Picha ya ya Mwanaharakati aliyekomaa ila...
3 Reactions
55 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, CCM ndio habari ya Mjini, Rais Samia ndiye Habari ya Dunia na Tanzania ndio inayovuma Dunia Kwote. Kwa Sasa habari inayovuma na kuteka mijadala mitaani na Dunia nzima...
2 Reactions
34 Replies
719 Views
Naombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi. Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10. Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya...
10 Reactions
35 Replies
1K Views
Kweli wapiga dili hawataisha nchi hii, hadi Chadema wapo sana. Kuna genge fulani la makamanda wa Chadema ambao walijipachika jina la wanyeviti wa mikoa wa Chadema na kufika nyumbani kwa Mbowe ili...
2 Reactions
6 Replies
407 Views
Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv. wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na...
6 Reactions
247 Replies
7K Views
Hawa waropokaji ALIYE Walea hata wakikataa upo mchango mkubwa wa siasa zao za Leo kutoka kwa rinjendari wa siasa Dr Freeman Aikaell Mbowe. Kwa takribani miaka 21 Mh Mbowe alifanikiwa kutuletea...
1 Reactions
0 Replies
112 Views
Ndugu zangu sukuma gang poleni sana. Najua mmeumia sana. Ila huo ndo mchezo wa siasa ulivyo. Watu wali mu underestimate sana Samia kuhusu uwezo wake wa kufanya siasa. Sasa mmejionea kwa chenga ya...
4 Reactions
11 Replies
394 Views
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM. Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha...
7 Reactions
64 Replies
1K Views
Tuongee kwa mifano, wewe ulianzisha nini kama hao uliowataja ili tuige?
7 Reactions
125 Replies
2K Views
Nitazidi kupiga kelele kadiri niwezavyo na kutoa tahadhari kadiri niwezavyo katika moja ya makosa yaliyo fanyika Tanzania ni kutengeneza nchi kimaandishi ya kisekula lakini kivitendo ni ya Ukristo...
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Kwanza nianze kwa kusema, kutokana na vuguvugu hili la Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema lilivyo na mvuto katika jamii ya Tanzania,nimetokea kufuatwa na wadau wengi wa kisiasa wakinitaka nitoe...
3 Reactions
14 Replies
458 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo...
3 Reactions
81 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, CCM chama kiongozi Barani Afrika na chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania na chama kinachoaminika ,kupendwa , kukubalika na kuungwa mkono...
6 Reactions
165 Replies
4K Views
Wengi Hawajui Mchango wa Nchimbi Kwa Vijana wa sekta mbali mbali nchini lakini ni huyu Nchimbi ndiye aliruhusu Vijana kutumia ukumbi wa Kinondoni kukuza vipaji vyao bila kujali itikadi za kisiasa...
1 Reactions
1 Replies
197 Views
Wakuu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi...
8 Reactions
62 Replies
4K Views
Maandiko mengi ya Pascal Mayalla anayoyaita voices from within mengi yamekuwa kweli isipokuwa lile alilosema Marehemu JPM yupo sehemu safi huko tusikojua kwa akili za Kawaida za kibinadamu hakuna...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimesikia watu wakisema kwamba eti Dr Mpango ni mzalendo lakini cha ajabu yeye mwenyewe anasema tatizo ni umri sio ufisadi. Yeye mwenyewe hajawahi kukemea lolote kwa miaka yake . Hajawahi...
0 Reactions
1 Replies
168 Views
Kwako Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na...
35 Reactions
109 Replies
7K Views
Nakupongeza kwa moyo wa dhati kwa kupitishwa na chama chetu kuwa mgombea urais na ndipo utakuwa rais wa JMT 2025-2030. Kuna jambo ambalo sisi tukupendao kwa dhati na wenye kulipenda Taifa letu...
2 Reactions
12 Replies
492 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…