Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Adam Kimbisa, Sophia Simba na Emmanuel Nchimbi ambao ni wajumbe wa kamati kuu wamepinga uamuzi wa kamati kuu ya CCM kwa kusema kuwa wao hawapo pamoja na uamuzi wa kamati hiyo utakaosomwa leo...
10 Reactions
40 Replies
3K Views
Samia ndio rais aliyepo madarakani, katiba ya CCM na utamaduni wake inamruhusu kugombea urais, ni mwenyekiti wa CCM, huu woga uliopitiliza wa kuwania urais 2025 unaletwa na nini mpaka aamue...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Alisema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=4CFDwaH3EPM Halafu, akasema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=gU29hxl-e9Y. Unajua kwanini? Ngoja niwaambie. Joseph Msukuma, Mwenyekiti wa CCM Geita...
17 Reactions
56 Replies
10K Views
Wengi sasa wameanza kumwangalia kwa jicho flani huyu msomi na jamaa mwenye utulivu flani. Wanasema anafaa kuwa Rais wa kupitia CCM yaani yeye ni bora kuliko manyang'au wengine. Hata uongeaji...
3 Reactions
21 Replies
844 Views
Kwa sasa na kizazi kilichopo Dkt. Emmanuel Nchimbi PhD Ndiye Gwiji la Siasa za CCM Ni Imani yangu kuna nafasi kubwa pale CCM inamsubiri na Muda si mrefu CCM yetu itayarejea makali yake Mlibwanji...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa wadhifa wake kwa tuhuma za kushindwa kusimamia wizara yake, kiongozi huyo ametaka apewe moyo wa upendo na...
1 Reactions
167 Replies
19K Views
Kama lipo kosa analojilaumu Emma basi ni la yeye kuanzisha uasi kwa kile kilichotangazwa na na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wakati huo ndugu Jakaya .M. Kikwete kuhusu kukatwa kwa jina la bwana E...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Ndg wana JF salaam? Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka...
28 Reactions
694 Replies
62K Views
Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi. Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko...
18 Reactions
166 Replies
18K Views
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa. Sababu za kwanini awe Nchimbi, 1. Unyenyekevu kwa...
12 Reactions
84 Replies
3K Views
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa...
16 Reactions
68 Replies
3K Views
Anaitwa Dr Emmanuel John Nchimbi, Moja Kati Ya Masenior Comredi Ndani Ya Chama Cha Mapinduzi Ni Mtu Mahiri Katika Kile Anachokiamini Na Hafundishwi Punda Kumwita Farasi. Ni Mwanasiasa Mwenye...
2 Reactions
106 Replies
23K Views
04 December 2024 Benguela, Angola Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Philip Isdori Mpango kumuwakilisha rais Samia Hassan, uzinduzi Lobito Corridor Angola Dr. Philip Isidori Mpango amewasili...
3 Reactions
14 Replies
824 Views
Alhamisi, Aprili 18, 2013 07:41 MPAMBANO WA MGOMBEA URAIS CCM 2015 *Vita kali yatabiriwa kati ya Wasira, Lowassa na Nchimbi *Mpango wa kukatwa jina la Lowassa waunganisha makundi KATIKA hali...
2 Reactions
99 Replies
16K Views
Makonda anakubalika nchi nzima Sema sasa kwa Arusha kidogo kuna wapinzani walikuwa wanamchafua Sana Sasa mama anataka atembelee nyota ya Makonda 2025. Lakini walikaa wakagundua mwamba anakubalika...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Ukiiweka hapa! Mungu atakuwa amekubariki sana!
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Yuko wapi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba tangu atumbuliwe uwaziri hajaonekana hadharani kuanzia jimboni hayupo wala bungeni hayupo Je Januari Makamba yuko wapi?
2 Reactions
6 Replies
416 Views
Matokeo ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa yamewatangaza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Pamoja Na Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi Kuwa wagombea Urais 2025-2030. Marais hawa watakuwa wanakamilisha Ngwe...
2 Reactions
6 Replies
322 Views
Za ndani kabisa imefichuka kuwa Kuna Kila Dalili ya makundi matatu yenye nguvu kuungana na kupinga mwenyekiti aliyepo madarakani kugombea URAIS tena 2025. Lengo lao ni kuvunja matabaka na tofauti...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
Wajuvi hebu tuliangazie macho bunge lijalo,hiv litakuwa na sura gani? Naliona kama litajaa pongezi nyingi sana kwa walioteuliwa,halafu kila kitu kitapita bila kupingwa ikiwa kama hongo.Namuona...
0 Reactions
1 Replies
143 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…