Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Bunge la Ulaya na Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya wamefikia makubaliano ya kutoa passport ya kielektroniki (cheti cha Covid19) itayoruhusu Mtu kusafiri katika Nchi 27 za Umoja wa Ulaya ikionesha...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Makaburu na mawakala wao hawataki kuamini lakini ndivyo ilivyo. Hivi sasa inatumika nguvu kubwa kuitafuta corona hata kwa tochi nchini Tanzania bila mafanikio. Wanalazimisha kushawishi mamlaka...
15 Reactions
65 Replies
4K Views
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19. Kwa hali Hii serikali...
11 Reactions
353 Replies
20K Views
Nawasalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona. Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi...
44 Reactions
143 Replies
9K Views
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yapokea msaada wa vifaa vya haraka vya kupimia COVID 19 aina ya Rapid Test, vyenye thamani ya shilingi Milion 250 za Kitanzania. Makamu wa kwanza wa Rais wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara...
38 Reactions
360 Replies
28K Views
Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania; 1) Itangaze uwepo wa Corona 2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona 3) Ikubali maadhimio ya Kikanda na Kimataifa 4) Ipanue maktaba za...
24 Reactions
792 Replies
46K Views
Full article here Was Tanzania vindicated on Covid testing claims? Was Tanzania vindicated on Covid testing claims? Tuesday, 20 April 2021 11:24 Written by Sonia Elijah...
9 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani. Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo...
22 Reactions
329 Replies
21K Views
Amani iwe nawe Mama yetu! Kwa mfululizo nimekuwa nikiandika mada mbalimbali za kukushauri juu ya mustakabali wa uchumi wetu sisi Tanzania kama nchi. Leo badala ya kukushauri, napenda sana...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Faida ya chanjo imezirudisha nchi nyingi hasa za Ulaya, China, USA, CANADA, SOUTH KOREA ETC katika uchumi wao wa kawaida. Yaani wanaitwa nchi zilizoendelea. Wananchi wao wamepata chanjo na sasa...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Tanzania's coronavirus response is getting serious, two months after the death of the country's Covid-denying president. Before he died in mid-March, former leader John Magafuli repeatedly...
9 Reactions
91 Replies
7K Views
Mbunge wa Nzega vijijini Khamis Kigwangalla amesema utafiti unaonyesha uchumi wa dunia utagrow kwa kasi mara tu baada ya COVID-19 kudhibitiwa. Tanzania siyo kisiwa hivyo tuungane na dunia katika...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Mchungaji Matsai wa Kanisa la KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari dhidi ya Corona kwa sababu siyo kila jambo ni lazima Rais atoe kauli. Mchungaji amesema kama unaona kuna tatizo...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu: https://www.bbc.com/news/world-asia-56919924 Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi...
11 Reactions
103 Replies
8K Views
TRAVEL ADVISORY NO. 7 OF 4TH MAY, 2021 The Government of the United Republic of Tanzania has continued to implement measures towards controlling COVID-19 Pandemic. Based on the global...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hapa nchini tuna jumuia kubwa ya wananchi wenzetu ambao wana Asili ya India, miongoni mwao huwa wanasafiri kwenda na kurudi Ibdia kwa shughuli za kijamii, kibiashara na Kidini. Na tunajua kuwa...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Mama Samia amesema hawezi kupandisha mishahara kutokana uchumi kuyumba kutokana na ugonjwa wa Corona. Tangu mwaka jana serikali ambayo yeye alikuwa Makamu wa Rais ilituaminisha kuwa Tanzania...
7 Reactions
15 Replies
949 Views
Ukitembelea tovuti ya Amnesty International ukurasa wa Tanzania utakuta wamebandika andiko wakitaka kamati iliyoundwa ya corona itumike kuhakikisha kuwa Watanzania wanachanjwa chanjo ya corona...
26 Reactions
79 Replies
5K Views
Kumbumbu zangu zinasema CORONA iliingia kwa nguvu toka India mwaka jana, baada ya kuwepo tamasha la Diwali lililoalika watu toka India kwa wingi. Tanzania na India tuna mahusiano makubwa ya...
1 Reactions
3 Replies
856 Views
Back
Top Bottom