Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

wakuu, kwenye post inayopatikana hapa mwenzetu zyansiku ametoa mantiki ya ujio wa bashe huko nzega akidai ametumwa na mungu pale aliposema: ...nyuma ya bashe yupo mungu maana watu wa nzega...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Nikilinganisha kwa muonekano wa picha za mikutano kati ya CCM na CHADEMA naona kuna kundi kubwa la wapiga kura nalikosa kwenye picha za CHADEMA, si waongeaji sana lakini ndio huamua nani awe...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Hivi hawa jamaa wanaweza kukaa pamoja hivi? Siasa za BONGO sina hamu? Jazia maneno kwenye mazungumzo haya
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kila kitu Kina mwanzo na mwisho wake, kama Msosi unakula kisha unaisha, shibe huisha, watu hufa na duia huendelea mbele wala hairudi nyuma,, nasema hivyo Kwa sababu zifuatazo... Maendeleo yeyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama inavyofahamika kwa wengi, Ndugu Hussein Bashe ni kijana wa karibu sana na Rostam Aziz yeye ndio msimamizi wa miradi mikubwa pale Caspian na kwingineko kwa niaba ya RA, izingatiwe pia RA ndiye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, wasambazie watangazaji wa redio zote hii taarifa ili wahudhurie na kuweza kuwa fair wakati wa uchaguzi. Form ya Usajili Tangazo la Workshop yenyewe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Taifa, Rais Jakaya Kikwete amesema hana tatizo na wanachama wa chama hicho wanaohamia vyama vingine,lakini wasijaribu kukihujumu. Kikwete amesisitiza...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Jitahidini mle hivyo hivyo, ili mkue, watapita na matarumbeta kuwaomba kura zao Mama endelea kutuchagua, tutawajengea barabara za juu na chini. Tuchagueni tutawajengea makazi na ofisi bora...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naona kijani na njano hapo chini barabarani, Ohio Street. Sijui ndio mafisadi wanatafuta nini!
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwani CUF inafika mbali inaishia DAR tu tena Buguruni haivuki mto Msimbazi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Government warns Mgaya for his defiant remarks By ABDULWAKIL SAIBOKO, 13th August 2010 THE government has warned the Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) Acting Secretary General, Mr...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
CCM wajipanga kumzuia Dr Slaa • Waandaa mamluki kumdhamini • Waomba msaada wa vyama vidogo Na Saed Kubenea Mkakati umesukwa na viongozi ndani ya CCM ili kuzima safari ya Dk Wilbrod...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kwa waratibu wa kampeni ya Mh. Slaa katika kugombea Urais 2010, Napenda kuwajulisha tu kuwa nina wazo lililonijia katika siku chache zilizopita ambalo nina amini linaweza kusaidia katika kampeni...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Napenda nianze kwa kuwaomba samahani wanawake kwa kauli yangu. Nimefanya uchunguzi na kugundua kuwa umasikini wa nchi hii umetokana na kung'ng'ania CCM. CCM ni chama ambacho kimeshauzwa na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi amepita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM na kata tisa zilizopo jimbo la isimani wagombea wa CCM wapita bila Kupingwa Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Mojawapo ya vitu ambavyo sipendi kwenye CCM ni huu utaratibu wa kikomunisti ambapo watu fulani katika majoho yao wanatengua maamuzi ya kura kwa ajili ya maslahi ya "chama". Badala ya kuwachuja...
0 Reactions
362 Replies
25K Views
Wagombea ubunge kwa Majimbo ya Morogoro Mjini na Morogoro Kusini mashariki kupitia CHADEMA wamerejesha form zao leo na kuahidi kufanya makubwa endapo wakichaguliwa. Mwanasheria Amani Mwaipaja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ikulu lawamani • Yafuja mamilioni kwa chakula cha jioni na Edward Kinabo WAKATI baadhi ya wadadisi wa mambo wakihoji faida gani taifa lilipata kwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa uchumi wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hii article hapa chini ni kutoka gazeti la mwanahalisi........kama ni kweli basi twazidi twafwa serikali yafadhili kampeni za ccm na saed kubenea - imechapwa 11 august 2010 msemaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa Mara ya kwanza kizazi kipya cha mabadiliko kitaanza kupiga kura au kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu.Kizazi hiki ambacho hakijachakachuliwa ni wale vijana ambao walizaliwa kuanzia mwaka 1992...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom