Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

siku ile CHADEMA wamehutubia Jangwani, eti kumbe vyombo vyenu vilikua vibovu,na mlikua "WAUNGWANA kwerikweri" mkaomba radhi...leo vyombo vyenu ni bomba mbaya, mmeweza kurekodi ipasavyo...ila...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Naona kama kitu hiki kinakuja na kinaniumiza sana moyo wangu maana hatuwezi kuendelea kamwe. Kuna watu wanaleta siasa hizi sa dini(mmeona na gazeti fulani lilivyosema leo),,,,,, Kwa minajili...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa jinsi mambo yalivyoenda leo mchana huu naona kigagula Yahaya si muchezo jamaa kidogo achungulie Jehanamu ameishia lango la kuzimu! Ama kweli ushirikina hauna maana kama Sheikh Yahaya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
This is the first time i feel like Tanzanians have come to their sense that we need changes and i mean right changes, it is time we make those changes and 1 day our sons will ask us what we did to...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Magazeti wiki hii yamekuwa yakiandika kuwa mabadiliko ya 10 yaliyofanyika Zanzibar ya kuonyesha kuwa hiyo ni nchi iliyo na uhuru kamili na mipaka yanataka kuanzisha mgogoro wa kikatiba nchini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilifuatilia ufunguzi wa kampeni wa chama tawala jana pale jangwani na kwa kweli nilisikitika nilichokuwa nasikiliza. Wote waliozungumza hawakuongea jambo la msingi la kuwashawishi wananchi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wana JF nimejaribu kuuangalia mfumo tunaotumia wa kuchagua viongozi na hakika nikakataa kuukubali kwa vigezo kadhaa. Mfumo huu wa kupiga kura na anayepata kura nyingi kuwa ndiye mshindi sio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais Kikwete akianguka tena daktari atasema nini? Ansbert Ngurumo NAANDIKA kwa uangalifu mkubwa kwa sababu mada yenyewe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kikwete aikosesha CCM jeuri ya mwaka 1995 MWAKA 1995 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa na jeuri. Baada ya mkutano mkuu kumteua Benjamin Mkapa kuwa mgombea urais wake, na Mwalimu Julius...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani kuna mahali nimekuta picha hizi. Chadema jimbo la Bukoba mjini walipokuwa wakiwakilisha form kwa msimamizi wa uchaguzi. KAZI IMEANZA.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa wale wote mnaopenda kupata habari mbali mbali za Rais wetu mtarajiwa mnaweza kuzipata kupitia Facebook Page yake,Dr. Wilbrod Slaa | Facebook pia kutakuwa na hotuba zake mbali mbali na ratiba...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Ramadhani na Dk.Slaa Habari ndugu zangu,poleni na swaumu.leo nilipokuwa masjidi nikakumbuka kwamba niko kwenye mwezi wa toba na ata siku moja sijawai kumwombea Raisi wangu Dk.Slaa,kwaiyo kuanzia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The countdown is over and today, August 20th, 2010, Tanzanians are just one step closer as we are gearing towards the 2010 Presidential, Parliamentary and Councilors Election. But no one in...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kupata wakati mgumu baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora, aliyedaiwa kuwa si raia wa Tanzania, Dk. Hamisi Andrea Kigwangala kuwekewa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Inashangaza kidogo Tume ya Uchaguzi ya Taifa ya Tanzania haina hata majina ya wagombea wala habari za uchaguzi wa mwaka huu. sana sana hutuba za wakubwa wa NEC . Ukiangalia Presential...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Leo katika kipindi cha Jahazi cha redio clouds mtangazaji Kibonde amesema CCM imepata wabunge 10 waliopopita bila kupingwa katika majimbo 10 nchini. leo ndio siku ya kwanza ya kampeni je wapinzani...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Tayari CCM imeshayakamua makampuni mbalimbali yaliyopo tanzania. Mpaka sasa imekusanya tzs bilioni 40, lengo ni bilioni 50(milioni 50,000.00). Kisa... Kampeni! ...kwangu hiki ni kielelezo cha...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
It's election time again, two thousand and ten It's treason season again, democracy bargained Conspiracy charging, voters chagrin Mandarins and pretenders babbling margin while margarining The...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Lusinde ashitushwa wagombea udiwani kulipa Sh1m Friday, 20 August 2010 08:55 Habel Chidawali, Dodoma Mwananchi BALOZI mstaafu Job Lusinde amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
This year’s election race is officially on, any updates/pictures please.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom