Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wananchi wengi katika umati mkubwa wa watu waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM kule Jangwani siku ya Jumamosi iliyopita walifika hapo baada ya kuliupwa kufanya hivyo. Baadhi...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
ni kawaida binadamu kutofurahia maanguko au mateso ya mtu mwingine waziwazi. lakini kwa nini hili la kikwete nachelea kumsikitikia? ninazo sababu zangu nyingi lakini baadhi tu ni hizi 1...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Tovuti ya BBC Kiswahili inaripoti kuwa wakati kampeni za uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mojawapo ya faida alizonazo mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu ukiondoa kuwa yeye ni Rais ni ukweli kwamba yeye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa CCM. Hivyo, licha ya kwamba ni...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba kikao kimoja kimefanyika leo na watu wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wamepewa jukumu la kuandaa karatasi za ziada za kupigia kura na masanduku. Kikao hicho...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
SIKU tatu baada ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, kuishiwa nguvu wakati akizindua kampeni za Uchaguzi Mkuu wa chama hicho akiwa jukwaani, jana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu wa hapa Uingereza kulijitokeza tetesi za wasiwasi kuhusu afya ya aliyekuwa Waziri Mkuu Gordon Brown.Katika kilichotafsiriwa kama kukata mzizi wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TUCTA lakebehi kauli ya JK Monday, 23 August 2010 11:48 Na Job Ndomba,Jijini wa Dar Leo SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema kwamba kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuwa ni...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Wakulu; Naona kupitia Luninga ITV wanarusha Uzinduzi wa Kampeni za CCM Live
0 Reactions
176 Replies
16K Views
Kwa nini wao tu, mji safi wawe wao, kampeni tulivu wawe wao, kwa nini tusijifunze hizi tamaduni nzuri hapa ndani kwa ndani badala ya kuvuka mipaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
:juggle: KAMPENI KUANZA KESHO KTK VIWANJA VYA JANGWANI.....MAANDALIZI NI KABAMBE.....TUFIKE TUSIKIE SERA ZAO...KAMA NI PUMBA AMA MCHELE.....nadhani personaly ntakuwepo kusikiliza namna...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kitendo cha yeye kusema kuwa hakuzikataa kura za wafanyakazi ni sawa na kutuona tusio na ufahamu. Hotuba yake aliyoitoa akihutubia wazee wa CCM wa DSM tunayo. HATUDANGANYIKI NG'O!!!!
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nilitoka kuangalia mpira. Najaribu star tv nakuta kuna kampeni za CCM. Wasanii akina Flora Mbasha nao wametinga Mwanza. Sasa hivi anahutubia Bilal
0 Reactions
113 Replies
12K Views
Spin masters kama kawaida yao! Wanasema angefika Mwanza asubuhi mpaka sasa hivi hajafika bado sijui asubuhi haijaisha? Why not take a rest mkuu??????????????????
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Kitu kinachonikera kwa tv zetu zote hasa wa startv na TBC ni pale wanapoacha kazi yao na kujiingiza kupiga kampeni. Wanaeleza hisia juu ya chama fulani kuliko kufanya kazi ya kuripoti kile...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anayewania ubunge katika Jimbo la Hai, amewekewa pingamizi kwa madai ya kukwepa kulipa kodi ya serikali inayofikia Sh. milioni 48.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wimbo wa harambee unaotumiwa na ccm utakuwa mzuri tu pale ile sehemu ya kuwachanachana na kuwatupa wapinzani itakaporekebishwa kwani inaweza kuleta hisia za ubaguzi kwa watanzania wengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, tumeona jinsi Tume ya Uchaguzi (NEC) ilivyakazania kuvisainisha vyama (kwa maana ya viongozi wao wakuu) kwenye hati kwamba watafanya kampeni za kistaarabu, bila vurugu, bila matusi etc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukerewe seat MP, Gertrude Mongela. Bahi constituency in Dodoma Region, a CCM candidate, Badwel Omar, Singida Urban Davi Bulala. na mengine mengi.. Muimi naulizaa Hawa Wapinzani wapo serious na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom