Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mimi kila nikiangalia hii thread machozi yananitoka. Kwa kweli inatia huruma sana. Rais ana huruma au nini? Mimi nadhani kwa sasa lazima Waziri wa Afya aingilie kati _ Dr Mfisi should be out kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanachama Wote na Viongozi wa CCM, Kutokana na hali ya mambo ilivyo na hasa kwa faida ya nchi yetu kama Watanzania, tunawaomba sana Mbadilishe mgombea wenu wa Kiti cha Urais awe Dr. Salim Ahmed...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa watu ambao walimsikiliza Rais Kikwete jana huko Mwanza alianza kutoa ahadi ambazo haziko katika Ilani ya CCM bali ziko katika Ilani ya Chadema. Nimebahatika kupitia Ilani zote mbili nikiwa ni...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau nalileta kwenu hili...! Huyu mtangazaji ana matatizo gani..Maana kwenye kipindi cha magazeti anapenda sana kupotezea habari zinazoiponda Serikali..Mfano leo Hakusoma kabisa habari kubwa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Ni ndani ya Tanzania pekee, yaweza tokea yafuatayo: 1. Kiongozi wa kisaiasa anaweza kukejeli wapiga kura na bado akashangiliwa. 2. Wanasiasa hawawajibiki kwa waliowachagua. 3. Uraia unakuwa muhimu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna vyama vya siasa mbavyo bado sijajua nia yao hasa katika Taifa hili. Nimesikitishwa sana na chama kimoja siasa (hivi ambavyo havina majina) ambacho kimemsimamisha mgombea ambaye ni Barmaid...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Jakaya Mrisho Kikwete, amemtambulisha Mwalimu wa Kimataifa wa Ujasiriamali, Eric James Shigongo kwamba ndiye mpigadebe mkuu wa...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
NIMEFANIKIWA KUWA MGOMBEA WA KITI CHA UBUNGE WA JIMBO LA KINONDONI, DAR-ES-SALAAM KUPITIA TIKETI YA CHADEMA. NILIZALIWA WILAYANI KINONDONI, NIKASOMA CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM, NIMEJENGA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Limited edition jakaya kikwete tshirts for sale. Available in green,black and yellow (small,medium,large and extra large) tzs 15,000 only get yours today.call 0719 37 31 31 to place orders.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Habari zilizopatikana sasa hivi zinasema kwamba Dk. Slaa ndiye mgombea urais wa Chadema mwaka 2010. Kikao kilichomchagua Dr. Slaa kuwa mgombea urais wa CHADEMA More to come
0 Reactions
504 Replies
43K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema ni matusi anapoambiwa kwamba hajali maslahi ya wafanyakazi nchini, wakati serikali yake imekuwa ikiboresha maslahi ya wafanyakazi mwaka hadi mwaka na kusisitiza...
0 Reactions
87 Replies
7K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema, tangu aingie madarakani Desemba 2005, hajawahi kuidhinisha kunyongwa kwa mtu yeyote. Kikwete amesema, atatoa uamuzi wa kunyongwa au la kwa watu waliotiwa hatiani kwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Slaa akiongea leo Na Waandishi Wetu MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wajibu Wa Wananchi Kwenye Uchaguzi Mkuu ZIKIWA zimesalia miezi michache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba ni muhimu kwa kila mwananchi kujua jukumu lake katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Idadi kubwa ya wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na wale wa sekondari nchini Tanzania wamenyimwa haki yao ya msingi ya kushiriki ktk kumchagua Rais wa taifa hili, atakaye waongoza kwa kipindi cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mapingamizi mengi yamefunguliwa na wagombea sehemu mbali mbali. Wagombea wa ccm walipomtuhumu mgombea wa upinzani kwa kumwekea pingamizi, yule aliyewekewa pingamizi ndie aliyetakiwa kuwakilisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilitoa changamoto kwamba nieleweshe ni namna gani tunaweza kuwa na mapato ya ziada yatakayoweza ku-accomodate mshahara wa kima cha chini wa Sh.315,000/=! Kama kawaida yao, hamna aliyejibu hoja...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Don’t celebrate yet,Nec tells ‘unopposed’runners By Mkinga Mkinga Its too early for unopposed parliamentary candidates to celebrate after their rivels were disqualified through...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1. Mpaka sasa kumekuwa na maswali mengi kuliko majibu kuhusu kuanguka kwa JK jukwaani, hasa nyakati za uchaguzi. 2. Kama kawaida wanasiasa Watz walishapata majibu hata kabla ya JK kuzinduka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom