Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
Wadau,tafadhalini sana kwa yeyote anayefuatilia kampeni za CCM Mwanza,kuna habari zimeanza kusambaa kwamba JK kaanguka tena.... tafadhali sana kama kuna anayefuatilia na akiwa na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya harakati za uchaguzi, mambo mbalimbali yamekuwa yakijitokeza, hapa tutakuwa tunaweka hints ya vituko mbalimbali vilivyojitokeza na vinavyojitokeza kuelekea Uchaguzi Mkuu wa October 31...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania wenzangu (kama kweli mi ni mtanzania kwa mujibu wa CCM) Uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na wimbi la watu waliokuwa wanajijua kuwa ni watanzania kumbe kwa mshangao wao...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Mimi nikiwa kama mpiga kura, nimeamua kutomchagua KIKWETE, hata kama kura yangu haitasaidia kitu bado nitafurahi kuweka alama ya NO kwake!! Sabau zangu ni hizi hapa:- 1. Chini ya uongozi wake...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Zuberi Kabwe amejipanga kikamilifu kulitetea jimbo lake la Kigoma Kaskazini na kurudi bungeni kwa kuweka program ya michango...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimewasikia kupitia vyombo vya habari kwa nyakati tofauti Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara wakisisitiza kuwa CCM ina Wanachama Million 5 na kuwa hizo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wanaopenda Masumbwi, bila ya shaka mtamkumbuka bingwa wa zamani wa uzito wa Juu Mohamed Ali ambaye umahiri wake umeacha historia. Bondia huyu anapokua ulingoni, huwa raundi za mwanzo harushi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Binadamu wenye ubinadamu tunasikitika sana na kumpa pole JK kwa kuanguka jukwaani akiwa kwenye kazi za chama. Tunamtakia afya njema rais. Hali hii imemtokea JK mara nyingi akiwa kwenye kazi za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jijini Dar es salaam, mgombea urais wa CCM, Kikwete ndiye aliyekuwa wa kwanza kurejesha fomu na alisindikizwa na mamia ya wafuasi wa chama hicho waliokuwa wamevalia nguo za rangi ya kijani na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeendelea kufungua threads nyingi za uchaguzi na kuzisoma, kinachonishangaza ni watu wengi kuwa na imani za gizani, ati CHADEMA ishinde uchaguzi wa kiti cha Urais bila maandalizi! Mimi nadhani...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Closed
Habari nilizozipata muda mfupi uliopita zinadai Mhe. Mohammed Dewji mbunge wa Singida Mjini ameshinda kesi iliyokuwa imefunguliwa na wapinzani wake na yeye kuwashinda katika pingamizi alilowawekea...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Wadau, Kampeni ndio zimeshaanza rasmi. Lakini nashangazwa na baadhi ya Tv stations na blogs maarufu hapa nchini kuonyesha habari za CCM tu kana kwamba ndio chama pekee cha Siasa hapa nchini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF najua mnalichukulia kwa uzito mkubwa suala la kutenda haki katika uchaguzi wa mwaka huu. Naamini kuwa kwa kiasi kikubwa utakuwa mchango mkubwa katika kuwezesha taifa letu kukombolewa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WANAFICHA UKWELI,WANALAZIMISHA WATU WAENDELEE KUCHOKONOA NA KUDADISI,HAWAPO MAKINI NA KAULI ZAO,WANA UPOFU WA FIKRA WA KUSHINDWA HATA KUKUMBUKA KAMA JANA WALIZUNGUMZA NINI NA LEO WANAPASWA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakumbuka niliwahi kusema kwenye Post yangu ya kwanini tumeamka sasa na sio simetime before kwamba tunahitaji rais anayemjua mungu na kumtegema mungu katika uongozi wake, anayejua kulitumikia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa nin hawa madaktari wanaoshughurika na afya ya JK wanapenda kutoa majibu mepesi, kila anapoanguka tunaambiwa sukari ilikuwa imeshuka, uchovu wa safari, tulimshauri apumzike akagoma, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu wanasema ukimwita mwanao Shida, Tabu, Mjeuri, Jinga … atakuwa na tabia hiyo hiyo. Sasa sisi tuna viongozi wetu wana majina wewe wacha tu. Rais anaitwa Kikwete, kazaliwa kijiji cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tena nahisi kwa mtu aliye makini, kibwagizo hicho ni tusi kwake! Ni tusi kwake kv mtu yeyote kupandikizwa kitu ambacho si sahii na kumtaka akiamini tafsiri yake ni kwamba umemuona juha! Kama...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hii kwanza imenishtua, nikajenga attention, then ikanifurahisha... Very creative
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu tunaomba updates juu ya safari ya Mwanza kwa mgombea wa ccm, je amefika? na nini kinaendelea??
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom