Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni kweli umekaa/umetutumikia muda mrefu,sasa ni wakati wako wa kupumzika,wala usijisikie vibaya kushindwa. Hata kama hakuna tafrija ya kukuaga,mimi nitakuaga kwa kukushukuru kwa machache mazuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
East Africa's leading youth channel - East Africa Television (EATV/Radio) - yesterday launched a special campaign which aims at educating youths on the importance of participating in the...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika makala yake ya leo, Ansbert Ngurumo amejadili suala nyeti na ndani yake kuna tuhuma za hujuma za kimafia zikifanywa na wasaidizi wake juu ya wagombea ambao wanaonekana kuwa tishio kwake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Mmoja wa wagombea ubunge wa CCM aliyeshinda nafasi hiyo kwenye kura za maoni amenusurika kuuwawa na jambazi aliiyetumwa kummaliza baada ya jambazi huyo kumwambia kwamba yeye ni mtu mwema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Neno samahani am soory kwa wanasiasa wengi na hata sisi tusiokuwa wanasiasa huwa ni gumu sana kulitanka kama kunywa sumu. Naomba nipendekeze 1ja ya swali muhimu kuwauliza wagombea watarajiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naizungumzia NCCR ile iliyokuja kuibuka baada ya sakata la Mrema na Chavda! Naizungumzia NCCR iliyokuwa imemtunuku Mrema uenyekiti wa chama hicho mara baada ya kuihama CCM kwa mbwembwe(haijapata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chadema leaders in Tarime move to CUF By DAILY NEWS Reporter, 13th August 2010 Political wind has hit hard Chadema in Tarime District, Mara Region where hundreds of its members returned their...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tumeshuhudia vituko, vioja, mbwembwe, rafu, rushwa, kamata kamata na mengineyo katika siku za kampeni kuelekea kura za maoni ya chama twawala! Sasa nimeamua kuanzisha thread mahususi kwa ajili...
0 Reactions
496 Replies
68K Views
Waziri wa zamani Joseph Mungai amepandishwa kizimbani kwa kosa la 'kuchakachua' kwenye kura za maoni za CCM. Source: TBC1 Habari
0 Reactions
70 Replies
8K Views
Wakuu tarehe 14 kuna kikao muhimu cha Chama. Dalili zinaonesha kuwa kuna-fouls zinapangwa kuchezwa ili kuwanufaisha baadhi ya watu walioshindwa kwenye kura za maoni, na kuwakwamisha wale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajumbe wote wa kamati kuu ya CCM wamehudhuria kikao cha CC kinachoendelea Dodoma isipokuwa mwanasiasa mkongwe, John Samuel Malecela pamoja na waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Haikuweza...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
UKIONA kwa mwenzio kunaungua ujue kwako kunateketea. Hiyo ni kauli iliyodhihiri jana baada ya uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu wa Chadema, kufutwa baada ya kutokea vurugu zilizohusisha utoaji...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Napendekeza Watanzania wote wenye nia ya kuufahamisha umma wa Wa Tanzania kwa nini CCM hawastaili kupewa miaka mingine ya kuongoza nchi hii kuanda cd zikionesha picha kutoka sehemu mbalimbali za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mnaofuatilia kikao cha NEC/CC cha CCM huko Dodoma hebu tupeni yanayoendelea huko. Wazee wetu waliokosa ubunge wanafikiriwa? Presha zikoje huko???
0 Reactions
20 Replies
4K Views
CHADEMA’s leadership is contemplating whether or not to field a candidate to contest a Parliamentary Seat in Mlele constituency , which Prime Minister Mizengo Pinda passed unopposed on CCM ticket...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Na Mwandishi wetu 12th August 2010 Barua mbili zilizoandikwa na Waziri Mkuu Pinda Mbunge wa Igunga...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Wana JF nimehaha kutafuta Ilani za Uchaguzi za vyama vya siasa bila mafanikio nilienda CCM nikaambiwa zinauzwa lakini mara bado mara anayeuza hayupo..nikatia timu CHADEMA nikaambiwa hazijatoka mtu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilishatoa kwenye jf nia yangu ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chadema mnamo may 2010, sasa baada ya kura za maoni kupigwa pale jimbo la lushoto mjini na shekifu kuibuka kidedea sasa naona njia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM wa Mkoa wa Iringa ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu John kilichoko Dodoma, Fadhili Ngajilo (32) amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom