Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wana JF, Ninapenda kusema haya machache tuu kwa wafanyakazi wa TAKUKURU, Kuwa hii kazi yao waliyoifanya kipindi cha kura za maoni naona waliishindwa 100% kwanini, Ntaanza na maswali machache...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naona kata za KARIAKOO watakuwa wanaongoza kwa kufanyiwa uhuni kura za maoni na natabiri hawa watakuwa wanaongoza kwenye kuzirejesha kadi za CCM Ya nini kwenda mbai? Tafuteni chimbuko la DR...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chanzo cha Habari hii ni Gazeti la Tanzania Daima;13 August 2010 walidai inaonyesha wazi kuwa chama kimekuwa na tabia ya kumbeba Chiligati kwa kuwa anayo nafasi kubwa katika chama hicho jambo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Link hii inaonyesha Shein na Bilal wakipita kwenye mitaa ya Zanzibar na Pemba "http://www.youtube.com/v/fw3L02j_lGM" Link hii inaonyesha Kikwete na Makamba wakimtaja kwa jina mgombea fulani...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Ingawa uchaguzi wa kura za maoni CCM umeshafanyika na mbunge anayeshikilia kiti hicho ndugu Abdulkarim Sha au BULJI alimshinda OMAR KIMBAU lakini katika kuonyesha kutoridhishwa kwa maamuzi ya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Juma Simba Gadafi (mwenye baraghashia kichwani) akijaribu kuwatuliza wana CCM kutoka Kata ya Mchikichini Ilala na Miburani Temeke...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
From The East African Beyond Kikwete: Will the slighted Slaa be the star of the succession script? By Jenerali Ulimwengu July 26 2010 When, in 1995, Dr Wilbrod Slaa, a defrocked priest, won...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Nitafurahia kusikia takukuru wanawakamata wagombea wa igunga,nzega,kahama,vunjo,kyela,urambo,monduli ambako kumeripotiwa rafu za waziwazi wakati wa uchaguzi,kamatakamta yao isiendeshwe kwa misingi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
NAIBU mkuu wa kitengo cha propaganda wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Richard Tambwe amesema Rais Jakaya Kikwete hajawahi hata mara moja kukataa kura za kundi lolote la jamii, wakiwemo wafanyakazi...
0 Reactions
67 Replies
6K Views
Habari kutoka Buasanda zinasema mbunge aliyemaliza mda wake LOLENSIA(CCM) tayari imedhibitika hawezi kushinda kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.....na badala yake wananchi wa Busanda wamejiandaa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mmoja ya wagombea ubunge kwenye jimbo la sikonge ni balozi David Kapya ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye shirika la UNHCR na sasa yupo Office ya rais mstaafu Benjamin W. Mkapa. Kesho ndio...
0 Reactions
50 Replies
8K Views
Mhariri wa HabariLeo amekuja na mpya baada ya kuacha kazi yake ya kuutumikia umma wa Watanzania (wanaolipa mshahara wake) na kujivika ukada wa CCM kumtetea JK. Mimi niliisikiliza kwa ufasaha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete Miraji Kikwete(kushoto) akiwa na Mdau akionyesha kwa Mbwembwe Flana Maalum za Kikwete 2010 - PHOTO: Haki Ngowi Naona kampeni zimeanza rasmi, na familia inaonekana...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Inapokuja maswala ya kitaifa na si jimbo wala chama,baada ya kura za maoni ndani ya CCM najisikia uchungu sana nikikumbuka yale yaliyowapata SELELII,LEMBELI, KIMARO nk(wenye kupigania haki kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
RAIA MWEMA UGHAIBUNI Maslahi ya umma ni zaidi ya vyote Evarist Chahali Agosti 11, 2010 MARA ya mwisho makala zangu kuonekana katika jarida hili ilikuwa katikati ya Juni mwaka 2008...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, Jana nilipata habari kupitia TV zetu kuwa Bw. Tambo hizza akikanusha kilichochapishwa na MwanaHalisi, Lakini pia Mwanahabari Mhariri wa gazeti la MwanaHalisi Said Kubenea akisema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa ufupi: Mzee Malecela amehakikishiwa nafasi na Lusinde katupwa nje vibaya sana na kudaiwa kuwa alidanganya suala la Elimu yake, Lusinde kakasirika sana kwa hali hii na huenda akachukua hatua...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Wadau, Leo gazeti la Mwanahalisi limeripoti ufisadi mkubwa wa mabilioni ya mapesa unaofanyika Ikulu ukimhusisha Salva Rweyemamu. Ni kuhusu mapesa ya serikali kutumika katika kampeni za JK katika...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi ya Chadema inaonyesha kesho trh. 12/8 kutafanyika Mkutano Mkuu wa chama hicho. Pamoja na mambo mengine tunategemea utampitisha mgombea wake wa urais Dr. Willibrod...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sina hakika ni kwa kiasi gani zitasaidia, lakini naamini kwa wakati huu hata silaha ndogo inahitajika katika mapambano. Siku hizi simu za mikononi zenye camera na uwezo wa kurekodi sauti na hata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom