Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kubadilisha Chama au Wanasiasa si tija ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini Tanzania. Kujipanga upya kupitia Vyama au kutafuta Wanasiasa wapya si njia bora ya kuleta mabadiliko nchini Tanzania...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kutoka katika vyanzo vya kuaminika inasemekana matokeo ya Kura za maoni huko Monduli bado ni kitendawili kwani zimesharudiwa lakini bado hazijatangazwa na inasemekana kesho jumatano wanarudia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika taarifa ya habari ya TBC1 saa mbili usiku huu, makamu mwenyekiti wa CCM bara Pius Msekwa amenukuliwa akisema kwamba Chadema wameanza kampeni kabla ya muda. Kutokana na hilo, katibu wa CCM...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
TAMKO lina gharama, tamko la Jakaya Kikwete kwa wafanyakazi limemgharimu uwezo wake kiuongozi, tamko hilo limemgharimu heshima, tamko hilo sasa linamgaharimu kisiasa, pia tamko hilo linamgharimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vunjo ni jimbo lililopo mkoani Kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini. Jimbo la Vunjo limewahi kuwa chini ya wabunge kutoka vyama mbalimbali vya siasa kwa nyakati tofauti. Anaye maliza mda wake ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Dr Slaa akiwa wodini Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Dk. Willibrod Slaa, amelazwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili. Blogu hii ilizungumza na Dk Slaa hospitalini hapo, akasema alilazwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu naomba yeyote anayemfahamu first lady wetu ikiwa Lipumba anakuwa president wetu baada ya oct 31.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
MAANDAMANO, urudishwaji wa kadi na vurugu zimeendelea kutawala maeneo mbalimbali nchini kutokana na wanachama kupata taarifa kutoka ndani ya vikao vya kamati za siasa za mikoa za CCM zinazoonyesha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!! nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo.... 7.7.10 Kazi za Mkutano Mkuu wa Taifa ni:- (a) ............. (b) ........ (c) Kuteua...
0 Reactions
81 Replies
7K Views
TUCTA to ask for briefing from all presidential candidates By ROSE ATHUMANI, Daily News 9th August 2010...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Slaa achukua fomu, hajathibitishwa Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko; Tarehe: 10th August 2010 @ 08:35 Imesomwa na watu: 356; Jumla ya maoni: 1 MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
I wish our words, writings would be translated into actions, Watanzania tu wanafiki sana, including myself. Everyone seems tired with the current system, but what have we done? Talk as usual...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Someone sent me, you can read if you want……… It has been long since our Humanity, Personality, Democracy & Resources being explored; the count down of almost 50 years has passed across with...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Kitendo cha Kikwete kutokabidhi chama chake fomu ya kutafuta wadhamini bado kimekuwa kikihojiwa na baadhi ya wana-CCM walioonekana kuudhiwa na hatua hiyo ya Rais Kikwete kuonesha kukosa imani na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CHONDE CHONDE CHADEMA, msije mkasahau kutumwagia sera zenu wakati wa kampeni! Wakati nikikumbusha hilo, vilevile napenda kukumbusha kwamba kKuna mwanaharakati mmoja (katika masuala ya upigaji vita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
REDET walishazungumza mapema! Watu wakawakejeli kwamba eti wanatumiwa!! Gazeti la Tanzania Daima likadai eti REDET inatumiwa na Kikwete; kwamba REDET wanapotoa utafiti kuonesha kukubalika kwa...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Jamani nimesoma magazeti ya sikumbili tatu huyu mama ati anadai kaibiwa kura nahisi awakumchagua na ni mmoja wa waheshimiwa wa sasa wanaokimbia mashangingi ya uwaziri/unaibu anyway mama pole sana...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Watanzania wamechoka na maisha kuwa magumu hawaoni direction ya maisha yao mbeya walishaonesha ukomavu wao wakampiga JK mawe. Je watanzania katika kuelekea uchaguzi watamzomea na kupiga mawe baada...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Jamaa kwa Jinsi upepo unavyovuma sasa hv katika Siasa za Tanzania, kutona na Kura za Maoni ndani ya JF pamoja na Kura za Maoni zinazoendeshwa na Gazeti la Serikali ya Kikwete ni wazi kwamba Dr...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom