Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hali ya rushwa ndani ya CHADEMA inatisha watu waadilifu hiki chama hakiwafai tena tafuteni chama kingine, Hii CHADEMA sio ile mnayoijua. Habari za rushwa CHADEMA ni za kiwango Cha Juu sana...
1 Reactions
2 Replies
205 Views
Akiwa Katibu mkuu wa CCM Luteni Kanali mstaafu Yusuf Makamba alisema JK anauzika kirahisi sana Kwa Wapiga Kura Kwa sababu ana mvuto wa kisiasa Kwa Vijana Ndivyo nami nimwonavyo Tundu Lisu wa...
1 Reactions
4 Replies
263 Views
Kama Samia ni Mchapa Kazi: Nini Maana ya Gharama za Kumtangaza? Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye alichukua wadhifa huo mwaka 2021 baada ya kifo cha Rais John Magufuli, ameonekana kuwa na mtindo...
1 Reactions
2 Replies
188 Views
Kinachoendelea Chadema siyo tena hekaheka za Uchaguzi Bali ni kama Kuna Laana Fulani Chadema wamfanyie Hitma Mohamed Kibao Kwa sababu Kwa ajili ya Chadema Meddy aliuawa Nakumbuka Simba SC...
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Mpo salama! Ninachowakubali CCM wanajua kusukuma Kete zao kwa AKILI Sana na pale inapohitajika nguvu kidogo wanatumia CCM KAMWE haitaruhusu Chama chochote cha upinzani kiwe chama cha siasa cha...
3 Reactions
7 Replies
319 Views
Asubuhi ya leo Januari 14, 2025 pameamka na sintofahamu baina ya Daniel Naftali ambaye ni Meneja wa Kampeni(Campaign Manager) wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akizozana na aliyekuwa...
2 Reactions
13 Replies
771 Views
Hiki kituo ni kama extension ya chama cha chadema. Chadema wanapofanya ukukwaji wa haki za binadamu kwa kudharau jinsia ya kike, kudharau wazanzibari na waislamu. Hawa jamaa hawasemi neno...
1 Reactions
8 Replies
499 Views
Kwa sasa nchi ilipofika bila KATIBA MPYA, ni tunapoteza muda. Huu sio wakati wa kuongoza nchi kwa busara za wazee ambao wengi wao ni marehemu. Ni muda sahihi wa REFORM ya katiba na katika hili...
5 Reactions
7 Replies
216 Views
Kuna chama cha Siasa katika Nchi moja mashariki mwa Afrika kimeamua kuwa Demokrasia itaishia kwenye Viongozi wa Chama chao tu. Wameamua kabisa kuwa sasa haitatokea Wananchi wa nchi yao inayoanzia...
13 Reactions
68 Replies
3K Views
Sababu zetu ni zile zile. 1. Hatujui kwanini unagombea awamu hii. Huna ilani wala vipaumbele! Tutakupima vipi? 2. Umeishiwa mbinu na hilo linaonekana waziwazi kwenye muelekeo wa wanachama. 3...
5 Reactions
10 Replies
317 Views
Wakuu, Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA umeendelea kupamba moto ======================================== Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mkoa wa...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
https://youtu.be/f1iGQkhTgC8?si=_WO3Xc6_s9UbYlff Huu Uchaguzi tayari umekwisha, Tundu Lissu ni mshindi kwa zaidi ya 80% huu ndio Ukweli, Kwa idadi ya wajumbe wanaomuunga Mkono Lissu ni wazi...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu...
14 Reactions
39 Replies
963 Views
Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi. Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa...
22 Reactions
107 Replies
2K Views
Wa Tanzania wenzangu tunajipanga kwa uchaguzi mkuu ifikapo October 2025 wana siasa sasa wanajipanga kuchukua nafasi. Walio nje wanajitahidi kurejea ndani. Walio ndani wanajipanga kubakia kwenye...
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ameulizwa kuhusu ushiriki katika kuondoa ukomo wa muda wa uongozi katika Katiba ya chama hicho. Pia, Soma: - Mbowe: Lissu alikuwa Mwanasheria Mkuu...
4 Reactions
6 Replies
509 Views
Taarifa ya BAVICHA iliyo chapiswa kupitia mtandao wa X imeeleza kama ifuatavyo Si kweli kuwa kuna mazingira ya rushwa (kwenye uchaguzi wa BAVICHA Taifa , Idrissa Kassim alikabidhiwa fedha za...
1 Reactions
3 Replies
460 Views
Wakuu, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo, Abdul Nondo, Nondo wakati akitoa salamu za ngome hiyo katika mkutano wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) unaoendelea katika ukumbi wa...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Haiwezekani uchaguzi umeanza wewe unaitwa vyombo vya habari kutaka kuzua taharuki. Nashauri chama kimzuie asilete taharuki. Kamkimbia mh Makonda Arusha akiamini katika siasa hana tena chake
0 Reactions
32 Replies
1K Views
Wanajukwaa! Mmesikia huko Naona Bungeni ni patamu sana kila mtu anataka akale utamu wa Bunge ================= Baraza Kuu la Waislamu nchini Tanzania (BAKWATA) kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu...
1 Reactions
46 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…