Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wanabodi, Makala yangu kwenye Nipashe ya Jumaoili ya Leo。 Leo Tarehe 12 January 2025, imedondokea siku ile ile ya Januari 12, 1964, ilikuwa ni siku ya Jumapili. Leo Tanzania inaadhimisha miaka 61...
8 Reactions
52 Replies
1K Views
Wakuu, Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi ========================================================== Wajumbe wa Baraza Kuu...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida wamesema wamekubaliana kumuunga mkono Tundu Lissu katika kuwania kiti cha Uenyekiti wa CHADEMA Taifa. Mwenyekiti wa chama...
1 Reactions
4 Replies
279 Views
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya...
14 Reactions
95 Replies
3K Views
Wakuu, Mbowe kama ana akili timamu inabidi mara tu akiona clip angejiuzulu mara moja na kutangaza kutokugombea tena. Unapata wapi nguvu ya kutaka kuingia kwenye box la kura na hali iko kama...
25 Reactions
64 Replies
4K Views
Kila nikimuona kabla ya vikao vya chama alikuwa maneno mengi. Siku hizi tangu vikao vianze amekuwa bardiii sana. AU Anahofu ndio bye bye tena kukaa meza kuu ya CHADEMA? Zaidi ya miaka 20...
0 Reactions
12 Replies
356 Views
My friends, ladies and gentleman, Na huu ndio ukweli mnapaswa kufahamu na kuuelewa vyema kwamba, Tundu Antipas Mughwai Lisu, hawezi kumshinda Freeman Aikali Mbowe kwa namna yoyote ile, hususan...
5 Reactions
93 Replies
2K Views
Baada ya kuendelea kwa vitendo vya utekaji na mauaji ya watu walio na mawazo mbadala kuhusu uongozi wa nchi na demokrasia kwa ujumla hata baada ya kifo cha Magufuli swali kuu ambalo wanajiuliza...
3 Reactions
25 Replies
637 Views
HOTUBA YA MBUNGE WA JIMBO LA KISESA, MHE. LUHAGA JOELSON MPINA (MB) ALIPOFANYA ZIARA YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI WA SHULE YA UFUNDI MWANDOYA MEATU SIMIYU TAREHE 11 JANUARI 2025...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100. Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa...
45 Reactions
188 Replies
13K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema ni kweli kwenye uchaguzi huu watanyukana lakini baada ya kunyukana, watakutana kwenye boksi la kura kisha baada ya...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao: 1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema 2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo 3. John Heche Kwa Sasa Mgombea...
1 Reactions
19 Replies
438 Views
Wakuu wakati mkutano mkuu wa Bavicha ukiendelea leo, mjumbe mmoja aeleza kwa masikitiko kuwa hawajalipwa pesa za kujikimu walizohaidiwa. "Tuliambiwa jana tutapewa pesa ya kujikimu mpaka leo...
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Kambi ya mabadiliko imeanza na BAVICHA. Twende kazi mpaka kieleweke. Kule tayari moshi mweupe umefuka.
1 Reactions
1 Replies
430 Views
Kwenye familia nyingi kuna watu hasa vijana wanaopitia majaribu mengi ya kimaisha wakati wakijaribu kujua na kujiuliza kwanini wapo hapa Duniani. Kwenye kipindi hiki hawa ndugu wengi wakiwa vijana...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwanasiasa Mkongwe Mkoani Mbeya, Ambaye amechangia Kustaafisha siasa Wanaccm wengi Mkoani humo, Mzee John Mwambigija, leo amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea uongozi wa Juu wa Baraza la Wazee la...
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Hiyo ni tahadhari naitoa mapema kabla ya mkutano mkuu wa chama Chadema . Leo imeshuhudiwa vurugu kubwa kwenye Baraza la vijana baada ya kutokuelewana juu Posho zao . Chama kiweke wazi juu ya...
0 Reactions
9 Replies
302 Views
Mchungaji Msigwa ameeleza wazi kuwa anamuunga mkono Tundu Lissu katika kinyang’anyiro cha Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Akizungumza kuhusu mwelekeo wa uchaguzi huo...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwa ushindani uliopo Chadema na Rushwa inayopenyezwa ni vema ikapigwa Kura ya Wazi Hii itasaidia sana mbele ya safari endapo Chama kitaimarika zaidi basi 2030 Mbowe tumpe Mitano Tena Ahsanteni...
4 Reactions
23 Replies
503 Views
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana. Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya...
65 Reactions
194 Replies
8K Views
Back
Top Bottom