Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235...
19 Reactions
212 Replies
14K Views
Tafadhali mheshimiwa rais tunaomba sana usitumie fedha nyingi za walipa kodi maskini kwa ajili ya kushinda uchaguzi. Watanzania wanahitaji maji ya kunywa, barabara angalau za vumbi, vituo vya...
2 Reactions
1 Replies
134 Views
Wakuu, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho amewataka baadhi ya viongozi kutowaondoa Madarakani Mabalozi kipindi hiki Cha uchaguzi Kwa madai ya kutokuwaunga mkono...
1 Reactions
0 Replies
131 Views
  • Redirect
Tuliambiwa tule manyasi ili tuchimbe bwawa kuuuubwa kumaliza haja ya umeme nchini na kuuza mwingine nje ya nchi. Mzee Magufuli alidanyanywa na wataalamu wetu?
1 Reactions
Replies
Views
Ni mkakati wa kuhakikisha Wananchi wanafikiwa kirahisi kuhudumiwa. Halmashauri ya Chalinze yatenga Bilioni 2.2 kwa Wanawake, Vijana na Walemavu. Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani na Waziri...
0 Reactions
2 Replies
128 Views
  • Redirect
Ukistaajabu Musa utaona ya Filauni
1 Reactions
Replies
Views
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa...
42 Reactions
323 Replies
16K Views
  • Redirect
Huu ni upigaji ndo unaoendelea yaani hamjifunzi katika Escrow Richmond Na sasa mmekuja na huu mchongo Mpya na mlivyo wajanja mmeshamtia mkuu wenu ndani.
1 Reactions
Replies
Views
Salaam! Je, ni sawa kupanga kujenga mnara pasipo kukaa chini na kupiga hesabu juu ya gharama zake? Siasa ni sayansi, je ni sawa chama Cha siasa kumpitisha mgombea asiyekubalika ,asiyekidhi...
2 Reactions
7 Replies
204 Views
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kuketi leo jijini Dodoma, 05:00 asubuhi leo tarehe 10 Machi, 2025 mjini Dodoma.
0 Reactions
0 Replies
135 Views
Huwa nazungumza sana akiba ya pesa za kigeni sababu ni kitu muhimu sana kwa nchi. Nchi inatakiwa kutumia kwa busara sana pesa za kigeni. Hizo ndizo tunaagizia mafuta, madawa, kulipa madeni na...
4 Reactions
19 Replies
305 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo...
3 Reactions
237 Replies
4K Views
"Kiongozi bora ni yule anayehakikisha watu wake wanapata huduma bora" .... John C. Maxwell Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuthibitisha kuwa...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Mnajua watanzania wengi mpaka leo kuna kitu hawajakigundua kuhusu bwana mkubwa na ndio maana anafanikiwa kuwa-manipulate kwa kiasi kikubwa tangu aingie ofisini. Msilolijua ni kuwa bwana mkubwa...
32 Reactions
85 Replies
12K Views
Waziri Kombo apongeza mabaoresho Kituo cha Mikutano cha AICC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amepongeza maboresho makubwa...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
  • Redirect
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe, Mwanga mkoani Kilimanjaro tarehe 09 Machi, 2025.
0 Reactions
Replies
Views
Mkulima analima mahindi. Baada ya kuvuna, anapata uvivu wa kupeleka mashineni yasagwe na kupata unga wa kula kwa kuona kwamba ni gharama kuyaosha na kuyaanika juani na baadae kuyasaga. Anaamua...
5 Reactions
46 Replies
704 Views
Baadhi ya Nukuu za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza kwenye Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika. “Tanzania ni moja...
0 Reactions
17 Replies
414 Views
Leo nimemsikia msemaji wa serikali TBC akitoa taarifa kwamba mitambo minane kati tisa katika bwawa la Nyerere sasa inazalisha umeme. Akasema umeme sasa tunao wa kutosha na ziada kubwa tu. Akasema...
0 Reactions
1 Replies
132 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…