Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

We really are scraping the bottom of the barrel with our beloved country, when it comes to how it is run! Nothing ever seems to go right. Just when you think maybe this time we’ll get it right...
17 Reactions
70 Replies
5K Views
Mimi niko pale na popcorn zangu kama kawaida yangu, jina la Series silijui ila niliposoma majina ya actor na actress, director na producer nika_press play, Episode ya pili sasa.
0 Reactions
1 Replies
190 Views
Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo...
62 Reactions
212 Replies
6K Views
Kwenye uzi huu Uchaguzi 2020 - RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali" jana nilikuwa...
29 Reactions
30 Replies
6K Views
Wanadodi Nimesikia nia ya kuandaa mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema. Huu ni uzi wa swali la ushauri wa bure kwa Chadema, Je wakubali au wasikubali mdahalo wa wagombea Uenyekiti wa Chadema...
6 Reactions
33 Replies
796 Views
Mhandishi Kabendera ameandika mambo mazito na magumu sana ila ameniliza amenitoa machozi na sasa nina taka kuamini Tabiri zangu Mungu alikuwa na Mimi. Kifo cha Ben Saanane kiukweli kimnishituwa...
4 Reactions
17 Replies
880 Views
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi. Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini. Vyombo viendelee kumonitor transactions...
9 Reactions
45 Replies
1K Views
Ninaita ushenzi kwakuwa ni matukio ambayo mtu mwenye akili timamu hawezi kuyashangilia wala kuyafanya. Matukio ya kuuana na kutekana yapo worldwide ila kwa Tanzania kutekana kulirasimishwa rasmi...
0 Reactions
0 Replies
102 Views
Copy & Paste from Twitter. MBOWE VS LISSU SIFA ZAO NA MAPUNGUFU YAO SIFA ZA MBOWE 1. Ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuunganisha palipo vunjika kwenye Jamii. 2. Ni Kiongozi ambaye ni Mtulivu 3...
4 Reactions
13 Replies
769 Views
kwa dalili hizi, ishara, hali ya kisiasa na umaarufu wa Dr Samia Suluhu Hassan kiutendaji nchini, ni dhahiri atapata ushindi wa kishindo endapo atagombea urais 2025.. kwa mfano, kwa sapoti kubwa...
3 Reactions
133 Replies
3K Views
Hizi ni habari za ndaaaaaani kabisa ambazo wengi hawazijui na wengine wanazijua ila wameamua kunyamaza kwa sababu kadhaa. Magufuli hakuwa Malaika. Hilo lazima tukubaliane kama Binadamu kama Rais...
19 Reactions
48 Replies
1K Views
Wanabodi, Mapungufu ya uchaguzi yapo, na yamekuwepo kwa muda mrefu sasa. Mapungufu haya kwenye chaguzi yoyote huanza kwenye kuboresha daftari la wapiga kura mpaka hatua ya kuhesabu kura. Kwa...
2 Reactions
12 Replies
218 Views
Eti wadau, kama ndani tu moto wa vurugu umewaka na wanapata shida kuuzima, watauweza ule moto wa wale wahuni wa Haiti kweli?!
2 Reactions
4 Replies
314 Views
Erick Kabemdera anaandika kuwa Rais Magufuli alienda sehemu anayolala Rais Samia akiwa na nguo za kulalia akiwa na lengo la kumbaka, hizi ni shutma nzito sana na zinamchafua sana Magufuli Binafsi...
17 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu, Wajumbe wamefurahi bana, wajumbe watakuwa wamekunwa kweli kweli mpaka wametema😂😂, yetu macho. Ila wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri😂😂, wanakuchekea mwishoni hutaamini macho yako. =====...
2 Reactions
8 Replies
262 Views
Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson...
16 Reactions
204 Replies
34K Views
Habari JF, Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu. Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani...
37 Reactions
147 Replies
9K Views
Habari JF, JPM aliamini corona itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine, kiuhalisia ndivyo ilivyo corona ipo na idadi ya watu waliopata chanjo ni ndogo sana na watu...
27 Reactions
152 Replies
6K Views
Hivi ni nini kipo nyuma ya hizi kebehi dhidi ya Hayati Magufuli? Maneno na tuhuma kali sana zinapelekwa kwa huyu kiongozi. Sio serikali wala CCM wanamtetea huyu kiongozi, cha kushangaza zaidi ni...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Habari, Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao...
10 Reactions
206 Replies
9K Views
Back
Top Bottom