Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Msimamizi wa Uchaguzi wa Manispaa ya Songea, Wakili Bashir Mhoja, ametoa taarifa kuhusu maandalizi ya uchaguzi ulio karibu kufanyika. Akizungumza na waandishi wa habari, Mhoja amesema kuwa hali ya...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Wakuu, Justification ya kuzuia baadhi ya mikutano ya kisiasa na kampeni za vyama fulani ileee inawekwa kwenye mstari! Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limevionya vyama vya siasa na kuvitaka...
1 Reactions
3 Replies
333 Views
Kura yako ni muhimu, jitokeze kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tarehe 27.11.2024, vituo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa kumi jioni.
0 Reactions
3 Replies
200 Views
Toka mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulipoanza, tumeshuhudia mambo mengi ya hovyo yakifanywa na TAMISEMI, chini ya Waziri Mchengerwa, kuanzia kutunga kanuni mbaya za kusimamia uchaguzi...
4 Reactions
9 Replies
330 Views
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, ameendelea na kampeni yake ya kutafuta kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, akizungumza na wananchi na vijana wa UVCCM...
0 Reactions
1 Replies
252 Views
Mgombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa ndugu Mfaume Zuberi amesema Katika Uongozi wake atasisitiza Wananchi kuzishika Amri 10 za Mungu tena Wapigie mistari Amri ya 4 hadi 8 Zuberi...
0 Reactions
3 Replies
172 Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA taifa John Pambalu akiwa mkoani mwanza wakati wa kufanya kampeni kuwanadi wagombea wa chama chake kuelekea uchaguzi serikali za mitaa amesema vijana wamesoma...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Usisahau pia kwamba alilala Polisi baada ya Mamluki RPC wa Songwe kutumikishwa na CCM kwa lengo la kudhoofisha Kampeni za Chadema Sasa angalia Hapa Mbeya Mjini, Baada ya Mikutano mingine 8...
5 Reactions
13 Replies
797 Views
Tulishazoea miaka ya nyuma, nafasi zinatangazwa kwa ajili ya wanaotaka kusimamia Uchaguzi. Leo ni takribani wiki moja kabla ya uchaguzi, hakuna tangazo lolote la Tume Huru ya Uchaguzi kuhusu...
1 Reactions
15 Replies
527 Views
Wakuu, CCM na polisi, bila manyanyaso kwa wapinzani mnaweza kutoboa kweli? ===== Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread...
11 Reactions
40 Replies
2K Views
Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu...
20 Reactions
89 Replies
3K Views
Ndato Rungwe imesimama, mapokezi ya mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe. Ni mwendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Serikali za Mitaa mkoa wa Mbeya Kuengua Wagombea, kumewakosesha fursa ya...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Uongozi wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Songwe, umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi chote cha kampeni pamoja na siku ya uchaguzi wa...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Baada ya kuona makamanda wameikimbia ngome yao muhimu kama Moshi na Arusha wakati wa ufunguzi wa kampeni basi hii ni ishara rasmi kuwa CCM imedhibiti vilivyo ngome hii. Ndio maana Mbowe kaanzia...
1 Reactions
13 Replies
522 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kuimarisha kampeni zake za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa Mtakuja, Kata ya Vingunguti, Jimbo la...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Mkutano wa asubuhi leo Novemba 23, 2024 uliofanyika katika Kijiji cha Ipinda, Kata ya Kyela, Mbeya na kuhutubiwa na mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe Mbowe amesema chadema inasimamia...
1 Reactions
4 Replies
336 Views
Mkutano wa asubuhi leo Novemba 23, 2024 uliofanyika katika Kijiji cha Ipinda, Kata ya Kyela, Mbeya na kuhutubiwa na mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe Pia, soma: LGE2024 - Songwe: Viongozi...
2 Reactions
2 Replies
379 Views
1. Jeshi la Polisi Kulinda Mikutano ya Kampeni, Raia na Mali zao Kusimamia Ratiba ya Mikutano. 2. Vyama vya Siasa Kuzingatia Sheria Kanuni, Miongozo na Ratiba ya Uchaguzi. Kuepuka Rushwa...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Wakuu, Vijana hawa waelewa na wenye akili ndio akina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah na ChoiceVariable? :BearLaugh: :BearLaugh: ==== Kupata taarifa za kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za...
5 Reactions
18 Replies
565 Views
Wakuu, Upinzani wakifanya hivi kwenye maeneo ambayo wagombea wa chama kimoja wapo wameenguliwa watafanikiwa kuwazidi CCM? ==== Naibu Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara wa Chama cha...
0 Reactions
6 Replies
366 Views
Back
Top Bottom