Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili...
96 Reactions
286 Replies
30K Views
Tunapoelekea kwenye Uchaguzi mkuu wa chama nimeshangazwa na kuvunjwa moyo na kauli ya Baadhi ya makada wa chama. Hususan Yeriko, Boniface, Kigaila miongoni mwa wengine. Tangu makamu mwenyekiti TL...
8 Reactions
18 Replies
526 Views
Kama mnakumbuka vurugu za miezi michache iliyopita Mtwara Waziri mkuu alikwenda kuongea na wananchi wa Mtwara na kueleza mipango ya serikali ya maendeleo kwa kusini. Kwa mara ya kwanza wananchi wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi bila kelele za watumiaji wa mitandao ya kijamii leo hii hali ingekuwaje? Ukweli ni kwamba wananchi kupitia mitandao ya kijamii kwa umoja wetu tumeunda nachoweza kukitaa "Bunge Mtandao"...
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Mpaka sasa nimekamilisha kupitia Law societies za nchi kadhaa ila zote nimekuta zinajiensesha zenyewe kwa michango yao, hi ni tofauti na TLS ambayo sasa ni semeu ya Serikali. Inafikirisha sana...
2 Reactions
7 Replies
288 Views
Hili shirika linahitaji kufutwa tuanzw upya. Hakuna wanacho kifanya.. unafutaje kifurushi cha 50K kwa watoto na unaweka cha 150K na mtu akilipia anataliwa kusubiri 3 months kuweza kupata hu
1 Reactions
3 Replies
243 Views
Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu...
110 Reactions
421 Replies
44K Views
Kila ukaribiapo uchaguzi aka uchakachuaji, wachumiatumbo wengi uhama vyama kwa sababu mbali mbali mzuri na mbaya. Japo tunasema ni uhuru kidemokrasia, je huu una tofauti gani na umalaya wa...
0 Reactions
2 Replies
100 Views
KUREJEA KWA TOTO AFYA KADI MWANGA MPYA BIMA YA AFYA Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima...
1 Reactions
7 Replies
437 Views
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika...
57 Reactions
239 Replies
18K Views
Makamu Mwenyekiti wa chadema Tundu Lisu amesema tofauti na CCM wao hutoa Fomu nyingi Ili Wagombea wajitokeze wengi Kuhusiana na Mbowe Kugombea tena Lisu amesema wanaoongea ni Wapambe tu lakini...
4 Reactions
18 Replies
929 Views
Tukiacha unafiki Tundu Lissu amebadilisha kabisa siasa za Tanzania Joto la kisiasa lipo juu vyombo vyote vya habari mpaka gazeti la Uhuru habari ni Tundu lissu. Sasa naona Tundu Lissu ndiye...
17 Reactions
38 Replies
1K Views
Kwema Wakuu! Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake. Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu. Yaani Mabeki...
57 Reactions
169 Replies
5K Views
Unajua dhana ya Uchawa imejikita kwenye Ulimwengu wa roho ndio sababu utakuta kapuku mmoja wahed kabisa anamuendesha na kumpangia mambo ya kufanya kiongozi mkubwa Uchawa umejikita kwenye nguvu za...
2 Reactions
6 Replies
353 Views
Ndugu zangu, Nimekusudia kwa mapenzi mema na moyo mkunjufu kufanya kampeni maalumu itakayokwenda Kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU. Kampeni hiyo itakuwa na malengo kuu matatu Lengo la kwanza...
1 Reactions
68 Replies
2K Views
CCM ni tofauti sana na nyama vingine vya siasa nchini ambavyo vina usajili kamili na wa kudumu chini ya sheria ya vyama. Sifa pekee za CCM zinjidhihirisha wazi wazi katika masuala mazito ya...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Mara baada ya kumaliza kusikiliza mazungumzo uliyofanya na baadhi ya wafanyabiashara wa Tanzania 07/06/2019 na kuona malalamiko mengi ya serikali kwa wafanyabiashara, na ya wafanyabishara kwa...
0 Reactions
4 Replies
611 Views
Ikiwa imebaki miezi miwili tuingie katika uchaguzi za serikali za mitaa na mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu, mtazamo wa wananchi juu ya siasa umebadilika sana. Vyama vya upinzani...
9 Reactions
91 Replies
6K Views
Leo, Baraza la Jumuiya ya Wazazi la Wilaya ya Musoma Vijijini limemtunuku Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, TUZO ya PONGEZI kwa kutambua ushiriki wake na mchango wake...
0 Reactions
9 Replies
263 Views
Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom