Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na...
5 Reactions
102 Replies
19K Views
Nasikia Magufuli atatumia Skype, kuhutubia siku ya Uhuru Ghana. ========== Magufuli to address Ghana’s Independence Day parade via Skype to save travel cost Last December, Tanzania’s thrifty...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kuna tetesi kuwa aliekua Mkurugenzi Manispaa ya Dodoma karudishwa kazini kimyakimya baada ya kubainika kuwa hakuhusika na tangazo la kuchangisha wazazi michango ya kusaidia uendeshaji wa should...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
#Habari: Mahakama ya Kisutu yamkuta na kesi ya kujibu Said Kubenea(Mb) wa Ubungo kwa kosa la kumtolea lugha chafu Dc-Paul Makonda.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
  • Closed
kesho ccm wanakutana na Mkurugenzi wa Jiji kupanga tarehe ya uchaguzi wa Mayor wa Jiji. Hi ni baada ya kuwa na uhakika wa kukamatwa na kuwekwa ndani kwa madiwani Tisa pamoja na wabunge wanne...
5 Reactions
126 Replies
13K Views
Vigogo watano waliosimamishwa kazi kutoka Bohari kuu ya madawa (MSD) pamoja na halmashauri mbili nchini wameula katika sekta binafsi huku wakilipwa mishahara ya kuanzia milioni mbili na nusukwa...
4 Reactions
63 Replies
12K Views
  • Closed
Mimi ni muumini wa mabadiliko mimi nadhani Zitto kabwe hawezi kazi na natabiri hichi chama kutokua kabisa,Mimi nilidhani kuenea kwa chama cha ACT nchi nzima kutasaidia kujipanga na kutoa hoja...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Maskan za ccm za chomwa moto kisiwa kidogo cha TUMBATU. Chanzo: Muhusika aliyepo Zanzibar.
5 Reactions
178 Replies
27K Views
  • Closed
Kuna tetesi kuwa kuna idadi kubwa ya polisi wamerushiana risasi na kusababisha idadi isiyopungua ya vifo sita taarifa zingine zinasema ni askari mmoja tu aliekufa. Madai a mkasa huo kuna wenye...
2 Reactions
48 Replies
10K Views
Kuna mnyetishaji wangu amenitonya kua mwaka huu Mh Rais katka utezi wake wa Ma-RC na DC ataangalia tuu wale wenye msaada zaidi kwa Taifa na wanaojitolea kulish taifa kimaendeleo na wahatahangaika...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
  • Closed
Kuna tetesi nimetonywa kuwa Jan Makamba hakurejesha form zote mbili tume ya maadili.Hii ni kinyume na maagizo ya WM KMK.WM alitia mkwara kuwa kwa waziri ambaye hakurejesha mpaka sa 12 atakuwa...
2 Reactions
88 Replies
14K Views
  • Closed
Nimepata taarifa kuwa Waziri Mkuu ameitisha mkutano na wanahabari saa nne asubuhi ofisini kwake Magogoni. Taarifa zinadai kuwa agenda kuu huenda ikawa ni kutangazazwa wakuu wapya wa mikoa...
2 Reactions
63 Replies
9K Views
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa. Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Nilikutana na mzungu mmoja kanishangaza kaniambia. Ukisafiri kote duniani Wilaya nyingi huwa na aina mbili au tatu za pombe za kienyeji. Lakini wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro ina pombe za...
0 Reactions
42 Replies
15K Views
Kwa taarifa za ndani kabisa, ni kwamba Mwenyekiti wa wazazi wa CCM, Addalla Bulembo ambaye ni darasa la saba kielimu anatarajiwa kumrithi Kinana ifikapo May hapo Rais Magufuli atakapoachiwa...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Kuna kila dalili kuwa Spika Mstaafu, Mhe. Mama Anne Makinda kumrithi Dr. JK uenyekiti wa chama Tawala, hii inajidhirisha wazi kutokana na uzoefu wa mwanamama huyu shupavu katika medani za kisiasa...
1 Reactions
64 Replies
13K Views
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni...
3 Reactions
56 Replies
12K Views
Je unafikiri ni akina nani watuhumiwa Wa kwanza? Usisahau kuwa mramba na yona walifikishwa mahakani na hatimaye kufungwa ikiwa ni zaidi ya miaka 6 tangu watoke madarakani. Tegemea baadhi ya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Manispaa ya Temeke haijamalizia kuwalipa walimu hela za usimamizi wa mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika kuanzia tarehe 2 - 25 November, 2015. Walimu hao walilipwa hela siku 6 tu wiki ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom